Yaliyojiri Bungeni Dodoma, Septemba 06, 2016: Mbunge wa Kilolo ataka michezo ifutwe nchini

mpaka sasa unaang
Wadau amani iwe kwenu.

CHADEMA, CUF na UKAWA kwa ujumla ni washari. Wanadhihirisha kuwa hawapo tayari kwa suluhu japo wanajifanya wao ndio wanachokozwa Bungeni. Wanajifanya wastaarabu kumbe si lolote. Wamejiandaa kwa mapambano Bungeni ambayo kwa hakika hawatayaweza.

Nimewaona wabunge wa Upinzani wote wakiwa wamevalia suti nyeusi. Nimeongea na mmoja wa wabunge wa UKAWA ambaye ni source wangu akaniambia kuwa wanaomboleza kifo cha demokrasia nchini. Akasema kuwa wamepania bunge hili kuhamishia harakati za UKUTA ndani ya Bunge. Akasema kuwa wamepewa maelekezo na Edward Lowasa na Maalim Seif kuwa katu wasikubali muafaka wowote na wabunge wa CCM. Akasema kuwa Lowasa na Maalim Seif wameafikiana kuwa sasa hakuna suluhu bali jino kwa jino.

Hakika nimetafakari sana kauli hizo na nimeziona kuwa hazina tija kwa mustakabali wa demokrasia nchini. Hii ni kutokana na ukweli kwamba CCM tutaendelea kuutumia wingi wetu na wao wataendelea kuathirika kwa uchache wao.

Kwa tabia za hawa wabunge wa Upinzani, tumuache Rais Magufuli awaambie ukweli
alia mavazi
 
Kama vile wapinzani hawakuwepo leo bungeni.
Sheria na kanuni kumbe ikisimamiwa vizuri watu hujirudi na kuwa wema.Naona heshima ya bunge letu sasa linaanza kurudi taratibu na waheshimiwa wasalimiane tu maana tanzania yetu ni nchi ya upendo ili mradi kila moja atimize wajibu wake.
NAWATAKIA KILA LA KHERI NDUGU WABUNGE.
 
Kama vile wapinzani hawakuwepo leo bungeni.
Sheria na kanuni kumbe ikisimamiwa vizuri watu hujirudi na kuwa wema.Naona heshima ya bunge letu sasa linaanza kurudi taratibu na waheshimiwa wasalimiane tu maana tanzania yetu ni nchi ya upendo ili mradi kila moja atimize wajibu wake.
NAWATAKIA KILA LA KHERI NDUGU WABUNGE.
Nonsense
 
Wadau amani iwe kwenu.

Nimewaona wabunge wa Upinzani wote wakiwa wamevalia suti nyeusi. Nimeongea na mmoja wa wabunge wa UKAWA ambaye ni source wangu akaniambia kuwa wanaomboleza kifo cha demokrasia nchini. Akasema kuwa wamepania bunge hili kuhamishia harakati za UKUTA ndani ya Bunge. Akasema kuwa wamepewa maelekezo na Edward Lowasa na Maalim Seif kuwa katu wasikubali muafaka wowote na wabunge wa CCM. Akasema kuwa Lowasa na Maalim Seif wameafikiana kuwa sasa hakuna suluhu bali jino kwa jino.

Hivi mkuu unaelewa maana ya Suluhu / muafaka kati ya pande mbili zenye mgogoro???? Au huyo informer wako anaelewa maana ya maneno haya au mnayatumia kiushabiki tu.

Suluhu ni makubaliano kati ya pande mbili zenye mgogoro endapo mkikubaliana wote ndio maana ya suluhu / muafaka. Endapo mkitofautiana tena hapo suluhu haijapatikana.

USIHOFU NI KISWAHILI TU HIKI.
 
Wangekaza tu posho mchezo. jamaa wamesubiri usuruhishi watu wamewapotezea, wameziba madomo weee watu wamewashangaaa, wametoa matamko watu ndo kwanza wakaitisha tulia marathon kumpongeza naibu spika sasa akili zimewakaa. Mdogo mdogo wanarudi

nimekumbuka ule wimbo Wa Christian Bella amerudi ana lia weeee
Mwili mkubwa akili kijiko!
 
Wadau amani iwe kwenu.

CHADEMA, CUF na UKAWA kwa ujumla ni washari. Wanadhihirisha kuwa hawapo tayari kwa suluhu japo wanajifanya wao ndio wanachokozwa Bungeni. Wanajifanya wastaarabu kumbe si lolote. Wamejiandaa kwa mapambano Bungeni ambayo kwa hakika hawatayaweza.

Nimewaona wabunge wa Upinzani wote wakiwa wamevalia suti nyeusi. Nimeongea na mmoja wa wabunge wa UKAWA ambaye ni source wangu akaniambia kuwa wanaomboleza kifo cha demokrasia nchini. Akasema kuwa wamepania bunge hili kuhamishia harakati za UKUTA ndani ya Bunge. Akasema kuwa wamepewa maelekezo na Edward Lowasa na Maalim Seif kuwa katu wasikubali muafaka wowote na wabunge wa CCM. Akasema kuwa Lowasa na Maalim Seif wameafikiana kuwa sasa hakuna suluhu bali jino kwa jino.

Hakika nimetafakari sana kauli hizo na nimeziona kuwa hazina tija kwa mustakabali wa demokrasia nchini. Hii ni kutokana na ukweli kwamba CCM tutaendelea kuutumia wingi wetu na wao wataendelea kuathirika kwa uchache wao.

Kwa tabia za hawa wabunge wa Upinzani, tumuache Rais Magufuli awaambie ukweli
mashudu ya songea haya.
 
Wadau amani iwe kwenu.

CHADEMA, CUF na UKAWA kwa ujumla ni washari. Wanadhihirisha kuwa hawapo tayari kwa suluhu japo wanajifanya wao ndio wanachokozwa Bungeni. Wanajifanya wastaarabu kumbe si lolote. Wamejiandaa kwa mapambano Bungeni ambayo kwa hakika hawatayaweza.

Nimewaona wabunge wa Upinzani wote wakiwa wamevalia suti nyeusi. Nimeongea na mmoja wa wabunge wa UKAWA ambaye ni source wangu akaniambia kuwa wanaomboleza kifo cha demokrasia nchini. Akasema kuwa wamepania bunge hili kuhamishia harakati za UKUTA ndani ya Bunge. Akasema kuwa wamepewa maelekezo na Edward Lowasa na Maalim Seif kuwa katu wasikubali muafaka wowote na wabunge wa CCM. Akasema kuwa Lowasa na Maalim Seif wameafikiana kuwa sasa hakuna suluhu bali jino kwa jino.

Hakika nimetafakari sana kauli hizo na nimeziona kuwa hazina tija kwa mustakabali wa demokrasia nchini. Hii ni kutokana na ukweli kwamba CCM tutaendelea kuutumia wingi wetu na wao wataendelea kuathirika kwa uchache wao.

Kwa tabia za hawa wabunge wa Upinzani, tumuache Rais Magufuli awaambie ukweli

Wewe ni kimeo siyo kidogo
 
Wadau amani iwe kwenu.

CHADEMA, CUF na UKAWA kwa ujumla ni washari. Wanadhihirisha kuwa hawapo tayari kwa suluhu japo wanajifanya wao ndio wanachokozwa Bungeni. Wanajifanya wastaarabu kumbe si lolote. Wamejiandaa kwa mapambano Bungeni ambayo kwa hakika hawatayaweza.

Nimewaona wabunge wa Upinzani wote wakiwa wamevalia suti nyeusi. Nimeongea na mmoja wa wabunge wa UKAWA ambaye ni source wangu akaniambia kuwa wanaomboleza kifo cha demokrasia nchini. Akasema kuwa wamepania bunge hili kuhamishia harakati za UKUTA ndani ya Bunge. Akasema kuwa wamepewa maelekezo na Edward Lowasa na Maalim Seif kuwa katu wasikubali muafaka wowote na wabunge wa CCM. Akasema kuwa Lowasa na Maalim Seif wameafikiana kuwa sasa hakuna suluhu bali jino kwa jino.

Hakika nimetafakari sana kauli hizo na nimeziona kuwa hazina tija kwa mustakabali wa demokrasia nchini. Hii ni kutokana na ukweli kwamba CCM tutaendelea kuutumia wingi wetu na wao wataendelea kuathirika kwa uchache wao.

Kwa tabia za hawa wabunge wa Upinzani, tumuache Rais Magufuli awaambie ukweli

Binti kazi unayo, zama za kuangalia mavazi hizi?
 
Wadau amani iwe kwenu.

CHADEMA, CUF na UKAWA kwa ujumla ni washari. Wanadhihirisha kuwa hawapo tayari kwa suluhu japo wanajifanya wao ndio wanachokozwa Bungeni. Wanajifanya wastaarabu kumbe si lolote. Wamejiandaa kwa mapambano Bungeni ambayo kwa hakika hawatayaweza.

Nimewaona wabunge wa Upinzani wote wakiwa wamevalia suti nyeusi. Nimeongea na mmoja wa wabunge wa UKAWA ambaye ni source wangu akaniambia kuwa wanaomboleza kifo cha demokrasia nchini. Akasema kuwa wamepania bunge hili kuhamishia harakati za UKUTA ndani ya Bunge. Akasema kuwa wamepewa maelekezo na Edward Lowasa na Maalim Seif kuwa katu wasikubali muafaka wowote na wabunge wa CCM. Akasema kuwa Lowasa na Maalim Seif wameafikiana kuwa sasa hakuna suluhu bali jino kwa jino.

Hakika nimetafakari sana kauli hizo na nimeziona kuwa hazina tija kwa mustakabali wa demokrasia nchini. Hii ni kutokana na ukweli kwamba CCM tutaendelea kuutumia wingi wetu na wao wataendelea kuathirika kwa uchache wao.

Kwa tabia za hawa wabunge wa Upinzani, tumuache Rais Magufuli awaambie ukweli
OK tuma salaam kwa MTU mmoja
 
Wangekaza tu posho mchezo. jamaa wamesubiri usuruhishi watu wamewapotezea, wameziba madomo weee watu wamewashangaaa, wametoa matamko watu ndo kwanza wakaitisha tulia marathon kumpongeza naibu spika sasa akili zimewakaa. Mdogo mdogo wanarudi

nimekumbuka ule wimbo Wa Christian Bella amerudi ana lia weeee
watu wamewaona maboga
 
sio bunge mkutano wa ccm maana kama ni bunge leo ningesikia wanapiga kura ya kutokuwa na imani na uchwara kwa kusigina KATIBA ova
Hio kura mtapga nyumban kwenu...bunge lile la waTz ..ambao weng wanamsapot mr.prezidaa
 
Back
Top Bottom