Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
aiseh huyu jamaa sijui ana nyota gani. Kweli lowassa mwamba
Ameenda sehemu sahihi ambayo watz wanataka mabadiriko yapitie
aiseh huyu jamaa sijui ana nyota gani. Kweli lowassa mwamba
Ukitaka kujuwa Magufuli ni mzigo kwa Ccm ni mkutano Lowassa aliofanya Chato leo.
Watu hawamtaki magufuli kila mtu lowassa na mabadiliko.
Ina maana kama Lowassa amepata ushindi mkubwa namna hii nyumbani kwa Pombe nani tena wakumzuia asiingie ikulu.
Polepole amepigwa pin na TCRA alikuwa anajiita common mwananchi lakini sasa analazimika atamke anawakilisha chama gani.wapi hamphrey polepole
Ameenda sehemu sahihi ambayo watz wanataka mabadiriko yapitie
Jaman tusipoteze muda Lowassa ndio rais wa jamuhur ya muungano anayesubiri kuapishwa
Hizi nock out za mapema, Lowassa hamtendei haki Magufuli.
Mpango wa sheitwani
Kwa hulka ya watanzania najua kila wanapomtusi kura za huruma zinaongezeka.Mungu akipanga jambo mwanadam kamwe hawezi lipangua. Waache wamtusi kila aiba ya matusi ila wakae wakijua ndio wanachochea moto uzidi kuwaunguza. Lowassa go usikatishwe tamaa na vijimambo vya waliokukata.
Mgufuli atamshinda mshikaji kiulaini sana na tutabaki tunaulizana nini kimetokea. Kura za mashibiki pekee hazitoshi mnahitaji kupata pia kura za watu makini wanaojielewa.
Hakuna wa kumzuia Lowassa kuingia Ikulu maana ndiye Rais ajaye
Hapa hakuna cha wasanii wala malori kusomba watu.....
Baada ya kuona mwelekeo wa Makomeo kutokuuzika, makada wameamua kupiga viroba kwenda mbele ili wazime kabisa na wasiyasikie machungu yanayosababishwa na White hair.nini hii mkuu ?
mzee wa Uhuru peakUkitaka kujuwa Magufuli ni mzigo kwa Ccm ni mkutano Lowassa aliofanya Chato leo.
Watu hawamtaki magufuli kila mtu lowassa na mabadiliko.
Ina maana kama Lowassa amepata ushindi mkubwa namna hii nyumbani kwa Pombe nani tena wakumzuia asiingie ikulu.
Tunamtaka Ndugu yetu Magufuli nae aende Monduli haiwezekani aonewe mpaka kwake, ila Lowassa nuksi...
Hata hivyo chato walikuwa wameishamchoka na mwaka huu sojui kama angepenya kwenye kura za maoni, tatizo
Ni mbabe, kauli mbaya, kupindisha SHERIA nk