mwanamakambako
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 780
- 119
tuliishasema, ccm ndio wanaoharibu amani ya nchi hii, sasa wanajidhihirisha wazi wazi, wameenda kufanya nini mahakamani na kuanza kuimba nyimbo zinazohusu Zitto, na hao cuf wanafata nini huko, tukisema cuf ni ccm B mnabisha, sasa mnajidhihirisha wazi mbele ya umma, fahamuni ya kwamba hamshindani na CHEDEMA, bali mnashindana na umma wa watanzania, kamwe hamtaweza.