YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

hahahahahahahag... we ndo akili finyu we huoni watu wamefata show za fiesta? hapo kuna tamasha la wasanii na co kampeni... sijawai ona mzalendo wa ajabu kama wewe mana hata mzalendo wa jkt co mpuuzi hvo
 
Jamani kinachodhihilika toka jangwani ni kwamba kumbe tunaongozwa na genge la wahuni.,
Now ni wakati wa kusema no kwao.,
Vilaza wakubwa wamezoea kuishi kwa mazoea yaani style ni ile ile toka 95,nilidhani hata kipindi wanakuja kivingine kumbe ni yaleyale ya kutuletea wasanii majukwaani.......
Tunataka sera acheni umangu! Msicheze na maisha yetu wapuuzi wakubwa"###
 
Jamani mnamsikia huyu mama samiah anayosema?
Sio CCM bali ni FISIEMU, msikilizeni kwa makini.
 
Mzee Mkapa katukana,lugha aliyotumia hailingani kwa hadhi yake. Sijui itakuwaje Mkapa akiwa timu moja na Makongoro. Itabidi watoto wasiruhusiwe, usiende na wakwe
 
Naogopa macho ya watu Yanaweza kukufanya uropoke. ..simuelewi huyu mzee...maneno mawili, wapumbavu na malofa si matusi? Tume ikinyamaza kwenye hili itatengeneza mazingira magumu ya kampeni mwaka huu
 
Back
Top Bottom