Tundu Lissu ni shujaa wa Taifa hili. Hizi figisu anazofanyiwa na serikali ya CCM kupitia jeshi la Polisi, zinamjenga zaidi kuliko kummaliza

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,891
155,895
Rais wa awamu ya tatu, Rais Msomi kuliko Rais yeyote nchini, Mheshimiwa Benjamin William Mkapa, alichemsha kwa Tundu Lissu, akabambikiwa kesi nyingi sana, akazipangua zote. Sababu ilikuwa Tundu Lissu kutetea haki za wanavijiji wanaozunguka maeneo ya Bulyanghulu, ambao wapo waliotendewa dhuluma ya maisha yao kwa kukataa kuhama kwenye maeneo yao kuwapisha wawekezaji. Tundu Lissu kipindi hicho hakuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa.
(I'm sorry to say this, ndani ya CCM hamna mtu mwenye uwezo, kaliba na udiriki wa Tundu Lissu)



Ilipoingia awamu ya nne ya Daktari wa Filosofia, ndugu Jakaya Mwisho Kikwete, mwanadiplomasia mbobevu, mwanajeshi aliyetembea kwa Miguu kutoka Monduli hadi Arusha kukanusuru karoho kake kadogo, alikutana na muziki wa Tundu Lissu, na anamjua vyema.

Kikwete alisema CHADEMA kuna mtu mmoja tu wa kumu watch throughout. Naye si mwingine, ile ni yule, King of the Kings, Tundu Lissu.

Alipoingia Magufuli, na aibu ikaingia nchini. Tundu Lissu akapigwa risasi za kutosha. Akapewa kesi za kutosha. Alipopigwa risasi makanisani tukakatazwa tusimuombee apone haraka. Magu hakuyapenda maombi ya kumuombea Tundu Lissu, walio print ma T Shirt ya kumuombea mshikaji waliishia jela a.k.a mbaroni au waweza ita korokoroni.

Utawala wa Magufuli ukahusishwa na tukio la shambulio la kaka Tundu Lissu. Hapa JF yaliandikwa mengi na mawili wengi.

Mshana Jr, aliandika yake, kaka yangu Nsumba Ntale Pascal Mayalla akaandika yake. Nyani Ngabu akaàndika waraka wake wa Ikungulyabashashi.

Hamna aliyependa yaliyomtokea Tundu Lissu utawala wa Mkatoliki Yohana.
 
Rais wa awamu ya tatu, Rais Msomi kuliko Rais yeyote nchini, Mheshimiwa Benjamin William Mkapa, alichemsha kwa Tundu Lissu, akabambikiwa kesi nyingi sana, akazipangua zote. Sababu ilikuwa Tundu Lissu kutetea haki za wanavijiji wanaozunguka maeneo ya Bulyanghulu, ambao wapo waliotendewa dhuluma ya maisha yao kwa kukataa kuhama kwenye maeneo yao kuwapisha wawekezaji. Tundu Lissu kipindi hicho hakuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa.
(I'm sorry to say this, ndani ya CCM hamna mtu mwenye uwezo, kaliba na udiriki wa Tundu Lissu)

Ilipoingia awamu ya nne ya Daktari wa Filosofia, ndugu Jakaya Mwisho Kikwete, mwanadiplomasia mbobevu, mwanajeshi aliyetembea kwa Miguu kutoka Monduli hadi Arusha kukanusuru karoho kake kadogo, alikutana na muziki wa Tundu Lissu, na anamjua vyema.

Kikwete alisema CHADEMA kuna mtu mmoja tu wa kumu watch throughout. Naye si mwingine, ile ni yule, King of the Kings, Tundu Lissu.

Alipoingia Magufuli, na aibu ikaingia nchini. Tundu Lissu akapigwa risasi za kutosha. Akapewa kesi za kutosha. Alipopigwa risasi makanisani tukakatazwa tusimuombee apone haraka. Magu hakuyapenda maombi ya kumuombea Tundu Lissu, walio print ma T Shirt ya kumuombea mshikaji waliishia jela a.k.a mbaroni au waweza ita korokoroni.

Utawala wa Magufuli ukahusishwa na tukio la shambulio la kaka Tundu Lissu. Hapa JF yaliandikwa mengi na mawili wengi.

Mshana Jr, aliandika yake, kaka yangu Nsumba Ntale Pascal Mayalla akaandika yake. Nyani Ngabu akaàndika waraka wake wa Ikungulyabashashi.

Hamna aliyependa yaliyomtokea Tundu Lissu utawala wa Mkatoliki Yohana.
Kwa jicho la kiroho naziona figisu hizi zinalenga kumharibia mama Abdul, wahafidhina wa CCM wanatumia mbinu za ki KGB kufikia lengo lao.
 
Rais wa awamu ya tatu, Rais Msomi kuliko Rais yeyote nchini, Mheshimiwa Benjamin William Mkapa, alichemsha kwa Tundu Lissu, akabambikiwa kesi nyingi sana, akazipangua zote. Sababu ilikuwa Tundu Lissu kutetea haki za wanavijiji wanaozunguka maeneo ya Bulyanghulu, ambao wapo waliotendewa dhuluma ya maisha yao kwa kukataa kuhama kwenye maeneo yao kuwapisha wawekezaji. Tundu Lissu kipindi hicho hakuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa.
(I'm sorry to say this, ndani ya CCM hamna mtu mwenye uwezo, kaliba na udiriki wa Tundu Lissu)



Ilipoingia awamu ya nne ya Daktari wa Filosofia, ndugu Jakaya Mwisho Kikwete, mwanadiplomasia mbobevu, mwanajeshi aliyetembea kwa Miguu kutoka Monduli hadi Arusha kukanusuru karoho kake kadogo, alikutana na muziki wa Tundu Lissu, na anamjua vyema.

Kikwete alisema CHADEMA kuna mtu mmoja tu wa kumu watch throughout. Naye si mwingine, ile ni yule, King of the Kings, Tundu Lissu.

Alipoingia Magufuli, na aibu ikaingia nchini. Tundu Lissu akapigwa risasi za kutosha. Akapewa kesi za kutosha. Alipopigwa risasi makanisani tukakatazwa tusimuombee apone haraka. Magu hakuyapenda maombi ya kumuombea Tundu Lissu, walio print ma T Shirt ya kumuombea mshikaji waliishia jela a.k.a mbaroni au waweza ita korokoroni.

Utawala wa Magufuli ukahusishwa na tukio la shambulio la kaka Tundu Lissu. Hapa JF yaliandikwa mengi na mawili wengi.

Mshana Jr, aliandika yake, kaka yangu Nsumba Ntale Pascal Mayalla akaandika yake. Nyani Ngabu akaàndika waraka wake wa Ikungulyabashashi.

Hamna aliyependa yaliyomtokea Tundu Lissu utawala wa Mkatoliki Yohana.
JamiiForums-2082348249.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais wa awamu ya tatu, Rais Msomi kuliko Rais yeyote nchini, Mheshimiwa Benjamin William Mkapa, alichemsha kwa Tundu Lissu, akabambikiwa kesi nyingi sana, akazipangua zote. Sababu ilikuwa Tundu Lissu kutetea haki za wanavijiji wanaozunguka maeneo ya Bulyanghulu, ambao wapo waliotendewa dhuluma ya maisha yao kwa kukataa kuhama kwenye maeneo yao kuwapisha wawekezaji. Tundu Lissu kipindi hicho hakuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa.
(I'm sorry to say this, ndani ya CCM hamna mtu mwenye uwezo, kaliba na udiriki wa Tundu Lissu)



Ilipoingia awamu ya nne ya Daktari wa Filosofia, ndugu Jakaya Mwisho Kikwete, mwanadiplomasia mbobevu, mwanajeshi aliyetembea kwa Miguu kutoka Monduli hadi Arusha kukanusuru karoho kake kadogo, alikutana na muziki wa Tundu Lissu, na anamjua vyema.

Kikwete alisema CHADEMA kuna mtu mmoja tu wa kumu watch throughout. Naye si mwingine, ile ni yule, King of the Kings, Tundu Lissu.

Alipoingia Magufuli, na aibu ikaingia nchini. Tundu Lissu akapigwa risasi za kutosha. Akapewa kesi za kutosha. Alipopigwa risasi makanisani tukakatazwa tusimuombee apone haraka. Magu hakuyapenda maombi ya kumuombea Tundu Lissu, walio print ma T Shirt ya kumuombea mshikaji waliishia jela a.k.a mbaroni au waweza ita korokoroni.

Utawala wa Magufuli ukahusishwa na tukio la shambulio la kaka Tundu Lissu. Hapa JF yaliandikwa mengi na mawili wengi.

Mshana Jr, aliandika yake, kaka yangu Nsumba Ntale Pascal Mayalla akaandika yake. Nyani Ngabu akaàndika waraka wake wa Ikungulyabashashi.

Hamna aliyependa yaliyomtokea Tundu Lissu utawala wa Mkatoliki Yohana.
Huyo ni Rais ajaye tuombe uhai.
 
Rais wa awamu ya tatu, Rais Msomi kuliko Rais yeyote nchini, Mheshimiwa Benjamin William Mkapa, alichemsha kwa Tundu Lissu, akabambikiwa kesi nyingi sana, akazipangua zote. Sababu ilikuwa Tundu Lissu kutetea haki za wanavijiji wanaozunguka maeneo ya Bulyanghulu, ambao wapo waliotendewa dhuluma ya maisha yao kwa kukataa kuhama kwenye maeneo yao kuwapisha wawekezaji. Tundu Lissu kipindi hicho hakuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa.
(I'm sorry to say this, ndani ya CCM hamna mtu mwenye uwezo, kaliba na udiriki wa Tundu Lissu)



Ilipoingia awamu ya nne ya Daktari wa Filosofia, ndugu Jakaya Mwisho Kikwete, mwanadiplomasia mbobevu, mwanajeshi aliyetembea kwa Miguu kutoka Monduli hadi Arusha kukanusuru karoho kake kadogo, alikutana na muziki wa Tundu Lissu, na anamjua vyema.

Kikwete alisema CHADEMA kuna mtu mmoja tu wa kumu watch throughout. Naye si mwingine, ile ni yule, King of the Kings, Tundu Lissu.

Alipoingia Magufuli, na aibu ikaingia nchini. Tundu Lissu akapigwa risasi za kutosha. Akapewa kesi za kutosha. Alipopigwa risasi makanisani tukakatazwa tusimuombee apone haraka. Magu hakuyapenda maombi ya kumuombea Tundu Lissu, walio print ma T Shirt ya kumuombea mshikaji waliishia jela a.k.a mbaroni au waweza ita korokoroni.

Utawala wa Magufuli ukahusishwa na tukio la shambulio la kaka Tundu Lissu. Hapa JF yaliandikwa mengi na mawili wengi.

Mshana Jr, aliandika yake, kaka yangu Nsumba Ntale Pascal Mayalla akaandika yake. Nyani Ngabu akaàndika waraka wake wa Ikungulyabashashi.

Hamna aliyependa yaliyomtokea Tundu Lissu utawala wa Mkatoliki Yohana.
Mi Huwa nacheka sana navyoonaga chadema m avyojifariji kila siku. Anyway hii ni haki yenu ili muishi maisha marefu kujifariji kunaruhusiwa
 
(I'm sorry to say this, ndani ya CCM hamna mtu mwenye uwezo, kaliba na udiriki wa Tundu Lissu)
Nikweli CCM mtu wa calibre hii tulukuwa nae mmoja tuu, ni JPM!, na ikatoea Lissu ni zaidi ya JPM, na hata waliomshauri Lissu kugombea na JPM baadhi yao ni wana CCM Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Alipoingia Magufuli, na aibu ikaingia nchini. Tundu Lissu akapigwa risasi za kutosha. Akapewa kesi za kutosha. Alipopigwa risasi makanisani tukakatazwa tusimuombee apone haraka. Magu hakuyapenda maombi ya kumuombea Tundu Lissu, walio print ma T Shirt ya kumuombea mshikaji waliishia jela a.k.a mbaroni au waweza ita korokoroni.

Utawala wa Magufuli ukahusishwa na tukio la shambulio la kaka Tundu Lissu. Hapa JF yaliandikwa mengi na magwiji wengi.

Mshana Jr, aliandika yake, kaka yangu Nsumba Ntale Pascal Mayalla akaandika yake. Nyani Ngabu akaàndika waraka wake wa Ikungulyabashashi.
Ni kweli sio tuu tuliandika, bali pia tuliwataja hao wasiojulikana Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana na wengine wetu tukajitolea kuisaidia serikali yetu kama ni kweli haiwajui! WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? na tulipoona kimya
watu wote wenye jicho la tatu, wanawajua na tukawakabili TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! ukiona kimya, then unaelewa na unanyamaza!.
Tukamtia moyo Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!
Hamna aliyependa yaliyomtokea Tundu Lissu utawala wa Mkatoliki Yohana.
Naunga mkono hoja, huyu jamaa anaonewa sana, kwa kadri wanavyomdhibiti ndivyo umaarufu wake unavyozidi kupanda, anaweza kabisa kufikia ile stage ya "Jiwe Walilo likataa waashi...."!.
P
 
Nikweli CCM mtu wa calibre hii tulukuwa nae mmoja tuu, ni JPM!, na ikatoea Lissu ni zaidi ya JPM, na hata waliomshauri Lissu kugombea na JPM baadhi yao ni wana CCM Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!


Ni kweli sio tuu tuliandika, bali pia tuliwataja hao wasiojulikana Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana na wengine wetu tukajitolea kuisaidia serikali yetu kama ni kweli haiwajui! WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? na tulipoona kimya
watu wote wenye jicho la tatu, wanawajua na tukawakabili TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! ukiona kimya, then unaelewa na unanyamaza!.
Tukamtia moyo Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!

Naunga mkono hoja, huyu jamaa anaonewa sana, kwa kadri wanavyomdhibiti ndivyo umaarufu wake unavyozidi kupanda, anaweza kabisa kufikia ile stage ya "Jiwe Walilo likataa waashi...."!.
P
Lissu anaenda kuwa Rais 2025, watanganyika hatutaki kutawaliwa na mtu wa kuazima
 
Back
Top Bottom