Yaliyojiri Mahakama Kuu: Usikilizwaji wa UAMUZI wa pingamizi la Zitto dhidi ya CC ya CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Hapana Mkuu,kwetu ni TARIME na Chacha Wangwe(R.I.P) alikuwa mbunge wangu niliyemipgia kura wakati ule nakumbuka nilikuwa kidato cha pili! alikuja shuleni kwetu kuomba kura na alifanyiwa zengwe na Headmaster asiongee na wanafunzi lakini tulimfuata shule nzima na headmaster akabaki ameduwaa!

Hizi chokochoko ndani ya Chama zimenikumbusha muda mfupi kabla hajafariki alikuwa ktk harakati za kugombea uongozi ndani ya chama na yaliyomkuta kila mtu anayafahamu!

Tatizo kuna watu humu kazi yao ni kushadadia tu...mimi nimekuwa mwanachama wa chadema tangu nikiwa Form One mwaka 2004,Migogoro ndani ya chama inaniuma sana na kunikatisha tamaa jamaa yangu!
Sawa mkuu nimekusoma, ila ulipiga kura ukiwa form two!!? Anyway, hoja yangu ni kwamba tusiamini kila lisemalwo kuhusu kifo cha Wangwe(R.I.P). Inaweza ikawa ilikuwa ajali ya kawaida tu au ilisukwa na watawala ili kuvuruga chama ( kumbuka mahojiano ya Dr.ulimboka na watesaji wake). Ina maana leo hii EL akipata ajali na kufa ( Mwenyezi Mungu aipishie mbali) utawalaumu akina Sita & Co kuhusika moja kwa mbona kwa kuwa nao wanataka Urais?? Tutafakari Magnificent.
 
Kinachomsumbua huyu pimbi yericko mla mbwa ni njaa zake,

Wewe njaa zitakuua,upadates unaweka vpi kwa simu yako ya tecno??

Updates wenzako wanajipanga kwa picha na kila aina aina ya vithitisho,sasa update kama hii mtu hata chumban si unaweza kuifanya?unampigia yule aliyeko mahakamani kisha akawa anakusimulia na wewe ukaaandika

Kinachokusumbua ni njaa kali na kutokuwa na kazi mjin hapa,unajipa kazi isiyo yako mbaya zaid hata hii sacoss haikusapot kwa hilo,

Laana ya kumkana mzazi wako MZEE MSAMBILA NA KUKIKMBILIA JINA LA NYERERE KITAPELI itakutafuna hadi unaingia kaburuni FUNDI MCHUNDO WEWE,,PEOPLE WITH SAD DESTINY

SACOSS INAKUFA SASA,TAFUTA UTAPELI MWINGINE
 
Hapana Mkuu,kwetu ni TARIME na Chacha Wangwe(R.I.P) alikuwa mbunge wangu niliyemipgia kura wakati ule nakumbuka nilikuwa kidato cha pili! alikuja shuleni kwetu kuomba kura na alifanyiwa zengwe na Headmaster asiongee na wanafunzi lakini tulimfuata shule nzima na headmaster akabaki ameduwaa!

Hizi chokochoko ndani ya Chama zimenikumbusha muda mfupi kabla hajafariki alikuwa ktk harakati za kugombea uongozi ndani ya chama na yaliyomkuta kila mtu anayafahamu!

Tatizo kuna watu humu kazi yao ni kushadadia tu...mimi nimekuwa mwanachama wa chadema tangu nikiwa Form One mwaka 2004,Migogoro ndani ya chama inaniuma sana na kunikatisha tamaa jamaa yangu!


Acha kung'ata na kupuliza tabia hii mwachie mdudu panya ,kama kweli Chacha Wangwe angekuwa ameuwawa na Chadema hivi unafikiri hawa polisi wa ccm na msajili wa vyama vya siasa wangekifanyaje hichi chama?.Tunajua ccm wanajitahidi sana kuhakikisha wanakipaka Chadema matope kwa namna yoyote ile ,ila wakumbuke Chadema ni mpango wa Mungu tutasonga mbele.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom