The Priest
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 1,029
- 256
Hakuna hata sehemu waliomuacknowledge marehemu Dr Mvungi? Hata kusimama kwa dk moja ya heshma?
Mnafiki wewe mbona kamtaja
Hakuna hata sehemu waliomuacknowledge marehemu Dr Mvungi? Hata kusimama kwa dk moja ya heshma?
Ni lazima sana....Baba wa Taifa ni tunu ya Taifa..
kapiga 'msuli bedi' tangu jana kwenye ndege na kumeza mipasho yote
Gongo ni mbya sana.JK ameanza lini kuhutubia bila kusoma....Huyu mtu ni kilaza sana...
Hakuna hata sehemu waliomuacknowledge marehemu Dr Mvungi? Hata kusimama kwa dk moja ya heshma?
...Edward Lowassa amenuna na kukunja uso!
Hapo kwenye red, vipi anaelewa au ndo kumchosha tu!Mzee Malecela naye yumo. Pia kuna Pius Msekwa, mama Maria Nyerere na wake za viongozi
Hakika JK leo anaonekana kujiamini sana. Muda wotemanaongea badala ya kusoma
anasifia mapendekezo ya tume.
naona leo kameza kwelikweli