SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
kwa wanaojua uwanja wa Mpira Arusha jana ccm walishindwa kuleta mafuriko kama walivyokuwa wakiyataamka kwa kuwahadaa umma wa watazania kwa kuchukua kipande robo cha uwanja kutoka jukwaa kuu kuelekea kusini. hizi ni picha za upande wote wa uwanja kusini, mashariki, mangaribi , kaskazini.
hii ndo hali halisi ilivyo kuwepo uwanjani jana , ukweli uliofichwa
my take;
uwanja huu wakati lowasa anatangaza nia ulijaa wote kwa majukwaa yote na mpaka kwa ground ila kwa magufuli chali hajafikia hata nusu ya Lowasa
hii ndo hali halisi ilivyo kuwepo uwanjani jana , ukweli uliofichwa
my take;
uwanja huu wakati lowasa anatangaza nia ulijaa wote kwa majukwaa yote na mpaka kwa ground ila kwa magufuli chali hajafikia hata nusu ya Lowasa