Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,727
- 218,289
Kama kawaida kesi hii yenye kuvutia mamilioni ya watu duniani inaendelea tena leo 14/01/2022, kila siku inapotajwa yanaibuka mambo mapya yenye utata mkubwa, ya miamala umeyasikia, sasa hatujui leo kutaibuka jambo gani.
Peter Kibatala na timu yake wapo tayari.
=======
Kufahamu ilipoishia, soma hapa: Yaliyojiri Mahakamani katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, Januari 13, 2022. Kesi imeahirishwa hadi Januari 14 2022
Jaji ameingia Mahakamani Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani Muda huu.
Wakili wa Serikali Robert Kidando:
Mheshimiwa Jaji Ikupendeze naitwa Robert Kidando nipo pamoja na
Pius Hilla
Abdallah Chavula
Jenitreza Kitali
Esther Martin
Nassoro Katuga
Ignasi Mwinuka
Tulimanywa Majige
Wote kwa Pamoja tunawakilisha Jamhuri
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Ikipendeza Mahakama hii Tukufu Majina yangu naitwa Peter Kibatala, Nipo pamoja na wakili
Jeremiah Mtobesya
John Mallya
Dickson Matata
Seleman Matauka
Faraji Mangula
Michael Lugina
Gaston Garubindi
Evaresta Kisanga
Khadija Aaron
Jaji anaita washtakiwa Wote Nne na wote wanaitika wapo Mahakamani
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya Kusikilizwa na sisi tupo tayari
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Na sisi pia Tupo Tayari
Jaji: Shahidi Unakumbuka Kuwa Wakati unaanza Kutoa Ushahidi Wako Uliapa na Bado Upo chini ya Kiapo.. Bwana Mallya unaweza Kuendelea
Mallya: Mheshimiwa Jaji Naweza Kukumbushwa nilipoishia Jana
Jaji: Ulikuwa Unamaliza Kueleza Kielelezo namba 20, pale ambapo P and P Inatumika na akajibu Kuwa Ni pale ambapo Mteja kwa Mteja na Kwa agent
Mallya: Ni sahihi Shahidi Kuwa Cash out ni Kutoa pesa Kwa Wakala?
Shahidi: Ndiyo anapotoa Pesa yake Kwa Wakala kwa namba yake
Mallya: naomba Kielelezo namba 15
Mallya: Je ni sahihi Muamala umeandikwa Cash out hapo Kwenye Kielelezo, Kwamba Mtu aliye tumiwa laki 5 akaenda Kutoa Laki 3
Shahidi: Ndiyo sawasawa
Mallya: Inaonyesha kuwa Hiyo laki 3 aliifanyia nini
Shahidi: Haionekani
Mallya: Kuna uwezekano Mtu Kujiwekea Pesa Mwenyewe Kupitia Kwa Wakala
Shahidi: kimya
Mallya: Hiyo laki 5 ambayo inaonekana iliwekwa kwa Wakala, Je Kuna uwezekano huyo Mtu alijiwekea hiyo Laki 5 Mwenyewe?
Shahidi: Naomba urudie tena
Mallya: Kwenye Hiyo laki 5 ambayo inaonekana iliwekwa kwa Wakala, Je Kuna uwezekano huyo Mtu alijiwekea hiyo Laki 5 Mwenyewe
Shahidi: haijatoka kwa Wakala
Mallya: Lakini Ame Cash out kwa Wakala?
Shahidi: Ndiyo Ame Cash out kwa Wakala
Mallya: Inawezekana Mtu Kuitumia Pesa yake Kutoka Namba Yake ya Tigo Kuja namba ya Airtel
Shahidi: Ndiyo inawezekana
Mallya: Wewe Ulitueleza hiyo namba ya Tigo ni ya Nani
Shahidi: Hapana sijaeleza
Mallya: Kuna Record Yoyote Uliyo leta hapa Mahakamani Inayoonyesha hiyo Elfu 80 Baada ya Hapo ilienda wapi
Shahidi: Hapana
Malya: Kwenye Kielelezo Namba 20, Ulizungumzia Muamala Wa TSh 199,000 wa Tarehe 22 July 2020?
Shahidi: Ndiyo nilizungumzia
Mallya: Ni Cash in au?
Shahidi: Ndiyo imeandikwa Cash In
Mallya: Line ya Airtel inauzwa TSh ngapi
Shahidi: TSh 500
Mallya: Kuna Kanuni Zinazohusu Kuhusu Ku handle Sim card, Je unazijua
Shahidi: Ndiyo nazijua
Mallya: Je Kwa Mujibu wa Hiyo Barua iliyoomba Taarifa Ulichukulia Serious.?
Shahidi: Ndiyo Nilichukulia serious
Mallya: Hiyo namba Unayosema kuwa ni ya Khalfani Bwire imeuzwa kwa GODSON MNUO
Shahidi: Mimi sifahamu
Mallya: Nyie mmeuza namba ya Khalfani Bwire Kwa TSh 500?
Shahidi: Sikujua kama wameuza
Mallya: Khalfani Bwire alicha pesa zake mule, na hatujui kuwa za ugaidi au Lah, Je anapata wapi pesa zake?
Shahidi: Pesa zake zinawekwa kwenye collection Akaunti
Mallya: Kwa hiyo Airtel mnayk Collection akaunti za kutunza oesa za ugaidi?
Shahidi: Hapana, Hapana.. Si Kweli..
Wakili wa Serikali: OBJECTION Mheshimiwa Jaji Namna Wakili Mallya anavyouliza Maswali Kwa Shahidi Anaaanza yeye Kutoa Ushahidi, Hakuna Sehemu Shahidi Kasema Kuwa Kuna Collection Akaunti ya Ugaidi huko Airtel..
Sitaki Kuingilia Mahakama, Mimi nimesikia Kuwa anasema Kwenye Collection Akaunti Ya Airtel Kuna Pesa za Ugaidi, Tunaomba Wakili aelekezwe namna Nzuri...
Mallya: Mheshimiwa Jaji, naamini Mahakama imerekodi Vizuri,
Jaji: nilikuuliza mahakamani Mara Kadhaa, Je hayo Mengine unayosema unayatoa wapi, Kuna wakati Unaulizwa kwa wewe Kwa kutoa Maelezo.. Sasa unakwenda mbali wakati unazungumzia na kuyasema hayo, hayapo Kabisa Katika Proceedings, Naomba Uulize Yale Yaliyopo Mahakamani Tafadhali
Mallya: Mheshimiwa Jaji Nimesikia, ila Nina Haki ya Kuuliza Kuwa Mimi nafahamu hivi Je wewe Unafahamu Vipi?
Jaji: Kuna Maswali ambayo Umekuwa unamuuliza wewe, Ndiyo Uwe Unauliza Maswali tu.
Mallya: kwa hiyo mnasema kwamba zile pesa za Khalfani Bwire zipo kwenye collection Akaunti?
Shahidi: Nitaomba kuelezea
Mallya: Utaelezea baadae, Hapa jibu swali tu.
Mallya: Sasa Wewe Ulipokea Barua Kuwa Hawa watu wanachunguzwa, Je hiyo Siyo Exception ya Kuzuia hiyo namba?
Shahidi: Sikujua Kama Wanachunguzwa
Mallya: Soma Barua ya Uchunguzi wa Kisayansi walisema nini..
Shahidi: Wanaomba Taarifa Kwa Uchunguzi zaidi
Mallya: Kwa hiyo Nyie Mkauza Ushahidi Wa Khalfani Bwire Kwa Tsh 500
Shahidi: atazikuta zimewekwa
Mallya: Je Mteja wangu akitaka Kujitetea so itabidi ampokonye huyo GODSON MNURU?
Shahidi: Taarifa zake zipo lakini
Mallya: Ulitoa ufafanuzi huo
Shahidi: Sikuulizwa
Mallya: Jibu swali
Shahidi: Sikuulizwa
Mallya: Mheshimiwa Jaji naomba ajibu swali Langu
Jaji: Umeelewa swali?
Shahidi: Si Kutoa Ufafanuzi
Mallya: Kwenye Barua Yako Soma Paragraph ya Mwisho
Shahidi: Tupo tayari Kuendelea Kutoa Ushirikiano zaidi
Mallya: Kwenye Muamala ulijisumbua Kujua Wakala alikuwa nani?
Shahidi: Sikufuatilia
Mallya: Kwa hiyo unasema Namba Inakuwa Dormant Kwa Siku Ngapi, kuwa Deactivated?
Shahidi: Siku 90
Mallya: Mshtakiwa Nmab Moja Kizimbani Khalfani Bwire, alikamatwa Tarehe 9 August 2020 Je Wewe Uliombwa Lini Taarifa za Hiyo namba?
Shahidi: Tarehe 1 July 2021
Mallya: Ni Miezi Mingapi Ilikuwa Imepita
Shahidi: Kama 10 au 11
Mallya: Kwa hiyo ni zaidi ya Miezi 3 ya Kisheria Kuwa Namba Inakuwa Deactivated
Shahidi: Ndiyo
Mallya: Sasa tangu yule Bwana amekamatwa Mpaka Wewe Unaombwa Taarifa Tayari Namba ilikuwa Deactivated
Shahidi: Ni sahihi
Mallya: Sasa Bwana GODSON MNURU anasema Kuwa alinunua hiyo line Mwezi January 2021, ni sahihi Kwamba KYC ya Hii namba ingesoma namba yake siyo Khalfani Bwire?
Shahidi: Hakuna Record Yoyote, Kwa hiyo siwezi Kutoa Jibu
Mallya: katika hali ya kawaida kwa miezi 10 namba ya Bwire ingekuwa deactivated au isingekuwa deactivated
Shahidi: Ingekuwa Deactivated
Mallya: Mheshimiwa Jaji sina swali lingine
Dickson Matata: Mheshimiwa Jaji sina Swali Kwa niaba ya mshtakiwa wa tatu
Wakili Peter Kibatala: Shahidi Gazeti la The Citizens la Tarehe 12 January 2019 Serikali kupitia waziri Kabudi, Serikali Ilifanya mazungumzo na kampuni ya BHART AIRTEL ili kuongeza Hisa zake kutoka 40% Mpaka 49%
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Kwa hiyo Serikali ya Jamhuri Wa Muungano Wa Tanzania ni Ma' boss zako?
Shahidi: Si Kweli
Kibatala: Je unafahamu Kuwa Serikali ya Jamhuri Wa Muungano Wa Tanzania Ina Nominate Wakurugenzi Kuingia katika Kusimamia Kampuni ya AIRTEL?
Shahidi: Ndiyo nafahamu
Kibatala: Je hao nWakurugenzi Maboss Wako au siyo Maboss zako?
Shahidi: Siyo Maboss zangu
Kibatala: Kwa hiyo wewe Uli report kwa Bodi ya Wakurugenzi iwe Direct au Siyo Direct?
Shahidi: Siyo Maboss zangu
Kibatala: Kwa hiyo wewe Legal Manager una report wapi
Shahidi: Kwa Managing Director
Kibatala: Ambaye yeye ana report kwa nani
Shahidi: Kwenye Bodi
Kibatala: kwa hiyo Bodi wakitoa Malekezo Managing Director akufukuze Kazi with Regard ya Labour Law, Utafukuzwa au hautofukuzwa?
Shahidi: Ushasema Labour Law
Kibatala: Nataka Kujua Wana Uwezo wa Kuagiza, au hawana?
Shahidi: Wana uwezo Wa Kuagiza
Kibatala: Kwenu ninyi Airtel Kipi ni Paramount
Shahidi: Mteja ni Mtu muhimu kwetu na tunaangalia sana taarifa zake lakini pale panapohitajika Kisheria Ku' Comply na Sheria, tunafuata Sheria..
Kibatala: Kama Mteja hataki Data zake ziwe Relesed, Wakati Inforcing Organ Wanataka Data zake, wewe kama mwanasheria Una' ishauri nini board ya Directors?
Wakili wa Serikali: OBJECTION Mheshimiwa Jaji Law enforcement wanahitaji taarifa, swali lake limejengewa katika premises na wanataka kumtengenezea kesi shahidi, Yeye aseme tu Polisi wanataka taarifa...
Kibatala: Kwa Heshima Mhe Jaji, Sitamjibu Kwa Kuokoa Muda
Shahidi: Sitajua, Sababu ni Opinion
Kibatala: Je Unafahamu Kuwa Freeman Mbowe ni Kiongozi Wa Chadema au hufahamu
Shahidi: Nafahamu
Kibatala: Unafahamu Kuwa Mr Mbowe amekuwa na Kesi Mbalimbali na Law enforcement Organ
Shahidi: Sifahamu
Kibatala: Je unafahamu hapa unakuja Kutoa Ushahidi Anashtakiwa Kwa Kesi Kesi gani
Shahidi: Nafahamu
Kibatala: Umekuja Kutoa Ushahidi Kuhusu Kesi gani inayo Mkabili Mteja wako
Shahidi: Economic Crime
Kibatala: Unafahamu Ni Kesi ya Ugaidi?
Shahidi: Sifahamu
Kibatala: Kabla ya kuwa the Guardians ulikuwa kampuni gani ya Mawakili?
Shahidi: Hallmark
Kibatala: Nilisikia Unazungumzia Kuhusu Summons, Je Ile summons inasema Wanashtakiwa kwa Makosa ya Ugaidi
Shahidi: Mpaka nitazame tena
Kibatala: Jana Ulitaja Namba 3 kwa Kumbukumbu zako
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Ila Kuhusu Summons Hukumbuki
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Barua Imekufikia Tarehe Ngapi Mwezi gani na Mwaka gani
Shahidi: Tarehe 02 July 2021
Kibatala: na wewe Umejibu Tarehe Ngapi
Shahidi: Tarehe 02 July 2021
Kibatala: Ni sahihi Kusema ulijibu Siku ileile
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Wakati Unafanyia kazi Ulijua Unafanyia Kazi Namba ya Freeman Aikael Mbowe
Shahidi: Ndiyo Niliona kwenye KYC kwenye Picha
Kibatala: Iambie Mahakama na Mteja wako Freeman Mbowe, Je ni Juhudi gani Ulichukua Kulinda Taarifa za Mteja wako
Shahidi: Niliombwa na Chombo chaUchunguzi
Kibatala: Hilo Jibu ni zuri ila si la Swali langu, Swali Ni Kwa namna gani ulijaribu Kulinda Taarifa za Mteja wako Kama Ulijibu Siku hiyo hiyo?
Jaji: umeliewa swali?
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Nimeelewa swali, ila Chombo kilichoniomba Kina Ruhusiwa Kisheria
Kibatala: kwa hiyo Unasema kuwa Ulijibu Ile Barua Kwa sababu Imetoka Police?
Shahidi: Hapana
Kibatala: Kwa hiyo Tutaona wapi Kama Airtel Wali balance kati ya Mteja wao na Police?
Shahidi: huwezi Kuona
Kibatala: Jana Mawakili Walitaja Sheria ya Makosa ya Mtandao wewe Ukataja Sheria ya Electronic and Post Communication Act, Je unafahamu Regulations ya Proctection of Consumers?
Shahidi: Naweza Kupata nijikumbushe?
Kibatala: Ngoja Mawakili Wako wa Serikali Wajiridhishe Kwanza
Kibatala: Sasa Tusomee Rule 6(2)(d)
Shahidi: Inasema 6(2) The Collection and Maintenance of Information on Individual's Consumer...... ANASOMA
Kibatala: Je Ni kweli Nyie kama Licensee Mnatakiwa Ku' balance Haki zingine za Mteja?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Ni sahihi Hizo Haki ni pamoja na Privacy
Shahidi: hapo itabidi tuangalie Kwenye Interpretation
Kibatala: Unafikiri Utaweza Kuona, Ngoja nikuonyeshe
Shahidi: Ni kweli Haijasema
Kibatala: Nilijua haijasema, Sasa Unasemaje
Shahidi: Ni kweli Inajumuisha Haki ya Privacy
Kibatala: Katika Sheria hii Kuna sehemu Inaonyesha Mteja Haki zake zitupwe Kapuni for the Name of Compliance?
Shahidi: Hapana,
Kibatala: Je Unafahamu Kuwa kuna Judicial Review?
Shahidi: Ndiyo nafahamu
Kibatala: Iambie Mahakama Nyie Kama Airtel Mnaweza Kufungua Judicial Review Pale Mnapopewa Amri
Shahidi: Hapana
Kibatala: Je Kuna Sheria Inakataza Nyie Airtel Ku Challenge Order ya Kutoa Taarifa za Mteja wenu
Shahidi: Hakuna Sheria hiyo
Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji Airtel Ilienda Mahakamani Ku' Challenge Haki ya Mteja Wake
Shahidi: Hapana Haikwenda
Kibatala: Je Uliwandikia Barua Police Kuwa Wawawape Details Kutaka Kujua Nini Kinafanyika
Shahidi: Hapana hatukuwaandikia
Kibatala: Je kuna Jambo Lolote Liliwazuia Kufanya hivyo Kisheria?
Shahidi: Hapana
Kibatala: Shahidi Na Kuonyesha Kielelezo P16 Cha Requisition letter, Je Mwambie Mheshimiwa Jaji ni wapi Barua hiyo iliwaharakisha Nyie Airtel Muwape hizo Taarifa
Shahidi: Hakuna
Kibatala: Kwa hiyo Hakuna Kwenye Barua Mahala ambapo Pameonyesha Palikuwa na Haraka katika Kujibu Barua
Shahidi: Hakuna
Kibatala: Na Jana Hukusema Kabisa Kama Ulifanya Kwa Haraka Kwa Sababu Gani
Shahidi: Sikusema
Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji zaidi ya Kungalia BARUA yenyewe Kuna Hatua gani Ulichukua Ku Authenticate.
Shahidi: Hakuna Kingine Nilicho fanya zaidi Ya Kuangalia Barua
Kibatala: Huyo aliyesaini Barua Unamfahamu?
Shahidi: Simfahamu
Kibatala: Mpaka Leo hujawahi Kumuona
Shahidi Sijawahi Kumuona
Kibatala: Kwenye hiyo Barua Kuna Namba za Simu
Shahidi: Ndiyo Kuna namba za Simu
Kibatala: Ulizitumia hizo namba za Simu
Shahidi: Hapana
Kibatala: Badala Yake Baada ya Wiki 1 Ukaenda Kutoa Maelezo Yako Kwa Inspector Swila
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Je Ulichukua Hatua Kuchunguza Kama anayekuhoji alitoka Cyber
Shahidi: Sikuchunguza
Kibatala: Na Wala Hukuchunguza Mpaka Leo Kuwa Swila alikuwa anapeleleza Makosa ya Ugaidi na Siyo Cyber
Shahidi: sikuchunguza
Kibatala: Na Swila Haku kwambia Kuwa anaandika Maelezo Kuhusu Makosa ya Ugaidi
Shahidi: Hakuniambia
Kibatala: Wewe Ulijua Anakuhoji Maelezo Kwa Makosa gani
Shahidi: Barua inasema Kuwa Walikuwa Wanaomba Taarifa Kwa ajili ya Kuchunguza Tuhuma Za Jinai
Kibatala: Hizo tuhuma Za Jinai Wakati Unajibu Ulikuwa Unaifahamu au Huzifahamu
Shahidi: Nilikuwa sifahamu
Kibatala: Hii Barua ya P16 Inasema Kuwa Iliandaliwa Chini ya Kifungu cha 34 cha Sheria gani
Shahidi: ilikuwa inataka Taarifa kwa kutumia Sheria Ya Makosa Ya Mtandao
Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji, Hii Barua Ilikuwa addressed Kwa nani
Shahidi: Ilikuwa addressed Kwa Mwanasheria
Kibatala: Kwa hiyo wigo uliokuwa nao wa Kushughulika na hiyo Barua ni Uanasheria Wako tu?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Na Hiyo Barua Haikuelekezwa Kwa HR, Wala Mfagiaji?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Wewe Kama Mwanasheria Wa Miaka 8, Je ni wapi Katika Barua, Kielelezo namba 15, Ni wapi Mheshimiwa Jaji akiangalia ataona Iliandikwa na Wewe Gladys au Mwanasheria?
Shahidi: Neno Mwanasheria Halipo
Kibatala: Tukitaka tujue Kuwa amejibiwa na Mwanasheria Tunaangalia wapi?
Shahidi: Hakuna.... Lakini Gladdys ni nani?
Kibatala: Sitaki Maswali mimi hapa
Kibatala: Ombi limeletwa Kisheria, Kwa Watu waotegemewa Kutoka Jeshi la Polisi.... Na Kwa terms of reference, Je ni sahihi Kwamba na wewe Ulitakiwa Kujibu kwa Kufuata terms of reference
Shahidi: Ni Kweli
Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji Kuwa Barua Iliomba Taarifa namba Ngapi
Shahidi: Namba 3
Kibatala: Na wewe Ukapeleka Majibu ya Taarifa za namba ngapi
Shahidi: Namba 2
Kibatala: Zina oana au zipo tofauti
Shahidi: Zipo tofauti
Kibatala: Jana Ulisema Kuwa kuwa Barua ilipokelewa Wapi
Shahidi: Reception
Kibatala: Baada ya Hapo Ikawaje
Shahidi: Waka minutes kuja Kitengo Cha sheria
Kibatala: Wewe Kama Mwanasheria Wa Airtel, Miaka 8 Unafahamu Kitu kinaitwa Chain of Custody?
Shahidi: Hapana Sifahamu
Kibatala: Na Ni Mwanasheria Miaka 8
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Okey Tuendelee, Ni wapi Barua hiyo Mheshimiwa Jaji akiangalia ataona Kuwa Ilipokelewa Mapokezi Airtel
Shahidi: Hapana
Kibatala: Barua hiyo inaonyesha Kuwa Ilifika Kitengo Cha Sheria
Shahidi: Hapana
Kibatala: Maelezo Yako Ulizungumzia Kuhusu Dispatch au Register
Shahidi: nilizungumzia
Kibatala: Hiyo Register Kamq Mwanasheria Mkuu wa Airtel Ungetaka Kuja nayo Ungenyimwa
Shahidi: Hapana nisingenyimwa
Kibatala: Register hiyo Ulileta Mahakamani
Shahidi: Hapana Sikuleta
Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Register hiyo ilipotea au ipo Mbali
Shahidi: Hapana
Kibatala: Ulimwambia Jaji Kuwa Mpaka Wewe Unaleta Barua Hapa Mahakamani Ulimwambia Jaji Ulitoa wapi hiyo Barua
Shahidi: Sikueleza hayo Unayo yasema
Kibatala: Ulimwambia Jaji Kuwa Barua Kama hizo Zilizotoka POLISI zinahifadhiwa wapi Pale Airtel
Shahidi: Si kumwambia
Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Barua hiyo Uliyotoa inalingana na Nakala ya Barua iliyopo Jeshi la Polisi
Shahidi: Sikumwambia
Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kuwa Barua ilifika Vipi Polisi
Shahidi: Sikumwambia
Kibatala: Wewe Unafanya Kazi Masijala Ya Polisi?
Shahidi: Hapana
Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Barua Uliyotoa Jana na Uliyopeleka Jeshi la Polisi Zinafanana Content
Shahidi: Hapana Sikumwambia
Kibatala: Ndiyo Maana Nilikuuliza Hapa Unajua Maana ya Chain of Custody?
Shahidi: Nili Jibu sifahamu
Kibatala: Twende eneo Lingine
Kibatala: Ni kweli Taarifa Unazo leta, zinaonyesha zipo Uncorrupted?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Nianze Kielelezo namba 17, 19, na 20
Kibatala: Je Ile Taarifa Ulivyopokea Uli' print au Ulim' taarifu Boss wako?
Shahidi: Nili Print tu..
Kibatala: Mpaka Unatoa Taarifa Hii Mahakamani Airtel Wanafahamu Kuwa Ulitoa Taarifa hii?
Shahidi: Ndiyo Wanafahamu
Kibatala: Je Ulimwambia Sasa Mheshimiwa Jaji Kuwa Uliwa taarifu Ma' boss zako Kuwa Uliingia Katika Mfumo Ukatoa Taarifa?
Shahidi: Hapana Sija Mwambia
Kibatala: Ni Kitengo Gani pale Airtel kina husika na statutory Liability, Consumers Liability?
Shahidi: Sisi Pale Vitengo Vinashirikiana, Kitengo Cha Sheria ndiyo kina Mamlaka ya Kushughulika na Mambo yote ya Kisheria
Kibatala: Ni lini Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Baada ya Kutoa Taarifa, Ulimtaarifu MD au Boss Wako?
Shahidi: Mheshimiwa Jaji ananiuliza Utaratibu ambao sisi hatuna..
Kibatala: Je ni kweli au siyo Kweli Kwamba Kabrasha la Sheria lazima lipelekwe board of Directors??
Shahidi: Ni kweli
Kibatala: Twende Eneo Lingine
Kibatala: Jana Nilisikia Unasema Mojawapo Ya Mambo Uliyo yataja Ulitaja System Kama AGILE, BUSSINESS INTELLIGENCE na MOBIQUIT sasa Mwambie Mheshimiwa Jaji Kuwa AGILE ni nini
Shahidi: Ni Mfumo wa Kungalia Taarifa za Mteja
Kibatala: na Ukiwa Chini ya Kiapo unasema AGILE ni Mfumo, na siyo Utaratibu Wa Kuangalia Mauzo, Idadi ya wateja Ili Kuongeza ufanisi wa Kampuni?
Shahidi: AGILE ni Mfumo
Kibatala: Unatengenezwa na Nani?
Shahidi: Sikumbuki
Kibatala: Na nani ana Hakimiliki ya Trademark ya AGILE?
Shahidi: Sifahamu
Kibatala: Jana Nani hapo alisimama Kusema Kwamba alienda Training?
Shahidi: Ni Mimi
Kibatala: Twende kwenye BUSSINESS INTELLIGENCE, yenyewe ni Software?
Shahidi: Ndiyo ni Software
Kibatala: Inatengenezwa na nani
Shahidi: Sijui
Kibatala: Ina Version Ngapi
Shahidi: Sijui
Kibatala: Nani Jana alileta Habari za Bussiness Intelligence hapa?
Shahidi: Ni Mimi
Kibatala: Wakati Jana Unatoa Ushahidi Kuhusu Bussiness Intelligence, Ulitolea Ushahidi Ku Impress Kuwa unafahamu au Ulijua Kuwa ni authentication?
Shahidi: Nilitaja Kutoa Ushahidi
Kibatala: Mwambie Mhe Jaji Kuwa kweli BUSSINESS INTELLIGENCE ina Exists inahusiana Vipi na Vielelezo 17, 18, 19 na 20
Shahidi: Haihusiani
Kibatala: Ya 3 inaitwa nini
Shahidi: MOBIQUIT
Kibatala: Unafahamu Kweli?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Airtel Wame Install lini Hiyo MOBIQUIT
Shahidi: Sifahamu
Kibatala: Ina Version Ngapi
Shahidi: Sifahamu
Kibatala: Ipi Version ni safety and latest of MOBIQUIT?
Shahidi: Sifahamu
Kibatala: Ni lini Ulifahamu Kuwa Kuna MOBIQUIT ipo na Inafanya kazi Shahidi Nimajiriwa Airtel Nimekuta Inafanya kazi
Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba MOBIQUIT Ilikuwa Upgraded lini
Shahidi: Sikumwambia
Kibatala: Ulimwambia Weeknes za MOBIQUIT Kama Kweli ina Exists
Shahidi: Si kumwambia
Kibatala: Ulimwambia inatofauti gani na Software zingine
Shahidi: Hapana Sikumwambia
Kibatala: Hizi Data Zinakuwa Stored kwenye servers?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: unafahamu Kuna aina Mbalimbali za Server?
Shahidi: Hapana, Sifahamu
Kibatala: Kama Hufahamu hata Aina ya Server ya Airtel Bado unataka tuamini Kuwa hizi Data hazijachezewa?
Shahidi: kimyaaaa
Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Sever ya Airtel ni ya Aina fulani
Shahidi: Hapana Siku Mwambia
Kibatala: Je Ulimwambia Kuwa Hizo Saver Zinakuwa Upgraded lini
Shahidi: Sikusema
Kibatala: Twende eneo lingine
Kibatala: Hizi System zote Kuna Watu wanazi Mantain Pamoja na Kuzifanyia Auditing?
Shahidi: Sahihi
Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Kuna Internal auditors
Shahidi: Sikumwambia
Kibatala: Nyie Mna External Auditors au HAMNA?
Shahidi: Sifahamu
Kibatala: Nilisikia Unazungumzia Kuhusu Firewalls, Kama Ukuta For Protection
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Zipo aina Nyingi sana za Firewall
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Na Ulitaja ili Kuonyesha Taarifa zipo salama
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kuhusu aina ya Firewall wanazotumia Airtel
Shahidi: Sikumwambia
Kibatala: Ulitoa Sababu yoyote kwa Jaji Kuwa huwezi Kutaja aina ya Firewall Mnazotumia kwa ajili ya Industrial Secrets?
Shahidi: Hapana Sikumwambia
Kibatala: Ni kweli Kuna aina Mbalimbali za Firewall
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: na Ni kweli zinatofautiana Ubora..?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Twende eneo lingine
Kibatala: Uliwahi Kupokea Barua ya Jeshi la Polisi Kuwa Muifanyie Uangalizi Miamala Ya Freeman Mbowe?
Shahidi: Hapana
Kibatala: Nyie Kama Airtel Mlifahamu Kuwa Mbowe anafanyiwa Uchunguzi wa Makosa ya Ugaidi
Shahidi: Hapana
Kibatala: Baada ya Tarehe 02 July 2020, Freeman Mbowe aliendelea Kuwa Uraiani na Kuendelea Kutumia namba zake, Je Nyie Kama Airtel mlishawahi Kuwa na Wasiwasi na Miamala ya Freeman Mbowe?
Shahidi: Hapana
Kibatala: Nyie si Reporting authority?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Moja ya Majukumu yenu Kama Reporting Authority si Mngeli' taarifu Jeshi la Polisi kama Kuna Miamala Yenye Mashaka??
Shahidi: Hapana
Kibatala: Katika wakati wote Hamkuwahi Kupata Kengele ya Kiusalama Kuhusu Kiwango Cha Pesa Kama Sehemu ya Kigezo Chenu cha Kutilia Mashaka Namba ya Freeman Mbowe?
Shahidi: Namba Yake Haikuwa Kupiga Kengele ya Kutilia Mashaka
Kibatala: Miamala ya Tarehe 20 July 2020, Zinahusisha namba gani na namba gani
Shahidi: Ni 780900174 ambayo ilituma Kwenda 787555200
Kibatala: Kwa hiyo Hizo namba zinaanza na 7 na Siyo Sifuri?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Namba Ambazo zipo katika Kielelezo Cha Polisi na Hizo, Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Ndiyo namba hiyo hiyo?
Shahidi: Si kutolea Ufafanuzi
Kibatala: Unakubaliana na Mimi Kuwa Kuna Utofauti Katika Kielelezo P20 hizo namba hazianzi na Sifuri lakini Katika Barua ya Maombi Zinaanza na Sifuri?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: ambapo Tunasema Hukumfafanulia Mheshimiwa Jaji
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Nilisikia Mnasema Kuwa Kuna Collection Akaunti au Wallet sijui nini na nini..
Shahidi: Unaweza Kuita Wallet
Kibatala: Ni ya kampuni gani
Shahidi: Ni wallet ya Tigo
Kibatala: Wewe Ni Mtu sahihi Kuzungumzia Wallet ya TIGO TZ?
Shahidi: Ndiyo naweza Kuzungumzia
Kibatala: kati yako wewe na Mtu wa Tigo nani yupo Competent Kuzungumzia Originating namba ya Tigo?
Shahidi: Ni Mtu wa Tigo
Kibatala: katika Barua Yako ya Tarehe 02 July 2020 Hukutoa Maelezo Yoyote
Shahidi: Ni kweli Siku toa
Kibatala: Transactions Ya Chini yake umesema ni Namba ya Agent, Je unamfahamu
Shahidi: Hapana Simfahamu
Kibatala: Airtel Mnasajili namba za Agent na Mna File Lake, Je ni kweli?
Shahidi: Hapana
Kibatala: Je Hilo file lipo Hapa Mahakamani ili tujue Kama Ana Uhusiano Na Mbowe?
Shahidi: Hapana Halipo Mahakamani
Kibatala: Katika Barua Yako ya 02 July 2020 uliwaambia Polisi Juu ya huyu Wakala?
Shahidi: Sikumwambia
Kibatala: nikitumiwa namba yangu ya Airtel siwezi kumtuma House girl, akifika kwa Wakala anitumie namba niweze Kutoa Fedha hiyo?
Shahidi: Haiwezekani
Kibatala: kwa hiyo Nikimtuma mtu aende kwa Wakala Wangu Kutoa Pesa na nikatoa Bila Mimi Kuwepo pale siwezi Kutoa Pesa? Haya Niambie Kwa Sheria gani inayokataza
Shahidi: Sifahamu
Kibatala: angalia katika taarifa ya namba ya Mbowe, tarehe 20 July 2020, mnasema kuwa alituma TSh 500,000 kwa Denis Urio
Shahidi: HAKUNA MUAMALA HUMU WA HIYO TSh 500,000
Kibatala: Twende Kielelezo namba 20, nitafutie Tarehe 22 July 2020 Kuna miamala miwili ambayo namba ya Freeman Mbowe ilituma pesa kwenda Kwa Denis Urio au Khalfani Bwire either Tsh 190,000 au 199,000..
Shahidi: HAKUNA MIAMALA HIYO
Kibatala: Primary source ya Taarifa Ya mteja ambazo Zinakuwa Reflected katika KYC zipo NIDA ndiyo Maana Mna retrieve Kutoka NIDA?
Shahidi: Sawa sawa
Kibatala: Na wewe hufanyi kazi NIDA
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Na wewe Hukutoa Chochote Kutoka NIDA
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Nilisikia Kuwa Uliitwa Polisi Kuwa Ukaandike Maelezo Yako
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Kama Uliyaandika kwa nia Njema, na yalikuwa ya Kweli, kwanini hutaki Kuyatoa Mahakamani
Shahidi: Siyo Kwamba Sitaki Kuyatoa
Kibatala: Ndiyo sasa Nakuuliza Kwa Nia Njema Kama Kweli Uliyaandika Chini ya Kiapo chq Mungu, kwanini Usitoe?
Shahidi: Jana Kuna Uamuzi Ulitoka Kuwa nisitoe..
Jaji: Mr Kibatala Jana Mtobesya alisema Kuwa Mlikubaliana Kuwa Kama Jopo Mna Withdraw.
Kibatala: Mheshimiwa Jaji Kwa Heshima Na Taadhima Ni kweli Kwamba Wakili Mwingine alifanya Cross Examination Mimi siruhusiwi Kuhoji tena hilo Jambo???
Jaji: yeye alisema Kuwa Mlikubaliana "Sisi ni Jopo" na Kwa Bahati Mbaya Hayupo.
Kibatala: Kama Ikiwezekana naomba Utusomee Ulicho Rekodi Mheshimiwa Jaji
Jaji: Hapana sisomi, Kwani wewe Jana Hukusikia?
Kibatala: Basi Mheshimiwa Jaji sitaki Kubishana na Mahakama, na Nitaomba Kuishia Hapo Kibatala anaketi
WS Jenitreza Kitali: anasimama na Kufanya Re:Examination
Wakili wa Serikali: Jana Uliulizwa Kuhusu Taarifa ya KYC Taarifa za Msajili hazionekani Katika hiyo Taarifa, Ni kwanini labda
Shahidi: Ni kweli Haionekani Lakini Hizo Taarifa Zipo na Zikihitajika zinaweza Kuletwa Mahakamani
Wakili JOHN MALLYA: OBJECTION Taarifa kuwa zipo katika Mfumo wa Usajili Zikihitajika Zinaweza Kuletwa Mahakamani si Sawa na ni taarifa Mpya..
Wakili wa Serikali: Kwa Maoni yetu ni Explanation, na Kwa Upande wetu sisi hatuwezi Kuzuia Shahidi Kueleza jambo
Jaji: Basi eleza Katika Namna ambayo hatoleta Jambo Jipya
Wakili wa Serikali: Jana Shahidi Uliulizwa Kwamba Katika Taarifa Yako Msajili haionekani, Kwa nini ipo hivyo
Shahidi: Mfumo ndiyo Ulivyo lakini Endapo zitahitajika zitaletwa
Wakili wa Serikali: Umeulizwa Kuhusu namba ya Simu Ikiwa Dormant, haitumiki na Kwamba Airtel Wamemuuzia Mtu Mwingine anaitwa GODSON MNURU, Ukasema hwezi Kueleza Mpaka Uone Nyaraka
Shahidi: Ni kweli Nilitaka anithibitishe Jina, Kwa sababu Nisingeweza Kujibu kabla Sijathibitisha
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Kuhusu Wakala kuwa Hukutoa Details za Wakala aliye fanya huo Miamala Wa TSh 300 000, ni Kwanini ilijitokeza
Shahidi: Sikuwa Nimeombwa Taarifa
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Swali Kuhusiana Jukumu lako Kutoa Taarifa Kuhusiana na Kutoa Taarifa, Lakini Pia Kuna Kifungu Cha Wewe Kukataa Kutoa Taarifa Ukamtaka Mtoa Taarifa aende Mahakamani, Ukasema Ni kweli Vifungu Unavijua ila Hukutaka Kufanya hilo
Shahidi: Kuna Vitu Vingi Tunaangalia katika Kutoa Taarifa, Kuna Sheria Zinaniruhusu Kufanya Hivyo na Sheria Siyo Moja, Kwa Hiyo Sheria Inaniruhusu Kufanya hivyo pale Ninapo takiwa Kutoa Taarifa
Shahidi: Kuna Vitu Vingi Tunaangalia katika Kutoa Taarifa, Kuna Sheria Zinaniruhusu Kufanya Hivyo na Sheria Siyo Moja, Kwa Hiyo Sheria Inaniruhusu Kufanya hivyo pale Ninapo takiwa Kutoa Taarifa
Wakili wa Serikali: Pia Jana Kuna Taarifa kwenye Kielelezo namba 17 kuhusu NENO "kanda" Kimoja Kina Neno hilo Kanda Kimoja Hakina , Ieleze Mahakama Kwanini Ilijitokeza hivyo
Wakili JOHN MALLYA: Hizo ni fact Mpya
Jaji: alisema Jana kuwa Wana Extract na Kuprint, haiwezi kuzichanganua
Wakili JOHN MALLYA: Sawa Mheshimiwa Jaji
Wakili NASHON NKUNGU: Mheshimiwa Jaji nina maswali na majibu ya Mtobesya ya jana
Jaji: Umesoma wapi?
Nashon Nkungu: Wenzangu walikuwa wame rekodi
Jaji: Umetoa wapi, Naona una refer kwenye simu, wala huna karatasi
Nashon Nkungu: Basi Mheshimiwa Jaji naomba nikae.
Jaji: Inavyoonekana ni kama kuna source nyingine, Maana proceedings bado sija' certificatify, sasa huyo ana refer kwenye simu, inaonekana kuna source nyingine kwenye simu zaidi yangu....
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Technology imekuwa Kubwa Pia, maana hata sisi mawakili tuna Group la WhatsApp na tuna' share Taarifa na nyaraka mbalimbali humo ndani..
Jaji: Ndiyo Nimeona yeye kashika simu na ninachojua Mtobesya atakuwa kaondoka na simu yake, sasa yeye (Nashon Nkungu) anatoa wapi au ana source nyingine?
Kibatala: Mheshimiwa Jaji Naona tusifungue mambo mengine, itoshe tu kusema, hakuna wakili atavunja kanuni za Mahakama wala Kwenda Nje ya utaratibu wa mahakama au Taaluma yake, mengine ni mambo ya kibanadamu tu...
Jaji: tuendelee...
Wakili wa Serikali: Uliulizwa swali Kwamba Mara baada ya Kupokea Barua Kutoka Kamisheni ya Uchunguzi, Kwamba Waliomba Taarifa hizo Kupitia Cyber Act, Ukasema Kweli Waliomba Ila Ukasema Hukuona Maelezo Zaidi, labda kwa nini
Shahidi: Hapakuwa na Uwezekano wa Kuomba Taarifa Za Ziada, Vile ambavyo tumeomba ni Kwa Utaratibu Wa Sheria na tulifuata Sheria
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Swali Kuwa Tarehe 02 July 2021 Uliombwa Taarifa, Ukajibu Tarehe 02 July
Wakili wa Serikali: Uliulizwa swali Kuwa Wakati Unaomba Taarifa hizi, za Usajili na Mihamala Kama Ulijua Zilikuwa Taarifa za Freeman Mbowe Ukasema Hufahamu, Ukasema Ulijua Baada Kuingia Kwenye Mifumo, Ni Kwanini Ulisema Hivyo
Shahidi: Baada ya Kupata Taarifa, Ndiyo Nilifahamu lakini niliwasilisha kama Nilivyo Ombwa kwenye Barua
WS: Ulirejewa hapa Kuhusu Sheria ya Electronics na REGULATION kuhusu Protection of Consumers Rights, Ukasema Kwamba hazisema Kwamba Haki za Mteja zinatupwa kampuni
Shahidi: Ukiangalia Kifungu hicho Kinatoa Exception, Pale Unapoombwa Taarifa, Paramount ni Mteja lakini Ukienda Mbele Sheria Inatoa Exception Kwenye hilo suala
Wakili wa Serikali: Sawa Labda Kwa Nini Ulijibu Siku hiyo hiyo
Shahidi: Ni kazi niliyo kuwa assigned Siku hiyo hiyo.. Ni Sababu Palikuwa na Volume Kubwa ya kazi
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Tunaomba Neno Volume lisiingie
Wakili wa Serikali: Hatuoni sababu, Ni sawa na Kuzuia Shahidi Kutoa Ushahidi
Jaji: Hoja yake Neno Volume. Haku lisema Mwanzo na lisiingie..
Wakili wa Serikali: Uliulizwa swali Kuhusu Ku' authenticate Barua hiyo, wewe ukasema Barua hiyo ilikuwa imejitosheleza
Shahidi: Sikuwa na Haja Ya Kuona Vitu Vingine Sababu Niliona Vingine vimetimia katika Ile Barua
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Kuhusu Barua Iliyotoka Polisi ambayo ni Kielelezo Namba 16 kuwa palikuwa na Namba za Simu Pale Na Fax Lakini hukuhakiki kama Ile Barua Ilikuwa inahitaji Mambo hayo
Shahidi: Sikutaka Kufanya Hivyo Kwa sababu Barua Ilikuwa inajitosheleza Kutoka katika Ofisi ya Uchunguzi
Wakili wa Serikali: Uliulizwa swali, Wakati anaandika Ile Barua Kama Ulikuwa unajua Kama Unaandika Ile Barua Tuhuma ambazo ulikuwa Unachunguza zilikuwa Zinahusiana na Ugaidi
Wakili wa Serikali: Uliulizwa swali Kuhusu Kuleta Barua Kutoka Legal office Ya Airtel Kama Kweli Ulipewa idhini ya Kujibu ile Barua
Shahidi: Sikuwa Nimeombwa Ushahidi huo
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Kuhusu Barua Yako ya Majibu Hakuna Neno Mwanasheria wala Majina yako, Ni Kwanini Ipo hivyo Shahidi: Sikuwa Nimeandika kwa sababu Niliandika Kwa Niaba ya Airtel, na Kuongeza sababu Kitengo Kinanitambua
Wakili Peter Kibatala: Hayo ya Kwamba Kitengo Kinamtambua Yasiingie..
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Kama Ile Barua ya Airtel Kwemda Polisi uliwasilisha wewe, Ukasema Kweli, na Ukasema hukulinganisha hizo Barua ndiyo ile Uliyoleta Hapa Mahakamani
Shahidi: Nilieleza Ni Barua ambayo Niliandika
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Kama Baada ya Kutoa Taarifa Ulirudi Kuwataarifu Ofisini Ukasema Huku rudi, Ni Kwanini
Shahidi: Ni Utaratibu Wa Ofisi, Unarudi pale tu Unapokwama.
Wakili PETER KIBATALA: OBJECTION Mheshimiwa Jaji suala la Utaratibu ni Fact Mpya..
Wakili wa Serikali: Labda ni Kwa Nini Hukurudisha Taarifa Ofisini
Shahidi: Sikuhitajika Kufanya hivyo
Wakili wa Serikali: Uliulizwa hapa Swali ktk Usha wako Kama Ulisema Kuhusu tofauti ya Software Ya Kuhifadhi Kumbukumbu za Miamala , Ukasema Hukusema
Shahidi: Mifumo ya Uhifadhi Wa Taarifa za Kumbu Kumbu za Miamala ni Mmoja, Kwa hiyo Nisingeweza Kutoa Utofauti wakati ni Moja
Wakili wa Serikali: Uliulizwa kwanini baada ya Kujibu Maombi na baada ya Kujua Taarifa Hii ya Freeman Mbowe, Ukaulizwa kwanini hamkufanya survalance, Ukasema hamkufanya survalance baada ya pale
Shahidi: Barua Haikututaka tufanye hivyo
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Maswali Kuhusiana na Suala la Kama Unaweza Kuzungumzia collection akaunti Ukasema Hauwezi Kuzungumzia Originating Namba Iliyotuma pesa Katika Collection Akaunti, Je ni Kwanini Ulisema hivyo
Shahidi: Kwa sababu ni Namba ambayo originated na Tigo ambayo Inatengenezwa Kama Reference ya Airtel..
Wakili wa Serikali: Ulisema Hapa Kwamba Katika Kielelezo namba 20, Tarehe 20 kama namba Ya Freeman Mbowe Ilituma Miamala kwenda Kwa Denis Urio Ukasema Hapana
Wakili wa Serikali: Tufafanulie Kwanini Kielelezo hicho hakionyeshi
Shahidi: Kielelezo hiki kina namba ya Mteja 787555200 ambapo Ukirudi Kwenye KYC ni Namba ya Denis Urio, Kuna Muamala Wa Kupokea TSh 500,000 ambapo Denis alipokea Kutoka Kwenye Tigo Wallet na siyo Mbowe
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Kuhusiana na Taarifa ambazo ni Primary Source kwenye KYC ambapo Ukasema Ni NIDA Kwanini Unasema Primary Source ni NIDA?
Shahidi: Airtel tuna Mfumo wa Kusajili Kutoka NIDA ambao Unatambulika Kisheria
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji naomba kukomea Hapo
Wakili wa Serikali: Naomba Kurejesha Vielelezo
Jaji: Shahidi Asante Kwa Ushahidi Wako
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji huyo ndiye shahidi tuliyekuwa naye kwa leo.. Tunaomba hairisho mpaka Jumatatu Tarehe 17 January 2022, tulete shahidi mwingine...
Shahidi tuliye mtegemea baada ya shahidi huyu alipata udhuru wa kuuguliwa na sababu ni Askari Mstaafu na alisharejea kwao, hakuwezi kufika Tunaomba hairisho mpaka Jumatatu
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji tunaomba Jambo jingine ambalo lilijotokeza hapa Mahakamani, Tunaomba suala la kisheria liweze kutatuliwa...
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Kuna Mmoja ya watu waliokuwa ni wasikilazaji wa kesi alionyesha Kitendo Cha Kutotii Mwenendo wa Kesi hii..
Jaji: tukubaliane tunaendaje, Kwanza tunaye Mjadili hayupo humu....
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji utaratibu upo kwa mtu simu inapoita hata mapolisi humu simu zao zimekuwa zinaita mara nyingi tu... Suala la Kwamba kuna mtu alikuwa anarekodi proceedings twende chamber, Kidando apewe simu akague atuonyeshe hizo records kisha ndiyo tujadili
Jaji: Basi tunahairisha hili jambo kwa muda, mawakili tukutane chamber, lakini pia mhusika naomba aitwe. Na kwa sababu ya mazingira ya chamber tupate wawakilishi wangapi?
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa wawili wawili wanatosha..
Jaji anatoka TUTAREJEA PUNDE TU!
========
Mahakama imerejea Kesi inatajwa. Mawakili wa pande zote mbili wanajitambulisha
Jaji: niliahirisha kwa muda kwaajili ya kile tulichowaeleza awali, Na tumeongozwa na busara tukaamua kama tulivyoamua. Na Bwana Fue Fue tumem' subject kwenye maamuzi yetu yale ya awali. Hataruhusiwa kuingia tena. Na tunaahirisha shauri hili mpaka Jumatatu 17/01/2022
Jaji anatoka Mahakamani
Peter Kibatala na timu yake wapo tayari.
Kufahamu ilipoishia, soma hapa: Yaliyojiri Mahakamani katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, Januari 13, 2022. Kesi imeahirishwa hadi Januari 14 2022
Jaji ameingia Mahakamani Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani Muda huu.
Wakili wa Serikali Robert Kidando:
Mheshimiwa Jaji Ikupendeze naitwa Robert Kidando nipo pamoja na
Pius Hilla
Abdallah Chavula
Jenitreza Kitali
Esther Martin
Nassoro Katuga
Ignasi Mwinuka
Tulimanywa Majige
Wote kwa Pamoja tunawakilisha Jamhuri
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Ikipendeza Mahakama hii Tukufu Majina yangu naitwa Peter Kibatala, Nipo pamoja na wakili
Jeremiah Mtobesya
John Mallya
Dickson Matata
Seleman Matauka
Faraji Mangula
Michael Lugina
Gaston Garubindi
Evaresta Kisanga
Khadija Aaron
Jaji anaita washtakiwa Wote Nne na wote wanaitika wapo Mahakamani
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya Kusikilizwa na sisi tupo tayari
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Na sisi pia Tupo Tayari
Jaji: Shahidi Unakumbuka Kuwa Wakati unaanza Kutoa Ushahidi Wako Uliapa na Bado Upo chini ya Kiapo.. Bwana Mallya unaweza Kuendelea
Mallya: Mheshimiwa Jaji Naweza Kukumbushwa nilipoishia Jana
Jaji: Ulikuwa Unamaliza Kueleza Kielelezo namba 20, pale ambapo P and P Inatumika na akajibu Kuwa Ni pale ambapo Mteja kwa Mteja na Kwa agent
Mallya: Ni sahihi Shahidi Kuwa Cash out ni Kutoa pesa Kwa Wakala?
Shahidi: Ndiyo anapotoa Pesa yake Kwa Wakala kwa namba yake
Mallya: naomba Kielelezo namba 15
Mallya: Je ni sahihi Muamala umeandikwa Cash out hapo Kwenye Kielelezo, Kwamba Mtu aliye tumiwa laki 5 akaenda Kutoa Laki 3
Shahidi: Ndiyo sawasawa
Mallya: Inaonyesha kuwa Hiyo laki 3 aliifanyia nini
Shahidi: Haionekani
Mallya: Kuna uwezekano Mtu Kujiwekea Pesa Mwenyewe Kupitia Kwa Wakala
Shahidi: kimya
Mallya: Hiyo laki 5 ambayo inaonekana iliwekwa kwa Wakala, Je Kuna uwezekano huyo Mtu alijiwekea hiyo Laki 5 Mwenyewe?
Shahidi: Naomba urudie tena
Mallya: Kwenye Hiyo laki 5 ambayo inaonekana iliwekwa kwa Wakala, Je Kuna uwezekano huyo Mtu alijiwekea hiyo Laki 5 Mwenyewe
Shahidi: haijatoka kwa Wakala
Mallya: Lakini Ame Cash out kwa Wakala?
Shahidi: Ndiyo Ame Cash out kwa Wakala
Mallya: Inawezekana Mtu Kuitumia Pesa yake Kutoka Namba Yake ya Tigo Kuja namba ya Airtel
Shahidi: Ndiyo inawezekana
Mallya: Wewe Ulitueleza hiyo namba ya Tigo ni ya Nani
Shahidi: Hapana sijaeleza
Mallya: Kuna Record Yoyote Uliyo leta hapa Mahakamani Inayoonyesha hiyo Elfu 80 Baada ya Hapo ilienda wapi
Shahidi: Hapana
Malya: Kwenye Kielelezo Namba 20, Ulizungumzia Muamala Wa TSh 199,000 wa Tarehe 22 July 2020?
Shahidi: Ndiyo nilizungumzia
Mallya: Ni Cash in au?
Shahidi: Ndiyo imeandikwa Cash In
Mallya: Line ya Airtel inauzwa TSh ngapi
Shahidi: TSh 500
Mallya: Kuna Kanuni Zinazohusu Kuhusu Ku handle Sim card, Je unazijua
Shahidi: Ndiyo nazijua
Mallya: Je Kwa Mujibu wa Hiyo Barua iliyoomba Taarifa Ulichukulia Serious.?
Shahidi: Ndiyo Nilichukulia serious
Mallya: Hiyo namba Unayosema kuwa ni ya Khalfani Bwire imeuzwa kwa GODSON MNUO
Shahidi: Mimi sifahamu
Mallya: Nyie mmeuza namba ya Khalfani Bwire Kwa TSh 500?
Shahidi: Sikujua kama wameuza
Mallya: Khalfani Bwire alicha pesa zake mule, na hatujui kuwa za ugaidi au Lah, Je anapata wapi pesa zake?
Shahidi: Pesa zake zinawekwa kwenye collection Akaunti
Mallya: Kwa hiyo Airtel mnayk Collection akaunti za kutunza oesa za ugaidi?
Shahidi: Hapana, Hapana.. Si Kweli..
Wakili wa Serikali: OBJECTION Mheshimiwa Jaji Namna Wakili Mallya anavyouliza Maswali Kwa Shahidi Anaaanza yeye Kutoa Ushahidi, Hakuna Sehemu Shahidi Kasema Kuwa Kuna Collection Akaunti ya Ugaidi huko Airtel..
Sitaki Kuingilia Mahakama, Mimi nimesikia Kuwa anasema Kwenye Collection Akaunti Ya Airtel Kuna Pesa za Ugaidi, Tunaomba Wakili aelekezwe namna Nzuri...
Mallya: Mheshimiwa Jaji, naamini Mahakama imerekodi Vizuri,
Jaji: nilikuuliza mahakamani Mara Kadhaa, Je hayo Mengine unayosema unayatoa wapi, Kuna wakati Unaulizwa kwa wewe Kwa kutoa Maelezo.. Sasa unakwenda mbali wakati unazungumzia na kuyasema hayo, hayapo Kabisa Katika Proceedings, Naomba Uulize Yale Yaliyopo Mahakamani Tafadhali
Mallya: Mheshimiwa Jaji Nimesikia, ila Nina Haki ya Kuuliza Kuwa Mimi nafahamu hivi Je wewe Unafahamu Vipi?
Jaji: Kuna Maswali ambayo Umekuwa unamuuliza wewe, Ndiyo Uwe Unauliza Maswali tu.
Mallya: kwa hiyo mnasema kwamba zile pesa za Khalfani Bwire zipo kwenye collection Akaunti?
Shahidi: Nitaomba kuelezea
Mallya: Utaelezea baadae, Hapa jibu swali tu.
Mallya: Sasa Wewe Ulipokea Barua Kuwa Hawa watu wanachunguzwa, Je hiyo Siyo Exception ya Kuzuia hiyo namba?
Shahidi: Sikujua Kama Wanachunguzwa
Mallya: Soma Barua ya Uchunguzi wa Kisayansi walisema nini..
Shahidi: Wanaomba Taarifa Kwa Uchunguzi zaidi
Mallya: Kwa hiyo Nyie Mkauza Ushahidi Wa Khalfani Bwire Kwa Tsh 500
Shahidi: atazikuta zimewekwa
Mallya: Je Mteja wangu akitaka Kujitetea so itabidi ampokonye huyo GODSON MNURU?
Shahidi: Taarifa zake zipo lakini
Mallya: Ulitoa ufafanuzi huo
Shahidi: Sikuulizwa
Mallya: Jibu swali
Shahidi: Sikuulizwa
Mallya: Mheshimiwa Jaji naomba ajibu swali Langu
Jaji: Umeelewa swali?
Shahidi: Si Kutoa Ufafanuzi
Mallya: Kwenye Barua Yako Soma Paragraph ya Mwisho
Shahidi: Tupo tayari Kuendelea Kutoa Ushirikiano zaidi
Mallya: Kwenye Muamala ulijisumbua Kujua Wakala alikuwa nani?
Shahidi: Sikufuatilia
Mallya: Kwa hiyo unasema Namba Inakuwa Dormant Kwa Siku Ngapi, kuwa Deactivated?
Shahidi: Siku 90
Mallya: Mshtakiwa Nmab Moja Kizimbani Khalfani Bwire, alikamatwa Tarehe 9 August 2020 Je Wewe Uliombwa Lini Taarifa za Hiyo namba?
Shahidi: Tarehe 1 July 2021
Mallya: Ni Miezi Mingapi Ilikuwa Imepita
Shahidi: Kama 10 au 11
Mallya: Kwa hiyo ni zaidi ya Miezi 3 ya Kisheria Kuwa Namba Inakuwa Deactivated
Shahidi: Ndiyo
Mallya: Sasa tangu yule Bwana amekamatwa Mpaka Wewe Unaombwa Taarifa Tayari Namba ilikuwa Deactivated
Shahidi: Ni sahihi
Mallya: Sasa Bwana GODSON MNURU anasema Kuwa alinunua hiyo line Mwezi January 2021, ni sahihi Kwamba KYC ya Hii namba ingesoma namba yake siyo Khalfani Bwire?
Shahidi: Hakuna Record Yoyote, Kwa hiyo siwezi Kutoa Jibu
Mallya: katika hali ya kawaida kwa miezi 10 namba ya Bwire ingekuwa deactivated au isingekuwa deactivated
Shahidi: Ingekuwa Deactivated
Mallya: Mheshimiwa Jaji sina swali lingine
Dickson Matata: Mheshimiwa Jaji sina Swali Kwa niaba ya mshtakiwa wa tatu
Wakili Peter Kibatala: Shahidi Gazeti la The Citizens la Tarehe 12 January 2019 Serikali kupitia waziri Kabudi, Serikali Ilifanya mazungumzo na kampuni ya BHART AIRTEL ili kuongeza Hisa zake kutoka 40% Mpaka 49%
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Kwa hiyo Serikali ya Jamhuri Wa Muungano Wa Tanzania ni Ma' boss zako?
Shahidi: Si Kweli
Kibatala: Je unafahamu Kuwa Serikali ya Jamhuri Wa Muungano Wa Tanzania Ina Nominate Wakurugenzi Kuingia katika Kusimamia Kampuni ya AIRTEL?
Shahidi: Ndiyo nafahamu
Kibatala: Je hao nWakurugenzi Maboss Wako au siyo Maboss zako?
Shahidi: Siyo Maboss zangu
Kibatala: Kwa hiyo wewe Uli report kwa Bodi ya Wakurugenzi iwe Direct au Siyo Direct?
Shahidi: Siyo Maboss zangu
Kibatala: Kwa hiyo wewe Legal Manager una report wapi
Shahidi: Kwa Managing Director
Kibatala: Ambaye yeye ana report kwa nani
Shahidi: Kwenye Bodi
Kibatala: kwa hiyo Bodi wakitoa Malekezo Managing Director akufukuze Kazi with Regard ya Labour Law, Utafukuzwa au hautofukuzwa?
Shahidi: Ushasema Labour Law
Kibatala: Nataka Kujua Wana Uwezo wa Kuagiza, au hawana?
Shahidi: Wana uwezo Wa Kuagiza
Kibatala: Kwenu ninyi Airtel Kipi ni Paramount
Shahidi: Mteja ni Mtu muhimu kwetu na tunaangalia sana taarifa zake lakini pale panapohitajika Kisheria Ku' Comply na Sheria, tunafuata Sheria..
Kibatala: Kama Mteja hataki Data zake ziwe Relesed, Wakati Inforcing Organ Wanataka Data zake, wewe kama mwanasheria Una' ishauri nini board ya Directors?
Wakili wa Serikali: OBJECTION Mheshimiwa Jaji Law enforcement wanahitaji taarifa, swali lake limejengewa katika premises na wanataka kumtengenezea kesi shahidi, Yeye aseme tu Polisi wanataka taarifa...
Kibatala: Kwa Heshima Mhe Jaji, Sitamjibu Kwa Kuokoa Muda
Shahidi: Sitajua, Sababu ni Opinion
Kibatala: Je Unafahamu Kuwa Freeman Mbowe ni Kiongozi Wa Chadema au hufahamu
Shahidi: Nafahamu
Kibatala: Unafahamu Kuwa Mr Mbowe amekuwa na Kesi Mbalimbali na Law enforcement Organ
Shahidi: Sifahamu
Kibatala: Je unafahamu hapa unakuja Kutoa Ushahidi Anashtakiwa Kwa Kesi Kesi gani
Shahidi: Nafahamu
Kibatala: Umekuja Kutoa Ushahidi Kuhusu Kesi gani inayo Mkabili Mteja wako
Shahidi: Economic Crime
Kibatala: Unafahamu Ni Kesi ya Ugaidi?
Shahidi: Sifahamu
Kibatala: Kabla ya kuwa the Guardians ulikuwa kampuni gani ya Mawakili?
Shahidi: Hallmark
Kibatala: Nilisikia Unazungumzia Kuhusu Summons, Je Ile summons inasema Wanashtakiwa kwa Makosa ya Ugaidi
Shahidi: Mpaka nitazame tena
Kibatala: Jana Ulitaja Namba 3 kwa Kumbukumbu zako
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Ila Kuhusu Summons Hukumbuki
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Barua Imekufikia Tarehe Ngapi Mwezi gani na Mwaka gani
Shahidi: Tarehe 02 July 2021
Kibatala: na wewe Umejibu Tarehe Ngapi
Shahidi: Tarehe 02 July 2021
Kibatala: Ni sahihi Kusema ulijibu Siku ileile
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Wakati Unafanyia kazi Ulijua Unafanyia Kazi Namba ya Freeman Aikael Mbowe
Shahidi: Ndiyo Niliona kwenye KYC kwenye Picha
Kibatala: Iambie Mahakama na Mteja wako Freeman Mbowe, Je ni Juhudi gani Ulichukua Kulinda Taarifa za Mteja wako
Shahidi: Niliombwa na Chombo chaUchunguzi
Kibatala: Hilo Jibu ni zuri ila si la Swali langu, Swali Ni Kwa namna gani ulijaribu Kulinda Taarifa za Mteja wako Kama Ulijibu Siku hiyo hiyo?
Jaji: umeliewa swali?
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Nimeelewa swali, ila Chombo kilichoniomba Kina Ruhusiwa Kisheria
Kibatala: kwa hiyo Unasema kuwa Ulijibu Ile Barua Kwa sababu Imetoka Police?
Shahidi: Hapana
Kibatala: Kwa hiyo Tutaona wapi Kama Airtel Wali balance kati ya Mteja wao na Police?
Shahidi: huwezi Kuona
Kibatala: Jana Mawakili Walitaja Sheria ya Makosa ya Mtandao wewe Ukataja Sheria ya Electronic and Post Communication Act, Je unafahamu Regulations ya Proctection of Consumers?
Shahidi: Naweza Kupata nijikumbushe?
Kibatala: Ngoja Mawakili Wako wa Serikali Wajiridhishe Kwanza
Kibatala: Sasa Tusomee Rule 6(2)(d)
Shahidi: Inasema 6(2) The Collection and Maintenance of Information on Individual's Consumer...... ANASOMA
Kibatala: Je Ni kweli Nyie kama Licensee Mnatakiwa Ku' balance Haki zingine za Mteja?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Ni sahihi Hizo Haki ni pamoja na Privacy
Shahidi: hapo itabidi tuangalie Kwenye Interpretation
Kibatala: Unafikiri Utaweza Kuona, Ngoja nikuonyeshe
Shahidi: Ni kweli Haijasema
Kibatala: Nilijua haijasema, Sasa Unasemaje
Shahidi: Ni kweli Inajumuisha Haki ya Privacy
Kibatala: Katika Sheria hii Kuna sehemu Inaonyesha Mteja Haki zake zitupwe Kapuni for the Name of Compliance?
Shahidi: Hapana,
Kibatala: Je Unafahamu Kuwa kuna Judicial Review?
Shahidi: Ndiyo nafahamu
Kibatala: Iambie Mahakama Nyie Kama Airtel Mnaweza Kufungua Judicial Review Pale Mnapopewa Amri
Shahidi: Hapana
Kibatala: Je Kuna Sheria Inakataza Nyie Airtel Ku Challenge Order ya Kutoa Taarifa za Mteja wenu
Shahidi: Hakuna Sheria hiyo
Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji Airtel Ilienda Mahakamani Ku' Challenge Haki ya Mteja Wake
Shahidi: Hapana Haikwenda
Kibatala: Je Uliwandikia Barua Police Kuwa Wawawape Details Kutaka Kujua Nini Kinafanyika
Shahidi: Hapana hatukuwaandikia
Kibatala: Je kuna Jambo Lolote Liliwazuia Kufanya hivyo Kisheria?
Shahidi: Hapana
Kibatala: Shahidi Na Kuonyesha Kielelezo P16 Cha Requisition letter, Je Mwambie Mheshimiwa Jaji ni wapi Barua hiyo iliwaharakisha Nyie Airtel Muwape hizo Taarifa
Shahidi: Hakuna
Kibatala: Kwa hiyo Hakuna Kwenye Barua Mahala ambapo Pameonyesha Palikuwa na Haraka katika Kujibu Barua
Shahidi: Hakuna
Kibatala: Na Jana Hukusema Kabisa Kama Ulifanya Kwa Haraka Kwa Sababu Gani
Shahidi: Sikusema
Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji zaidi ya Kungalia BARUA yenyewe Kuna Hatua gani Ulichukua Ku Authenticate.
Shahidi: Hakuna Kingine Nilicho fanya zaidi Ya Kuangalia Barua
Kibatala: Huyo aliyesaini Barua Unamfahamu?
Shahidi: Simfahamu
Kibatala: Mpaka Leo hujawahi Kumuona
Shahidi Sijawahi Kumuona
Kibatala: Kwenye hiyo Barua Kuna Namba za Simu
Shahidi: Ndiyo Kuna namba za Simu
Kibatala: Ulizitumia hizo namba za Simu
Shahidi: Hapana
Kibatala: Badala Yake Baada ya Wiki 1 Ukaenda Kutoa Maelezo Yako Kwa Inspector Swila
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Je Ulichukua Hatua Kuchunguza Kama anayekuhoji alitoka Cyber
Shahidi: Sikuchunguza
Kibatala: Na Wala Hukuchunguza Mpaka Leo Kuwa Swila alikuwa anapeleleza Makosa ya Ugaidi na Siyo Cyber
Shahidi: sikuchunguza
Kibatala: Na Swila Haku kwambia Kuwa anaandika Maelezo Kuhusu Makosa ya Ugaidi
Shahidi: Hakuniambia
Kibatala: Wewe Ulijua Anakuhoji Maelezo Kwa Makosa gani
Shahidi: Barua inasema Kuwa Walikuwa Wanaomba Taarifa Kwa ajili ya Kuchunguza Tuhuma Za Jinai
Kibatala: Hizo tuhuma Za Jinai Wakati Unajibu Ulikuwa Unaifahamu au Huzifahamu
Shahidi: Nilikuwa sifahamu
Kibatala: Hii Barua ya P16 Inasema Kuwa Iliandaliwa Chini ya Kifungu cha 34 cha Sheria gani
Shahidi: ilikuwa inataka Taarifa kwa kutumia Sheria Ya Makosa Ya Mtandao
Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji, Hii Barua Ilikuwa addressed Kwa nani
Shahidi: Ilikuwa addressed Kwa Mwanasheria
Kibatala: Kwa hiyo wigo uliokuwa nao wa Kushughulika na hiyo Barua ni Uanasheria Wako tu?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Na Hiyo Barua Haikuelekezwa Kwa HR, Wala Mfagiaji?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Wewe Kama Mwanasheria Wa Miaka 8, Je ni wapi Katika Barua, Kielelezo namba 15, Ni wapi Mheshimiwa Jaji akiangalia ataona Iliandikwa na Wewe Gladys au Mwanasheria?
Shahidi: Neno Mwanasheria Halipo
Kibatala: Tukitaka tujue Kuwa amejibiwa na Mwanasheria Tunaangalia wapi?
Shahidi: Hakuna.... Lakini Gladdys ni nani?
Kibatala: Sitaki Maswali mimi hapa
Kibatala: Ombi limeletwa Kisheria, Kwa Watu waotegemewa Kutoka Jeshi la Polisi.... Na Kwa terms of reference, Je ni sahihi Kwamba na wewe Ulitakiwa Kujibu kwa Kufuata terms of reference
Shahidi: Ni Kweli
Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji Kuwa Barua Iliomba Taarifa namba Ngapi
Shahidi: Namba 3
Kibatala: Na wewe Ukapeleka Majibu ya Taarifa za namba ngapi
Shahidi: Namba 2
Kibatala: Zina oana au zipo tofauti
Shahidi: Zipo tofauti
Kibatala: Jana Ulisema Kuwa kuwa Barua ilipokelewa Wapi
Shahidi: Reception
Kibatala: Baada ya Hapo Ikawaje
Shahidi: Waka minutes kuja Kitengo Cha sheria
Kibatala: Wewe Kama Mwanasheria Wa Airtel, Miaka 8 Unafahamu Kitu kinaitwa Chain of Custody?
Shahidi: Hapana Sifahamu
Kibatala: Na Ni Mwanasheria Miaka 8
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Okey Tuendelee, Ni wapi Barua hiyo Mheshimiwa Jaji akiangalia ataona Kuwa Ilipokelewa Mapokezi Airtel
Shahidi: Hapana
Kibatala: Barua hiyo inaonyesha Kuwa Ilifika Kitengo Cha Sheria
Shahidi: Hapana
Kibatala: Maelezo Yako Ulizungumzia Kuhusu Dispatch au Register
Shahidi: nilizungumzia
Kibatala: Hiyo Register Kamq Mwanasheria Mkuu wa Airtel Ungetaka Kuja nayo Ungenyimwa
Shahidi: Hapana nisingenyimwa
Kibatala: Register hiyo Ulileta Mahakamani
Shahidi: Hapana Sikuleta
Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Register hiyo ilipotea au ipo Mbali
Shahidi: Hapana
Kibatala: Ulimwambia Jaji Kuwa Mpaka Wewe Unaleta Barua Hapa Mahakamani Ulimwambia Jaji Ulitoa wapi hiyo Barua
Shahidi: Sikueleza hayo Unayo yasema
Kibatala: Ulimwambia Jaji Kuwa Barua Kama hizo Zilizotoka POLISI zinahifadhiwa wapi Pale Airtel
Shahidi: Si kumwambia
Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Barua hiyo Uliyotoa inalingana na Nakala ya Barua iliyopo Jeshi la Polisi
Shahidi: Sikumwambia
Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kuwa Barua ilifika Vipi Polisi
Shahidi: Sikumwambia
Kibatala: Wewe Unafanya Kazi Masijala Ya Polisi?
Shahidi: Hapana
Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Barua Uliyotoa Jana na Uliyopeleka Jeshi la Polisi Zinafanana Content
Shahidi: Hapana Sikumwambia
Kibatala: Ndiyo Maana Nilikuuliza Hapa Unajua Maana ya Chain of Custody?
Shahidi: Nili Jibu sifahamu
Kibatala: Twende eneo Lingine
Kibatala: Ni kweli Taarifa Unazo leta, zinaonyesha zipo Uncorrupted?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Nianze Kielelezo namba 17, 19, na 20
Kibatala: Je Ile Taarifa Ulivyopokea Uli' print au Ulim' taarifu Boss wako?
Shahidi: Nili Print tu..
Kibatala: Mpaka Unatoa Taarifa Hii Mahakamani Airtel Wanafahamu Kuwa Ulitoa Taarifa hii?
Shahidi: Ndiyo Wanafahamu
Kibatala: Je Ulimwambia Sasa Mheshimiwa Jaji Kuwa Uliwa taarifu Ma' boss zako Kuwa Uliingia Katika Mfumo Ukatoa Taarifa?
Shahidi: Hapana Sija Mwambia
Kibatala: Ni Kitengo Gani pale Airtel kina husika na statutory Liability, Consumers Liability?
Shahidi: Sisi Pale Vitengo Vinashirikiana, Kitengo Cha Sheria ndiyo kina Mamlaka ya Kushughulika na Mambo yote ya Kisheria
Kibatala: Ni lini Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Baada ya Kutoa Taarifa, Ulimtaarifu MD au Boss Wako?
Shahidi: Mheshimiwa Jaji ananiuliza Utaratibu ambao sisi hatuna..
Kibatala: Je ni kweli au siyo Kweli Kwamba Kabrasha la Sheria lazima lipelekwe board of Directors??
Shahidi: Ni kweli
Kibatala: Twende Eneo Lingine
Kibatala: Jana Nilisikia Unasema Mojawapo Ya Mambo Uliyo yataja Ulitaja System Kama AGILE, BUSSINESS INTELLIGENCE na MOBIQUIT sasa Mwambie Mheshimiwa Jaji Kuwa AGILE ni nini
Shahidi: Ni Mfumo wa Kungalia Taarifa za Mteja
Kibatala: na Ukiwa Chini ya Kiapo unasema AGILE ni Mfumo, na siyo Utaratibu Wa Kuangalia Mauzo, Idadi ya wateja Ili Kuongeza ufanisi wa Kampuni?
Shahidi: AGILE ni Mfumo
Kibatala: Unatengenezwa na Nani?
Shahidi: Sikumbuki
Kibatala: Na nani ana Hakimiliki ya Trademark ya AGILE?
Shahidi: Sifahamu
Kibatala: Jana Nani hapo alisimama Kusema Kwamba alienda Training?
Shahidi: Ni Mimi
Kibatala: Twende kwenye BUSSINESS INTELLIGENCE, yenyewe ni Software?
Shahidi: Ndiyo ni Software
Kibatala: Inatengenezwa na nani
Shahidi: Sijui
Kibatala: Ina Version Ngapi
Shahidi: Sijui
Kibatala: Nani Jana alileta Habari za Bussiness Intelligence hapa?
Shahidi: Ni Mimi
Kibatala: Wakati Jana Unatoa Ushahidi Kuhusu Bussiness Intelligence, Ulitolea Ushahidi Ku Impress Kuwa unafahamu au Ulijua Kuwa ni authentication?
Shahidi: Nilitaja Kutoa Ushahidi
Kibatala: Mwambie Mhe Jaji Kuwa kweli BUSSINESS INTELLIGENCE ina Exists inahusiana Vipi na Vielelezo 17, 18, 19 na 20
Shahidi: Haihusiani
Kibatala: Ya 3 inaitwa nini
Shahidi: MOBIQUIT
Kibatala: Unafahamu Kweli?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Airtel Wame Install lini Hiyo MOBIQUIT
Shahidi: Sifahamu
Kibatala: Ina Version Ngapi
Shahidi: Sifahamu
Kibatala: Ipi Version ni safety and latest of MOBIQUIT?
Shahidi: Sifahamu
Kibatala: Ni lini Ulifahamu Kuwa Kuna MOBIQUIT ipo na Inafanya kazi Shahidi Nimajiriwa Airtel Nimekuta Inafanya kazi
Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba MOBIQUIT Ilikuwa Upgraded lini
Shahidi: Sikumwambia
Kibatala: Ulimwambia Weeknes za MOBIQUIT Kama Kweli ina Exists
Shahidi: Si kumwambia
Kibatala: Ulimwambia inatofauti gani na Software zingine
Shahidi: Hapana Sikumwambia
Kibatala: Hizi Data Zinakuwa Stored kwenye servers?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: unafahamu Kuna aina Mbalimbali za Server?
Shahidi: Hapana, Sifahamu
Kibatala: Kama Hufahamu hata Aina ya Server ya Airtel Bado unataka tuamini Kuwa hizi Data hazijachezewa?
Shahidi: kimyaaaa
Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Sever ya Airtel ni ya Aina fulani
Shahidi: Hapana Siku Mwambia
Kibatala: Je Ulimwambia Kuwa Hizo Saver Zinakuwa Upgraded lini
Shahidi: Sikusema
Kibatala: Twende eneo lingine
Kibatala: Hizi System zote Kuna Watu wanazi Mantain Pamoja na Kuzifanyia Auditing?
Shahidi: Sahihi
Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Kuna Internal auditors
Shahidi: Sikumwambia
Kibatala: Nyie Mna External Auditors au HAMNA?
Shahidi: Sifahamu
Kibatala: Nilisikia Unazungumzia Kuhusu Firewalls, Kama Ukuta For Protection
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Zipo aina Nyingi sana za Firewall
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Na Ulitaja ili Kuonyesha Taarifa zipo salama
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kuhusu aina ya Firewall wanazotumia Airtel
Shahidi: Sikumwambia
Kibatala: Ulitoa Sababu yoyote kwa Jaji Kuwa huwezi Kutaja aina ya Firewall Mnazotumia kwa ajili ya Industrial Secrets?
Shahidi: Hapana Sikumwambia
Kibatala: Ni kweli Kuna aina Mbalimbali za Firewall
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: na Ni kweli zinatofautiana Ubora..?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Twende eneo lingine
Kibatala: Uliwahi Kupokea Barua ya Jeshi la Polisi Kuwa Muifanyie Uangalizi Miamala Ya Freeman Mbowe?
Shahidi: Hapana
Kibatala: Nyie Kama Airtel Mlifahamu Kuwa Mbowe anafanyiwa Uchunguzi wa Makosa ya Ugaidi
Shahidi: Hapana
Kibatala: Baada ya Tarehe 02 July 2020, Freeman Mbowe aliendelea Kuwa Uraiani na Kuendelea Kutumia namba zake, Je Nyie Kama Airtel mlishawahi Kuwa na Wasiwasi na Miamala ya Freeman Mbowe?
Shahidi: Hapana
Kibatala: Nyie si Reporting authority?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Moja ya Majukumu yenu Kama Reporting Authority si Mngeli' taarifu Jeshi la Polisi kama Kuna Miamala Yenye Mashaka??
Shahidi: Hapana
Kibatala: Katika wakati wote Hamkuwahi Kupata Kengele ya Kiusalama Kuhusu Kiwango Cha Pesa Kama Sehemu ya Kigezo Chenu cha Kutilia Mashaka Namba ya Freeman Mbowe?
Shahidi: Namba Yake Haikuwa Kupiga Kengele ya Kutilia Mashaka
Kibatala: Miamala ya Tarehe 20 July 2020, Zinahusisha namba gani na namba gani
Shahidi: Ni 780900174 ambayo ilituma Kwenda 787555200
Kibatala: Kwa hiyo Hizo namba zinaanza na 7 na Siyo Sifuri?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Namba Ambazo zipo katika Kielelezo Cha Polisi na Hizo, Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Ndiyo namba hiyo hiyo?
Shahidi: Si kutolea Ufafanuzi
Kibatala: Unakubaliana na Mimi Kuwa Kuna Utofauti Katika Kielelezo P20 hizo namba hazianzi na Sifuri lakini Katika Barua ya Maombi Zinaanza na Sifuri?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: ambapo Tunasema Hukumfafanulia Mheshimiwa Jaji
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Nilisikia Mnasema Kuwa Kuna Collection Akaunti au Wallet sijui nini na nini..
Shahidi: Unaweza Kuita Wallet
Kibatala: Ni ya kampuni gani
Shahidi: Ni wallet ya Tigo
Kibatala: Wewe Ni Mtu sahihi Kuzungumzia Wallet ya TIGO TZ?
Shahidi: Ndiyo naweza Kuzungumzia
Kibatala: kati yako wewe na Mtu wa Tigo nani yupo Competent Kuzungumzia Originating namba ya Tigo?
Shahidi: Ni Mtu wa Tigo
Kibatala: katika Barua Yako ya Tarehe 02 July 2020 Hukutoa Maelezo Yoyote
Shahidi: Ni kweli Siku toa
Kibatala: Transactions Ya Chini yake umesema ni Namba ya Agent, Je unamfahamu
Shahidi: Hapana Simfahamu
Kibatala: Airtel Mnasajili namba za Agent na Mna File Lake, Je ni kweli?
Shahidi: Hapana
Kibatala: Je Hilo file lipo Hapa Mahakamani ili tujue Kama Ana Uhusiano Na Mbowe?
Shahidi: Hapana Halipo Mahakamani
Kibatala: Katika Barua Yako ya 02 July 2020 uliwaambia Polisi Juu ya huyu Wakala?
Shahidi: Sikumwambia
Kibatala: nikitumiwa namba yangu ya Airtel siwezi kumtuma House girl, akifika kwa Wakala anitumie namba niweze Kutoa Fedha hiyo?
Shahidi: Haiwezekani
Kibatala: kwa hiyo Nikimtuma mtu aende kwa Wakala Wangu Kutoa Pesa na nikatoa Bila Mimi Kuwepo pale siwezi Kutoa Pesa? Haya Niambie Kwa Sheria gani inayokataza
Shahidi: Sifahamu
Kibatala: angalia katika taarifa ya namba ya Mbowe, tarehe 20 July 2020, mnasema kuwa alituma TSh 500,000 kwa Denis Urio
Shahidi: HAKUNA MUAMALA HUMU WA HIYO TSh 500,000
Kibatala: Twende Kielelezo namba 20, nitafutie Tarehe 22 July 2020 Kuna miamala miwili ambayo namba ya Freeman Mbowe ilituma pesa kwenda Kwa Denis Urio au Khalfani Bwire either Tsh 190,000 au 199,000..
Shahidi: HAKUNA MIAMALA HIYO
Kibatala: Primary source ya Taarifa Ya mteja ambazo Zinakuwa Reflected katika KYC zipo NIDA ndiyo Maana Mna retrieve Kutoka NIDA?
Shahidi: Sawa sawa
Kibatala: Na wewe hufanyi kazi NIDA
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Na wewe Hukutoa Chochote Kutoka NIDA
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Nilisikia Kuwa Uliitwa Polisi Kuwa Ukaandike Maelezo Yako
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Kama Uliyaandika kwa nia Njema, na yalikuwa ya Kweli, kwanini hutaki Kuyatoa Mahakamani
Shahidi: Siyo Kwamba Sitaki Kuyatoa
Kibatala: Ndiyo sasa Nakuuliza Kwa Nia Njema Kama Kweli Uliyaandika Chini ya Kiapo chq Mungu, kwanini Usitoe?
Shahidi: Jana Kuna Uamuzi Ulitoka Kuwa nisitoe..
Jaji: Mr Kibatala Jana Mtobesya alisema Kuwa Mlikubaliana Kuwa Kama Jopo Mna Withdraw.
Kibatala: Mheshimiwa Jaji Kwa Heshima Na Taadhima Ni kweli Kwamba Wakili Mwingine alifanya Cross Examination Mimi siruhusiwi Kuhoji tena hilo Jambo???
Jaji: yeye alisema Kuwa Mlikubaliana "Sisi ni Jopo" na Kwa Bahati Mbaya Hayupo.
Kibatala: Kama Ikiwezekana naomba Utusomee Ulicho Rekodi Mheshimiwa Jaji
Jaji: Hapana sisomi, Kwani wewe Jana Hukusikia?
Kibatala: Basi Mheshimiwa Jaji sitaki Kubishana na Mahakama, na Nitaomba Kuishia Hapo Kibatala anaketi
WS Jenitreza Kitali: anasimama na Kufanya Re:Examination
Wakili wa Serikali: Jana Uliulizwa Kuhusu Taarifa ya KYC Taarifa za Msajili hazionekani Katika hiyo Taarifa, Ni kwanini labda
Shahidi: Ni kweli Haionekani Lakini Hizo Taarifa Zipo na Zikihitajika zinaweza Kuletwa Mahakamani
Wakili JOHN MALLYA: OBJECTION Taarifa kuwa zipo katika Mfumo wa Usajili Zikihitajika Zinaweza Kuletwa Mahakamani si Sawa na ni taarifa Mpya..
Wakili wa Serikali: Kwa Maoni yetu ni Explanation, na Kwa Upande wetu sisi hatuwezi Kuzuia Shahidi Kueleza jambo
Jaji: Basi eleza Katika Namna ambayo hatoleta Jambo Jipya
Wakili wa Serikali: Jana Shahidi Uliulizwa Kwamba Katika Taarifa Yako Msajili haionekani, Kwa nini ipo hivyo
Shahidi: Mfumo ndiyo Ulivyo lakini Endapo zitahitajika zitaletwa
Wakili wa Serikali: Umeulizwa Kuhusu namba ya Simu Ikiwa Dormant, haitumiki na Kwamba Airtel Wamemuuzia Mtu Mwingine anaitwa GODSON MNURU, Ukasema hwezi Kueleza Mpaka Uone Nyaraka
Shahidi: Ni kweli Nilitaka anithibitishe Jina, Kwa sababu Nisingeweza Kujibu kabla Sijathibitisha
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Kuhusu Wakala kuwa Hukutoa Details za Wakala aliye fanya huo Miamala Wa TSh 300 000, ni Kwanini ilijitokeza
Shahidi: Sikuwa Nimeombwa Taarifa
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Swali Kuhusiana Jukumu lako Kutoa Taarifa Kuhusiana na Kutoa Taarifa, Lakini Pia Kuna Kifungu Cha Wewe Kukataa Kutoa Taarifa Ukamtaka Mtoa Taarifa aende Mahakamani, Ukasema Ni kweli Vifungu Unavijua ila Hukutaka Kufanya hilo
Shahidi: Kuna Vitu Vingi Tunaangalia katika Kutoa Taarifa, Kuna Sheria Zinaniruhusu Kufanya Hivyo na Sheria Siyo Moja, Kwa Hiyo Sheria Inaniruhusu Kufanya hivyo pale Ninapo takiwa Kutoa Taarifa
Shahidi: Kuna Vitu Vingi Tunaangalia katika Kutoa Taarifa, Kuna Sheria Zinaniruhusu Kufanya Hivyo na Sheria Siyo Moja, Kwa Hiyo Sheria Inaniruhusu Kufanya hivyo pale Ninapo takiwa Kutoa Taarifa
Wakili wa Serikali: Pia Jana Kuna Taarifa kwenye Kielelezo namba 17 kuhusu NENO "kanda" Kimoja Kina Neno hilo Kanda Kimoja Hakina , Ieleze Mahakama Kwanini Ilijitokeza hivyo
Wakili JOHN MALLYA: Hizo ni fact Mpya
Jaji: alisema Jana kuwa Wana Extract na Kuprint, haiwezi kuzichanganua
Wakili JOHN MALLYA: Sawa Mheshimiwa Jaji
Wakili NASHON NKUNGU: Mheshimiwa Jaji nina maswali na majibu ya Mtobesya ya jana
Jaji: Umesoma wapi?
Nashon Nkungu: Wenzangu walikuwa wame rekodi
Jaji: Umetoa wapi, Naona una refer kwenye simu, wala huna karatasi
Nashon Nkungu: Basi Mheshimiwa Jaji naomba nikae.
Jaji: Inavyoonekana ni kama kuna source nyingine, Maana proceedings bado sija' certificatify, sasa huyo ana refer kwenye simu, inaonekana kuna source nyingine kwenye simu zaidi yangu....
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Technology imekuwa Kubwa Pia, maana hata sisi mawakili tuna Group la WhatsApp na tuna' share Taarifa na nyaraka mbalimbali humo ndani..
Jaji: Ndiyo Nimeona yeye kashika simu na ninachojua Mtobesya atakuwa kaondoka na simu yake, sasa yeye (Nashon Nkungu) anatoa wapi au ana source nyingine?
Kibatala: Mheshimiwa Jaji Naona tusifungue mambo mengine, itoshe tu kusema, hakuna wakili atavunja kanuni za Mahakama wala Kwenda Nje ya utaratibu wa mahakama au Taaluma yake, mengine ni mambo ya kibanadamu tu...
Jaji: tuendelee...
Wakili wa Serikali: Uliulizwa swali Kwamba Mara baada ya Kupokea Barua Kutoka Kamisheni ya Uchunguzi, Kwamba Waliomba Taarifa hizo Kupitia Cyber Act, Ukasema Kweli Waliomba Ila Ukasema Hukuona Maelezo Zaidi, labda kwa nini
Shahidi: Hapakuwa na Uwezekano wa Kuomba Taarifa Za Ziada, Vile ambavyo tumeomba ni Kwa Utaratibu Wa Sheria na tulifuata Sheria
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Swali Kuwa Tarehe 02 July 2021 Uliombwa Taarifa, Ukajibu Tarehe 02 July
Wakili wa Serikali: Uliulizwa swali Kuwa Wakati Unaomba Taarifa hizi, za Usajili na Mihamala Kama Ulijua Zilikuwa Taarifa za Freeman Mbowe Ukasema Hufahamu, Ukasema Ulijua Baada Kuingia Kwenye Mifumo, Ni Kwanini Ulisema Hivyo
Shahidi: Baada ya Kupata Taarifa, Ndiyo Nilifahamu lakini niliwasilisha kama Nilivyo Ombwa kwenye Barua
WS: Ulirejewa hapa Kuhusu Sheria ya Electronics na REGULATION kuhusu Protection of Consumers Rights, Ukasema Kwamba hazisema Kwamba Haki za Mteja zinatupwa kampuni
Shahidi: Ukiangalia Kifungu hicho Kinatoa Exception, Pale Unapoombwa Taarifa, Paramount ni Mteja lakini Ukienda Mbele Sheria Inatoa Exception Kwenye hilo suala
Wakili wa Serikali: Sawa Labda Kwa Nini Ulijibu Siku hiyo hiyo
Shahidi: Ni kazi niliyo kuwa assigned Siku hiyo hiyo.. Ni Sababu Palikuwa na Volume Kubwa ya kazi
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Tunaomba Neno Volume lisiingie
Wakili wa Serikali: Hatuoni sababu, Ni sawa na Kuzuia Shahidi Kutoa Ushahidi
Jaji: Hoja yake Neno Volume. Haku lisema Mwanzo na lisiingie..
Wakili wa Serikali: Uliulizwa swali Kuhusu Ku' authenticate Barua hiyo, wewe ukasema Barua hiyo ilikuwa imejitosheleza
Shahidi: Sikuwa na Haja Ya Kuona Vitu Vingine Sababu Niliona Vingine vimetimia katika Ile Barua
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Kuhusu Barua Iliyotoka Polisi ambayo ni Kielelezo Namba 16 kuwa palikuwa na Namba za Simu Pale Na Fax Lakini hukuhakiki kama Ile Barua Ilikuwa inahitaji Mambo hayo
Shahidi: Sikutaka Kufanya Hivyo Kwa sababu Barua Ilikuwa inajitosheleza Kutoka katika Ofisi ya Uchunguzi
Wakili wa Serikali: Uliulizwa swali, Wakati anaandika Ile Barua Kama Ulikuwa unajua Kama Unaandika Ile Barua Tuhuma ambazo ulikuwa Unachunguza zilikuwa Zinahusiana na Ugaidi
Wakili wa Serikali: Uliulizwa swali Kuhusu Kuleta Barua Kutoka Legal office Ya Airtel Kama Kweli Ulipewa idhini ya Kujibu ile Barua
Shahidi: Sikuwa Nimeombwa Ushahidi huo
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Kuhusu Barua Yako ya Majibu Hakuna Neno Mwanasheria wala Majina yako, Ni Kwanini Ipo hivyo Shahidi: Sikuwa Nimeandika kwa sababu Niliandika Kwa Niaba ya Airtel, na Kuongeza sababu Kitengo Kinanitambua
Wakili Peter Kibatala: Hayo ya Kwamba Kitengo Kinamtambua Yasiingie..
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Kama Ile Barua ya Airtel Kwemda Polisi uliwasilisha wewe, Ukasema Kweli, na Ukasema hukulinganisha hizo Barua ndiyo ile Uliyoleta Hapa Mahakamani
Shahidi: Nilieleza Ni Barua ambayo Niliandika
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Kama Baada ya Kutoa Taarifa Ulirudi Kuwataarifu Ofisini Ukasema Huku rudi, Ni Kwanini
Shahidi: Ni Utaratibu Wa Ofisi, Unarudi pale tu Unapokwama.
Wakili PETER KIBATALA: OBJECTION Mheshimiwa Jaji suala la Utaratibu ni Fact Mpya..
Wakili wa Serikali: Labda ni Kwa Nini Hukurudisha Taarifa Ofisini
Shahidi: Sikuhitajika Kufanya hivyo
Wakili wa Serikali: Uliulizwa hapa Swali ktk Usha wako Kama Ulisema Kuhusu tofauti ya Software Ya Kuhifadhi Kumbukumbu za Miamala , Ukasema Hukusema
Shahidi: Mifumo ya Uhifadhi Wa Taarifa za Kumbu Kumbu za Miamala ni Mmoja, Kwa hiyo Nisingeweza Kutoa Utofauti wakati ni Moja
Wakili wa Serikali: Uliulizwa kwanini baada ya Kujibu Maombi na baada ya Kujua Taarifa Hii ya Freeman Mbowe, Ukaulizwa kwanini hamkufanya survalance, Ukasema hamkufanya survalance baada ya pale
Shahidi: Barua Haikututaka tufanye hivyo
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Maswali Kuhusiana na Suala la Kama Unaweza Kuzungumzia collection akaunti Ukasema Hauwezi Kuzungumzia Originating Namba Iliyotuma pesa Katika Collection Akaunti, Je ni Kwanini Ulisema hivyo
Shahidi: Kwa sababu ni Namba ambayo originated na Tigo ambayo Inatengenezwa Kama Reference ya Airtel..
Wakili wa Serikali: Ulisema Hapa Kwamba Katika Kielelezo namba 20, Tarehe 20 kama namba Ya Freeman Mbowe Ilituma Miamala kwenda Kwa Denis Urio Ukasema Hapana
Wakili wa Serikali: Tufafanulie Kwanini Kielelezo hicho hakionyeshi
Shahidi: Kielelezo hiki kina namba ya Mteja 787555200 ambapo Ukirudi Kwenye KYC ni Namba ya Denis Urio, Kuna Muamala Wa Kupokea TSh 500,000 ambapo Denis alipokea Kutoka Kwenye Tigo Wallet na siyo Mbowe
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Kuhusiana na Taarifa ambazo ni Primary Source kwenye KYC ambapo Ukasema Ni NIDA Kwanini Unasema Primary Source ni NIDA?
Shahidi: Airtel tuna Mfumo wa Kusajili Kutoka NIDA ambao Unatambulika Kisheria
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji naomba kukomea Hapo
Wakili wa Serikali: Naomba Kurejesha Vielelezo
Jaji: Shahidi Asante Kwa Ushahidi Wako
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji huyo ndiye shahidi tuliyekuwa naye kwa leo.. Tunaomba hairisho mpaka Jumatatu Tarehe 17 January 2022, tulete shahidi mwingine...
Shahidi tuliye mtegemea baada ya shahidi huyu alipata udhuru wa kuuguliwa na sababu ni Askari Mstaafu na alisharejea kwao, hakuwezi kufika Tunaomba hairisho mpaka Jumatatu
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji tunaomba Jambo jingine ambalo lilijotokeza hapa Mahakamani, Tunaomba suala la kisheria liweze kutatuliwa...
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Kuna Mmoja ya watu waliokuwa ni wasikilazaji wa kesi alionyesha Kitendo Cha Kutotii Mwenendo wa Kesi hii..
Jaji: tukubaliane tunaendaje, Kwanza tunaye Mjadili hayupo humu....
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji utaratibu upo kwa mtu simu inapoita hata mapolisi humu simu zao zimekuwa zinaita mara nyingi tu... Suala la Kwamba kuna mtu alikuwa anarekodi proceedings twende chamber, Kidando apewe simu akague atuonyeshe hizo records kisha ndiyo tujadili
Jaji: Basi tunahairisha hili jambo kwa muda, mawakili tukutane chamber, lakini pia mhusika naomba aitwe. Na kwa sababu ya mazingira ya chamber tupate wawakilishi wangapi?
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa wawili wawili wanatosha..
Jaji anatoka TUTAREJEA PUNDE TU!
========
Mahakama imerejea Kesi inatajwa. Mawakili wa pande zote mbili wanajitambulisha
Jaji: niliahirisha kwa muda kwaajili ya kile tulichowaeleza awali, Na tumeongozwa na busara tukaamua kama tulivyoamua. Na Bwana Fue Fue tumem' subject kwenye maamuzi yetu yale ya awali. Hataruhusiwa kuingia tena. Na tunaahirisha shauri hili mpaka Jumatatu 17/01/2022
Jaji anatoka Mahakamani