Yaliyojiri: Kongamano la amani ya Tanzania - Julai 28, 2013

Tundu Lissu anahoji kwanini "Wasomi (wasilishaji mada) wetu wangehoji dhana ya Tanzania ni kisiwa cha amani", anaendelea kuonyeaha historia ya ukiukwaji wa haki ya Tanzania tangu enzi za Mwalimu hadi leo.
 
Insensitive Prof.I never respect insenstive professors hata nikiwa Chuo kikuu nilikua na-walk out ninapokumbana na maprofesa competent academically but insenstive maana senstivity inaingiliana na critical thinking na emotional appeal.Sipendi mind yangu ifanyiwe mazoezi na intellectual Dwarfs.Na wewe ulienitaja hapa usikurupuke

unamuita insensitive prof! kwa hiyo wewe unahitaji to be sensitized!? u r kidding. au huelewi maana ya sensitization! you dislike being told facts ben. that is your problem. the prof isn't dwarf as u claim. she is well educated and presented perfectly. kazi kwenu kumeza au kutema. mkiendeleza u conservative wenu shauri yenu
 
tundu lissu amemchana mwalimu nyerere. ameonesha mauaji na udikteta wa hali ya juu uliokuepo kipindi cha nyerere. hongera lissu kwa kuliona hili!
 
Kama kawaida LISSU amewapa changamoto wasomi katika mjadala huu wa Amani na pia anawatahadharisha wachangiaji kuhusu kufuatwafuatwa na POLISI. Amani ya nchi na uhusiano wake na POLISI Ni agenda nzito sana inayohitaji kuandaliwa mjadala mzito pia siku zijazo...
 
ben saanane umemsikia mwanasheria wa chdm lissu? kasema hivi " wanaoua watu kwa silaha, they do it punity" hilo neon limo katika kiingereza? naomba msaada wa ben saanane na wadau wengine. JK aliandamwa kuwa kiingereza hajui. nasikia lissu aliishi ulaya kumbe kiingereza zero?
 
Kama kawaida LISSU amewapa changamoto wasomi katika mjadala huu wa Amani na pia anawatahadharisha wachangiaji kuhusu kufuatwafuatwa na POLISI. Amani ya nchi na uhusiano wake na POLISI Ni agenda nzito sana inayohitaji kuandaliwa mjadala mzito pia siku zijazo...

Huyu jamaa ni noma
 
mtekelezaji wa maazimio ya hapa ni nani??

Yule aliyepewa jukumu la DOLA kuilinda na kuitunza Amani ndiyo anayejadiliwa na kuonekana mtekelezaji wa mkakati wa kuiondoa Kwa njia za kibabe na kidhalim...subiri mchango wa wakala wake NCHIMBI uone atasema nn kuhusu vibaraka wake POLISI na hasa KAMUHANDA.
 
Kama kawaida LISSU amewapa changamoto wasomi katika mjadala huu wa Amani na pia anawatahadharisha wachangiaji kuhusu kufuatwafuatwa na POLISI. Amani ya nchi na uhusiano wake na POLISI Ni agenda nzito sana inayohitaji kuandaliwa mjadala mzito pia siku zijazo...
naamini umesikia vilevile lissu alivyo mchana mwl nyerere. kasema kipindi chake kilitawaliwa na ubabe, udikteta na mauaji. tuko pamoja?
 
karibuni sana wale watakaokuwepo wawe wanatujulisha live.

Kongamano litarushwa pia live na itv na radio one kuanzia saa nane mchana huu.

Kupata updates kwa kitakachojiri fuatilia topic hii (comments)

tupo pamoja mm naskliza through my radio
 
tundu lissu amemchana mwalimu nyerere. ameonesha mauaji na udikteta wa hali ya juu uliokuepo kipindi cha nyerere. hongera lissu kwa kuliona hili!
Taja waliouliwa,lakini sikia mchangiaji anakwambia mfumo wa vyama vingi ni mbovu.
 
Back
Top Bottom