Mkuu Erythrocyte kule Zanzibar kuna wapiga kura mpaka Wakenya....Jamaa wamechakachua Daftari la wapiga kura mpaka basi....Wito - Fichueni vituo hewa popote vilipo.
It is already gone!CCM Must Go
Anafanya mikutano au anapita tu kusalimia kuuza suraHii ratiba ni ngumu, mikutabo 10 ndani ya siku 1.
Anyway Mungu amtie nguvu.
Kaitampunuu ogambe bakootegeIt is already gone!
Jiandae tu jumatano kupotea hewani kama ukivyopotea muda mreefu humuCCM Must Go
Anapitia pale RUANGWA kuwaona wale wazee wa kazi waliompulizia MOSHI MWEUSI MEKO WENUAnafanya mikutano au anapita tu kusalimia kuuza sura
Anafanya mikutano au anapita tu kusalimia kuuza sura
Kwa Membe ambaye Lissu kampora ugombea uraisi wake ? Mwambie hivi amsalimie member.Kwa hiyo anaenda kuringishia Membe kuwa Mimi ndie Lisu niliyekupora ugombea uraisi?Anapitia pale RUANGWA kuwaona wale wazee wa kazi waliompulizia MOSHI MWEUSI MEKO WENU
Hii ndiyo kazi Bora kuliko zote Kwenye uchaguzi huuWito - Fichueni vituo hewa popote vilipo.
Muulize MEKO wenu mbona kagoma kuja huku kwetu NTWAAALA bah!Kwa Membe ambaye Lisu kampora ugombea uraisi wake ? Mwambie hivi amsalimie member.Kwa hiyo anaenda kuringishia Membe kuwa Mimi ndie Lisu niliyekupora ugombea uraisi?
Huko kapita sana tena mnomuulize MEKO wenu mbona kagoma kuja huku kwetu NTWAAALA bah!
Juzi Alipiga mikutano 9 , kilimanjaro na Tanga. Hii kumi kwa uwezo na nguvu za Mungu atafanikisha tu.Hii ratiba ni ngumu, mikutabo 10 ndani ya siku 1.
Anyway Mungu amtie nguvu.
Toa maelezo ya hiliJiandae tu jumatano kupotea hewani kama ukivyopotea muda mreefu humu
Hii ya sasa itakuwa kama ya ndege ya Malaysia iliyopotea hewani utapotea kimoja baada ya watanzania kumuonyesha cha mtema kumi huyu mbelgiji Tundu Lisu na Chadema lake
Hii ndo vita yenyewe ndani ya siku hizi zilizobakiVita yetu ya Kwanza kwa hizi siku mbili ni kufichua VITUO HEWA kote nchini......
Safari hii ni LAZIMA waumbuke hawa jamaa.... Mungu yupo upande wetu kwenye kila hatua.