idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,314
Chadema mnafurahi Magufuli anavyopopolewa mawe, sitashangaa kusikia na viongozi wakuu wanaunga mkono hili swala.
Hili swala la kujinasibisha kiukanda ni hatari kwa Taifa, mwanzo ccm ndio walikuwa wanafanya siasa za aina hiyo, ila sasa naona Chadema wameiga kila kitu toka ccm.
Tunataka Rais anaekubalika kwa wote sio wa kanda Fulani.!
Hili swala la kujinasibisha kiukanda ni hatari kwa Taifa, mwanzo ccm ndio walikuwa wanafanya siasa za aina hiyo, ila sasa naona Chadema wameiga kila kitu toka ccm.
Tunataka Rais anaekubalika kwa wote sio wa kanda Fulani.!