Mkuu kwani vipi wa kawaida sana?Mmh,huyu lilian wasira kumbe ndo yuko hivyo?.
Jamani si kuna kipindi mlikuwa mnasema eti ni mrembo sana au zilikua siasa tu.
Mmh,huyu lilian wasira kumbe ndo yuko hivyo?.
Jamani si kuna kipindi mlikuwa mnasema eti ni mrembo sana au zilikua siasa tu.
Ukoo huu wa Wassira una matatizo
hawapo normal
naamini umesikia vilevile lissu alivyo mchana mwl nyerere. kasema kipindi chake kilitawaliwa na ubabe, udikteta na mauaji. tuko pamoja?
Kwa nini mkuu.Ukoo huu wa Wassira una matatizo
hawapo normal
Ameingia mgonjwa wa akili kuchafua kongamano lissu
matusi siku zote ni dalili ya ujinga !
hata wanawake wasiwe waoga mkuu. kwenye mapambano tunawaweka mbele maana kwenye madaraka wanataka 50/50Nimempenda Lilian Wasira,ameongea kwa hisia sana. Anasema wanaume msiwe waoga!!!!! Wananchi tutumie silaha ya kura kuiondoa serikali iliyochoka