Nzige The Bless
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 995
- 743
Ngoja tuendelee kufuatilia mwenendo wa kesi, haki tu itendekemashahidi wa serikali naona bado wanajichanganya
Ngoja tuendelee kufuatilia mwenendo wa kesi, haki tu itendekemashahidi wa serikali naona bado wanajichanganya
KAZI unayo kichwa kibovu kwelikweli
Watu waepuke kuwa mashahidi wa uwongo.Mungu atawaadhibuKama kawaida kesi hii yenye kuvutia mamilioni ya watu duniani inaendelea tena leo 14/01/2022 ,kila siku inapotajwa yanaibuka mambo mapya yenye utata mkubwa , ya miamala umeyasikia , sasa hatujui leo kutaibuka jambo gani .
Peter Kibatala na timu yake wapo tayari .
Kucheleweshwa kuipata haki, ni kama na KUNYIMWA HAKI!Ngoja tuendelee kufuatilia mwenendo wa kesi, haki tu itendeke
Hakuna shule iliyowahi kufundisha uongo
sio mimba ni uvimbe unaosababishwa na ARV ,njaaa Kali ndomana anapambania posho dawa zile inatakiwa kulasanaHuyo shahidi wa serikali huenda kile ki mimba changa chake kikatoka
Aiseeee !! itakuwa TRIMUNE 30 hiyo !sio mimba ni uvimbe unaosababishwa na ARV ,njaaa Kali ndomana anapambania posho dawa zile inatakiwa kulasana
Nilichogundua hapa ni kwamba waajiri wengi wanapenda incompetent persons. Hii ni kwa sababu competent & smart persons hawapendi kuajiriwa.Just imagine waajiri Airtel wapo wanafatilia umahiri wa Meneja mbele ya kina kibatala
Hongera sanaSiombei but incase one day nikaingia kwa pilato kupitia case hii nina kianzio
"Nilichogundua hapa ni kwamba waajiri wengi wanapenda incompetent persons."Nilichogundua hapa ni kwamba waajiri wengi wanapenda incompetent persons. Hii ni kwa sababu competent & smart persons hawapendi kuajiriwa.