victorshio
Senior Member
- Dec 6, 2013
- 183
- 42
Ueleweki umefundishwa kulalamika zaidi kuliko kushulikia tatizo tupe mwelekeo kama sio lowassa ni nani? Au ndio chuki binafsiMimi binafsi sioni maono yoyote ya kiuongozi kutoka kwa Lowasa zaidi ya kubebwa na mihemko na hasira za watu waliochoshwa na utawala huu dhalimu wa CCM.......na nadhani baadhi ya wanachadema wenye kutumia akili zao wanalielewa hilo......
NB;
Kwenye ulimwengu wa vipofu hata chongo anaonekana mfalme........