utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Huyu nae choo kweli
wewe bafu
Huyu nae choo kweli
Jk ameonesha madharau makubwa kwa Baba wa Taifa..
Hapo ndo tutachambua pumba na mchelekama kawaida yake ------ atarusha vijembe kwa warioba.
Siyo wanaodhani- waliodhani sikiliza vizuri mkuu amesema kuwa kipindi kile wapo waliamini kuwa katiba mpya ni kuishinda ccm.Mipasho imeanza.
"wapo wanaozani kuwa kupatikana kwa katiba mpya ni kuiondoa ccm"-Kikwete
Utashi binafsi mbona hata mimi navaa mbili tena na saa ya tatu.
Jk ameonesha madharau makubwa kwa Baba wa Taifa..
Jk ameonesha madharau makubwa kwa Baba wa Taifa..
Mipasho imeanza.
"wapo wanaozani kuwa kupatikana kwa katiba mpya ni kuiondoa ccm"-Kikwete
Msituni unakwenda kufanya nini au kuwinda panya?kinachongojewa hapa ni hii katiba ikamilike..ndipo tujue 2015 tunaingia misituni au la,,,
kwani ni Lazima kumwita baba wa taifa?