Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Hii folen jijini inaleta ugonjwa wa moyo, nitamchelewa shujaa zitto
mdanganye wewe si ulimpigia magoti mwenyekiti wako mbona hukukodusha watu..
Hii folen jijini inaleta ugonjwa wa moyo, nitamchelewa shujaa zitto
Nenda kaungane na wenzio mkaimbe nyimbo za kipumbavu
zzk pambana hadi kieleweke kwani hata madiba aliitwa mhaini. Bora uwe mhaini kwa hiyo saccos, kuliko kuwa mhain kwa watanzania
Wewe tapeli la gesi mabomba yanaenda na gesi itatoka nyambaf mkubwa unafikiri hiyo gesi ni mali yenu?Ukitaka kujua up.uuzi wa chadema ni mambo kama haya,
Wewe ni kama nani ndan ya chama hadi ujivishe majukumu ya kuleta updates official za chama ili hali Kurugenzi ya Habari NA Tumaini Makene wapo??
Muda si mrefu atakuja kikaragosi mwenzako saa nane kujivisha majukumu haya haya,na huku hii saccoss yenu ikikaa kimya kabisa kuhusu hilo,
Unajua maana ya updates??na kwanin unachagua upande??hizi ni updates au maagizo ya yule padre muhubiri wa gongo??
Hii ni dalili tosha kabisa ya mtu aliekosa kazi,kila siku unajipa majukumu yasiyo yako na yasiyo kuhusu huku ukitumia utapeli wa jina la nyerere hili halivumiliki na linaleta kinyaa kuliona,
Unatoa updates huweki picha huwek vithibitisho,unataka watu waamin tuh kuwa wewe umesema??wewe ni nani hasa??
Hiki chama kina mambo ya kitoto na ya ajabu ajabu,thanks god muda umewahukumu mapema hata kabla ya hiyo 2015,mwenye macho haambiwi tazama kila mwenye akili timamu keshafaham uwendawaimu mlionao,,
YERICKO MLA MBWA,JITUME KUTAFUTA KAZI,MUDA UNAKUACHA HUU,CHADEMA NI MTAJI WA WATU,NA WEWE HAPO ULIPO HUFAMIKI,UNAJIPOTEZEA MUDA NA KUJIDHALILISHA,
THANKS GOD SACCOSS HII INAKUFA WAKATI MUAFAKA KABISA
Mungi mbona povu linakutoka kwani umesikia nini kutoka mahakamani?
CC: Kibabu cha TengeruBora kinakufa mapema hii 2014,,wangefika 2015 hawa wachaga na saccoss yao wangesumbua sana
Wana laana ya nyerere hawa
Mashabiki na wapenzi wote wa Zitto zuber kabwe tunaomba tusogee kwenye viwanja vya mahaakama kuu, tuondoke na shujaa wetu. Msiniulize huu ujasiri nautoa waap, lakini zipo taarifa njema chini ya mbachao..
Ivi akifukuzwa we inakuma nini?Siasa za tanzania raha sana.....!!
Kiukweli zzk ametufanya wengi tu dought credibility ya chadema ,kwa kutumia tragedy ya Rostam,Nkono,sumaye,NHC kwa mbowe!!
Au ndo maana Mbowe anasisitiza kuwa wanaweza kumsajili Sumaye?
Ipo siku majibu ya maswali yote haya yatajipa hata kama zzk akifukuzwa cdm
Usiongee sn..subiri hukumu ujue we run tz politicx