Updates: Jussa, kuna wakubwq wa ccm wamesikaka wakisema cuf 2015 tayari wameshachukua nchi, pia wako waliopiga kura ya ya Ndio na sasa wamejuta jusa amewataka kabla ya uchaguzi wajiokeze hadharani kuunga mkono mamlaka ya zanzibsr na waeleze dhahiri namna wanavyojuta kupiga kura ya ndio
uzi umeanzisha wewe, weka updates kwenye uzi mama