Au eti hawana ushahidi wowote wa sauti/video ya hiyo mipango ya ugaidi, na bado wanataka kesi iendeleeeHii kesi wakati mwingine Mashahidi wa Jamhuri, Jaji anashindwa kucheka mbele yao kwa namna wanavyojichanganya anaamua kwenda kucheka chumbani na mkewe. Et, Ugaidi ungefanyika nchi nzima kwa kutumia bastora ya risasi 3,(Redicusly)
Eti Jambazi Sabaya kutaka kuuwawa ni Ugaidi lakini Lissu aliyepigwa marisasi mbele ya viunga vya bunge si Ugaidi (absurd)
Kibatala: Kwanini hamkumkamata Mbowe mwezi agust 2020?
Shahidi: Mambo ya kiforensiki
Kibatala: Unafahamu forensic ya kwanza imefanyika july 2021?
Shahidi: Ndiyo
Na mimi ni miongoni mwa watu tunaounga mkono juhud za serikali... Mbowe hakuwa mtu mwema.Kweli ww ni Chakubanga
Sheria ni kama siasa tu.... Wakili wake na wakili wako wanaweza wakawa kitu kimoja kutafutia tumbo shibe... Ndio utajua mambo ya recordedMkuu unafahamu kila kitu kinachoongelewa mahakamani kinawekwa kumbukumbu (recorded)!
Huyu shahidi hajui mambo mengi ya kikazi, ni porojo tu!Huyu polisi anayetoa ushahidj mbona kama hajui mambo mengi sana?
Jiwe alikuwa haitaki hii kesi kwa sababu ilikuwa haijatungwa vizuri!Hii kesi inazidi kudhihirisha kuwa ilitungiwa club
Riwaya ikaandikiwa club
mashahidi walifundishiwa club
Onyesho lipo mahakamani ya 'mchongo'
Itakuwa Urio atakuja kupambana na Mboye laivu mahakamani!Urio huenda ni jina la kusadikika amamtu fulani iviii amepachikwa jina hilo kwa maana ya kuficha identity hahaaaaa
Mwaka jana nakumbuka, kuna mtuhumiwa mmoja alisema alimuona Urio akiletwa kituo cha polisi, na aliteswa kama wao.Lakini kina Ligwenya wanamjua maana walikuwa nae Ngerengere Jeshini.
Naloli kangi .
... watakwambia hawakuona umuhimu wa kumleta mahakamani kama shahidi; kwanini? sijui!Kinachoshangaza, aliyewapa information ya mpango wa ugaidi Afande Urio, sio shahidi kwenye hii kesi na mahakama haina maelezo yake...
Huyu Urio angekuwa mtu muhimu sana mahakamani kwenye hii kesi
Kibatala: Katika Kikosi chenu wewe ulikuwa Second Command Kama Top leader, Je, Unafahamu timu yenu Kuna Mtu aliwasiliana na Rais Samia Suluhu Hassan?
Shahidi: Hilo sifahamu
Kibatala: Unafahamu alipopata taarifa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Mbowe alikuwa anajua atashitakiwa Kwa Ugaidi ndiyo Maana akakimbia nje ya Nchi kukwepa upelelezi?
Shahidi: Hapana... Sifahamu
Kibatala: Kuna kikosi kazi zaidi ya chenu kilikuwa kinafanyia kazi suala hili labda wao walienda kumtaarifu Rais Samia Suluhu Hassan?
Shahidi: Hapana.. Sifahamu
Kibatala: Kesi hii Rais Samia Suluhu Hassan alisema kuna watu wamefungwa katika shauri hili, kwa ufahamu wako kuna watu wamefungwa kwenye shauri hili?
Shahidi: Hilo silijui na siwezi kuliongelea
Kibatala: Kama unajua sema najua au kama hujui sema sijui, Kusema huwezi kuongelea ni ujeuri huo na nitaomba mahakama IKUZIMISHE..
... that cross-exam ilikuwa balaa kubwa kaka! Anahitaji ulinzi wa jeshi la mbinguni haswa! Maombi maalumu kwa jopo la utetezi; iwe mchana iwe usiku tusiwasahau katika maombi Gabrieli na jeshi lake wakatangulie vita hivi; stadi wa kazi na directives zikitoka moja kwa moja Kiti cha Enzi!Kibatala Mungu akulinde sana
Amina... that cross-exam ilikuwa balaa kubwa kaka! Anahitaji ulinzi wa jeshi la mbinguni haswa! Maombi maalumu kwa jopo la utetezi; iwe mchana iwe usiku tusiwasahau katika maombi Gabrieli na jeshi lake wakatangulie vita hivi; stadi wa kazi na directives zikitoka moja kwa moja Kiti cha Enzi!
... hata ukicheki tone ya wakili wa serikali wakati wa re-exam ni as if "kawaangusha sana huyu kiazi"! Jana Kibatala alipopata nafasi na kuuliza maswali machache kisha kuomba kesi iahirishwe kwa sababu "ana maswali mengi" kwa huyu shahidi nikajua "shughuli ipo"!Huyu shahidi kajikanyaga mpaka anatia huruma.
... the Bandit!General Lengai Ole Sabaya😅😅😅