Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,036
Bunge limekuwa la watu watano tu...
Muda huu kepteni komba anautumia ku-like picha za madent huko facebook.
Bunge limekuwa la watu watano tu...
Najitambua sana mie siyo kama wewe punguani, ndio sababu michango yangu siku zote ni kutetea maslahi ya Tanzania na Watanzania. Wewe mpumbavu Buku 7 na tonge mbili za ubwabwa zinakutoa akili na kuamua kuisaliti nchi yako na Watanzania wenzio 45 millioni. Pumbaf mkubwa wee, Mxciuuuuuu.
Mbona Lusinde simsikii kutoa ushauri wa marekebisho ya haya mapendekezo ya PAC?! Jamaa si wanamsifia kuwa anajua sana kuongea?
Ova
anakikubali kichwa kile.. chezea sheria..
hivi ccm haina wanasheria wa kutajwa tajwa angalau
Mumeo Lema ameshindwa hata kuongea kwenye mjadala kama huu. Sijui atatuambia nini sisi wana Arusha. Mjinga sana huyu.
Leo mnamkubali. Wanafiki sana nyie. Mmesahau kuwa alikimbilia mahakamani ili kulinda uanachama wake?
Hii ni sehemu ya kiufundi zaidi, hutakaa uwasikie akina Sugu, wenje, Mbowe wala vilaza wengineBasi hapo ndio panakera sasa, kha!!
Kwa hatua hii iliyofikiwa nahisi kama wale wabunge kama yule aliesema Ashiki Majinuni na yule mama wa jana aliekuwa anawaponda wenzake akajisahau kama hoja ile ilikuwa ni ya PAC wanaona noma kwa sasa
Muda huu kepteni komba anautumia ku-like picha za madent huko facebook.
Mumeo Lema ameshindwa hata kuongea kwenye mjadala kama huu. Sijui atatuambia nini sisi wana Arusha. Mjinga sana huyu.
Hahaa, mnamrudisha msaliti?Acha ujinga wako tulia wewe, tena utulie kabisaaaa mnyolewe, ya chadema waachie chadema nyie ni majizi na mnastahili kufungwa
Hii ni sehemu ya kiufundi zaidi, hutakaa uwasikie akina Sugu, wenje, Mbowe wala vilaza wengine
Tujiandae kisaikolojia kuwa wasira anaweza kuwa raisi..