mayoscissors
JF-Expert Member
- Nov 24, 2009
- 975
- 471
lowasa jamani mkuwa na huruma,kukupenda tunakupenda,kura tunakupa si ungemsamehe magufuli nyumbani kwao na najua siku akienda monduli atahutubia magamba toka mikoa mingine maana morani wa huko hata wabebwe na ndege hawaji mkutanoni