mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 186
Naona wachangiaji wote wanamwagika kipovu, punguzeni jazba mutaturoesha mimate hapa ukumbini! Hata kama yanauma ukweli ndio huo.
Habara ndio nini? Na kwanini wamshutumu MR CLEAN badala ya CHEKA
Duh! Incredible.3. CUF imeimarika zaidi katika uchaguzi wa mwaka 2010 kuliko 2005 kwa kuongeza wabunge 2 Bara tofauti na 2005.
Maajabu sana haya! mada nyinginezo hazihitaji hata mtu kuchangia yaani ujinga mtupu na uswahili.. Nyie CUF kinachouzwa kwa wananchi ni sera sio habari za kusodoana tosi! Hee mbona mnatuletea siasa za mduara na nyama ya bata!Habara toka Morogoro Jioni ya leo Mh. Mustapha Wandwi na Mh. Mbalala Maharagande walieleza yafuatayo;
1. Zaidi ya kutoa orodha ya mafisadi Tz CHADEMA hawana jipya zaidi.
2. Nchi hii iliharibika awamu ya 3 ya Mh. Mkapa na si marais wengine
3. CUF imeimarika zaidi katika uchaguzi wa mwaka 2010 kuliko 2005 kwa kuongeza wabunge 2 Bara tofauti na 2005.
4. CUF inazidi CHADEMA wabunge wa majimbo.
5. CUF ndiyo chama chenye wabunge Pemba na Ugunja na CHADEMA hakina hata mmoja.
6. Waziri wa SMZ kutoka CUF ndiye amepandisha bei ya karafu kutoka Tsh 3,500 Okt 2011 hadi Tsh 25,000 bei ya hivi sasa.
7. CUF ndiyo imeoa CCM tofauti ya CHADEMA wanaodai CUF imeolewa na CCM visiwani.
8. Wanaandaa mapokezi makubwa ya Prof wa Uchumi Dunia atakaporudi toka Marekani mwezi ujao.
9. Prof. Lipumba ni kati ya maprofesa 4 tu walioajiriwa na serikali ya Marekani kati ya maprofesa 300 waliofanya usaili ili waajiriwe
na Marekani.
10. Mkutano ulizidisha dakika 15 muda wa kawaida, licha ya polisi kutaka wafunge lakini walikataliwa.
11. Hakukuwa na kumkumbuka walau dakika moja kumkumbuka mwanasiasa aliyefariki Mh. Regia Mtema.
12. Hamad Rashid si mwanachama wa CUF anatapatapa tu.
Maajabu sana haya! mada nyinginezo hazihitaji hata mtu kuchangia yaani ujinga mtupu na uswahili.. Nyie CUF kinachouzwa kwa wananchi ni sera sio habari za kusodoana tosi! Hee mbona mnatuletea siasa za mduara na nyama ya bata!
Seif hana sauti hata kwa makamu wa pili balozi seif idd,. yaani kama shein hayupo makamu wa pili ndio anakaimu nafasi ya urais, ikitokea leo hii shein akakoma kuwa rais makamu wa pili balozi idd ndiye atakayekuwa rais wa muda kusubiri uchaguzi, seif yeye sana kumwagilia maua na kutengeneza chai kule ikulu hana lolote ndio maana anangangania ukatibu mkuu na hamadhapo kwenye red; hivi ni nani kamwoa mwenzie? Kwani kati ya dr.shein na seif, ni nani mwenye sauti ndani ya nyumba? Yule ambaye akikoroma mambo yanakuwa sawa sawia?
CUF udini umewajaa sana.Wakimtaja JK wanaona ni tusi kwa uislam!
Maajabu sana haya! mada nyinginezo hazihitaji hata mtu kuchangia yaani ujinga mtupu na uswahili.. Nyie CUF kinachouzwa kwa wananchi ni sera sio habari za kusodoana tosi! Hee mbona mnatuletea siasa za mduara na nyama ya bata!
Mi naona hizi ni hisia za aliyeleta hii thread ila kaamua kututajia morogoro kwa kuwa watu wengi hatuwezi kufanya uchunguzi kujiridhisha na habari hii, kama ni kweli kwa nini asitupie hata kapicha ka simu ya mchina, anatuletea hii thread kutaka kupima upepo wa mtazamo wetu kwa chama chake. ukiainisha hizo hoja zake yaani kuanzia ya kwanza mpaka ya mwisho utagundua kuwa hata kama wewe ni mnazi wa cuf huwezi kuhudhuria mkutano kwa maada za kijinga kama hizi. Cha kushangaza kwa mazoea ya wengi hapa jf wameanza kuchangia pasipo hata kujihoji wao kwa hiki kilichoandikwa kina mantiki gani na mstakabari wake, ila siwezi kuwalaumu kwa kuwa hapa mara nyingi imezoeleka ku-comment kwa mazoea ya unazi wa vyama. Huu ni ushauri wa bure tu wala hulazimishwi kuukubali ama kuukataa kama vipi upotezee.