Mimi napenda uhalisia,kwenye mambo muhimu !ushabiki ni huku Simba vz YangaWw unashabikia wap?
Mimi napenda uhalisia,kwenye mambo muhimu !ushabiki ni huku Simba vz YangaWw unashabikia wap?
Wote tuseme AMEENTunasubiri kwa hamu sana updates..Mungu ampe maisha marefu EL.
Kiboko ya ccm na watawalaEL Ni Noma!
Ccm inamuogopa vibaya sana !Kiboko ya ccm na watawala
aiseee jamaa wabish san .... ila ukwel unaujuaTeeeeeeh teeeeeh unaanza kurusha ngumi hewani, na hapo bado
Hiyo ndio ile tunaita Akili kubwa .Chadema wajanja Sana! Wamezuia mikutano ya siasa, Leo Mkutano unafanyika kupitia mlango wa nyuma na Watanzania wote wanatega masikio yao.
Mkuu naona leo wale wapenzi wa kutazama mawingu tv wataahirishaCcm inamuogopa vibaya sana !
Aya kafuatilie bei ya sukari guruaiseee jamaa wabish san .... ila ukwel unaujua
log out
HaswaaaaaaaMacho ya watanzania ni ukumbi wa karimjee Leo! Yupo mtukufu lowasa
Siku ya leo ni muhimu sana kwa wapenda maendeleo ya taifa letuPicha...tumuone Rais ya mioyo ya watu