Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,526
Mbona Ridhiwan simsikii?
Chezea Stanbic na lumbesa...
Mbona Ridhiwan simsikii?
Mbona Ridhiwan simsikii?
jamani tueleweshane hapa ina maana bunge na serikali automatically wameridhia kua fedha za escrow ni za umma,so hapa wanafikia maadhimio ya uhalali wa kuwatia hatiani wahusika wa hii ishu nzima.tuwekane sawa hapa .
Mmeshaambiwa waswahili mkae kimya unaongea nini tena?
jamani tueleweshane hapa ina maana bunge na serikali automatically wameridhia kua fedha za escrow ni za umma,so hapa wanafikia maadhimio ya uhalali wa kuwatia hatiani wahusika wa hii ishu nzima.tuwekane sawa hapa .
Subiri leo Makinda anawakata bila GANZI, wanaongea Chadema tupu ndio wenye akili peke yao. Bisha sasa
Lissu ni mwanasheria kanjanja. Anachanganya siasa na Sheria.
inavyoonyesha spika makinda hajui sheria Tundu Lissu anamsaidia sana
jamani tueleweshane hapa ina maana bunge na serikali automatically wameridhia kua fedha za escrow ni za umma,so hapa wanafikia maadhimio ya uhalali wa kuwatia hatiani wahusika wa hii ishu nzima.tuwekane sawa hapa ( tahadhari kama una kichwa cha lusinde usinijibu).
jamani tueleweshane hapa ina maana bunge na serikali automatically wameridhia kua fedha za escrow ni za umma,so hapa wanafikia maadhimio ya uhalali wa kuwatia hatiani wahusika wa hii ishu nzima.tuwekane sawa hapa ( tahadhari kama una kichwa cha lusinde usinijibu).
Na Zitto ni CHADEMA?
Achana naye huyo mwehu , spika mwenyewe anamuangalia huyo Tindu Lissu yeye anaropoka.Haya wewe mwanasheria msomi tuambie wewe usie kanjanja
Bado hakuna wa kuondoka, hapa kuna kichaka kwa sababu wakishachunguza mambo yanaenda mahakamani. Hivyo huenda wakaondoka baada ya kufikishwa mahakamani. Hawa waliogawana pesa kwa viloba, sandarusi na lumbesa naona watapona.Hebu tufanye summary ya mapendekezo matatu, vipi kuna dalili ya mtu kuondoka???
Umemsikia spika amesema hataki waswahili.