democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
wakola sana waituuuuuuuuu
Ndugu wana JF, leo nimeshuhudia maelfu ya wakazi wa Bukoba wakifurika katika viwanja vya Uhuru Bukoba. Wapenzi wa CDM wamejitokeza sana, mjini hakukuwa na pakupita. Kwa hali hii Nnape lazima abaki pekee yake na CCM.
Ndugu wana JF, leo nimeshuhudia maelfu ya wakazi wa Bukoba wakifurika katika viwanja vya Uhuru Bukoba. Wapenzi wa CDM wamejitokeza sana, mjini hakukuwa na pakupita. Kwa hali hii Nnape lazima abaki pekee yake na CCM.
Nini kimejili? watu wamejitokeza sana.., then?
Nani kaongea? kaongea nini?
Weka picha watu waone
mabango yamesomekaje?
Give us Sufficient information NOT half cooked!!
My Best
Quality
Picha hazina maana sana. La msingi ni kwamba watu wameonesha mwitiko mkubwa sana juu ya campaign ya M4C. Kadi za CCM zimerejeshwa na maneno kibao!
Kwani kuna nini mbona mikutano inakuwa mingi sana??