Wakili:je,,matokeo yaliyoko kwenye form namba 21 ambayo ni ya matokeo ya jumla ya kwenye vituo yanayoonyesha ulipata kura 50544 unamashaka nayo?
Hawa:Sina mashaka nayo
Wakili:Kama huna mashaka nayo basi hakuna tatizo kwenye ushindi wa Mh.Mnyika
Hawa:sikulalamikia ushindi bali utaratibu
KWA NINI ASIUSHITAKI UTARATIBU AU TUME YA UCHAGUZI KWA KUWA NDIYO INAYOSIMAMIA UCHAGUZI?
KWA NINI AMSHITAKI MNYIKA KWA DAI HILI?
Ilianza hivi
1..DAI LA KWANZA KURA 14854 HAZIJULIKANI ZILIKOTOKEA WAKATI WA MAJUMUISHO
Wakili upande wa mlalamikaji;siku ya kutangaza matokeo ulikuwepo?
Hawa:Sikuwepo
Wakili:kwann hukuwepo kwenye kituo cha majumuisho?
Hawa:wakala wangu alikuwepo
Wakili:je ulisaini form ya matokeo
Hawa:Sikusain
Wakil:inatakiwa kama hujasaini ujaze form je ulisain?
Hawa:Wakala wangu hakupewa
Wakili:Aliomba?
Hawa:Hakuomba
Wakili:Je unafaham tofauti ya kura zako ulizopata na za mh Mnyika ni ngapi baada ya matokeo kutangazwa?
Hawa:ndio nafaham
W
mama yangu wewe hivi hawa watu huwa hawapewi ushauri kabla ya kufungua kesi?
Mnyika mbunge mpaka 2015 OVA
mama yangu wewe hivi hawa watu huwa hawapewi ushauri kabla ya kufungua kesi?
Mnyika mbunge mpaka 2015 OVA
Kazi kwelikweli, hapa kesi ipo kweli?