Zitto na yeye sasa mbona anarudi nyuma? Mapendekezo ya awali yalikuwa hayajachambuliwa vyema?
upo best wa mmu?!kula tano
Nyie wasomali mpo kwenye nafasi gani.Mmeshaambiwa waswahili mkae kimya unaongea nini tena?
Zitto na yeye sasa mbona anarudi nyuma? Mapendekezo ya awali yalikuwa hayajachambuliwa vyema?
Kama ulimsikiliza Wasira na Mwandosya ndio kauli rasmi ya Serikali. Pesa ni za umma na wahusika wote washughurikiwe.
Sijakuelewa hapo kwenye redWadau kuchangia mjadala huu jamii forum pekee haitoshi kwanini msiandamane barabarani tujue huo uchungu mlio nao.Hii kauli ya Amani na Upendo imetufanya Watanzania tuwe mazuzu hasa, issue kama hii ingekuwa nchi kama Misri nazani mpaka sasa tungeongea mengine.
Hebu tufanye summary ya mapendekezo matatu, vipi kuna dalili ya mtu kuondoka???
nimemsikia makinda anasema ana kesi mahakamani amefanya nini tena sijaelewa
Bado hakuna wa kuondoka, hapa kuna kichaka kwa sababu wakishachunguza mambo yanaenda mahakamani. Hivyo huenda wakaondoka baada ya kufikishwa mahakamani. Hawa waliogawana pesa kwa viloba, sandarusi na lumbesa naona watapona.
Bibi Kiroboto anampenda Lissu toka moyoni.
Kwahio walioongea ni Zitto tu? tulia ukatwe kijana. Leo mmeingia kwenye 18
unadhani ata changia nini huyu mswahili wa msoga.
Acha ujuha wako kijana. Acha ushabiki wa vyama.