Yaliyojificha juu ya historia ya hifadhi ya Taifa Arusha na maajabu ya vivutio vyake

Funa the Great

Senior Member
Aug 1, 2022
160
271
YALIYOJIFICHA JUU YA HISTORIA YA HIFADHI YA TAIFA ARUSHA NA MAAJABU YA VIVUTIO VYAKE.

EPISODE 1

Hifadhi ya taifa Arusha inapatikana kaskazini mwa Tanzania ndani ya mkoa wa Arusha. Ni hifadhi inayokadiriwa kuwa na kilomita za mraba zisizopungua 500 sq. km. Huchukua takribani dakika 45 kuifikia hifadhi hii kutoka Arusha mjini.

Nakurudisha mnamo mwaka 1876 mwaka ambao haukuwa kwenye mipango ya wewe kuletwa Duniani.

Mnamo mwaka 1876 mpelelezi kutoka taifa la Hungary aliyefahamika kwa jina la Count samuel Teleki alipata nafasi ya kutembelea eneo la Afrika Mashariki hususani nchini Tanzania na Kenya. Alitembelea moja ya eneo linalofahamika kwa jina la Momella. Momella ni miongoni mwa eneo linalopatikana ndani ya hifadhi ya taifa Arusha kwa sasa.

Count Teleki ni mpelelezi wa kwanza kuliona Ziwa Turkana linalopatikana kati ya Ethiopia na Kenya. Pia aliweza kutembelea maeneo mengine ya Tanzania ikiwemo Mlima Kilimanjaro, Pangani na bonde la mto Ruvu. Naam sihitaji nikutoe nje ya mada tuendelee na mada yetu.

Count Teleki hakuwa na mengi ya kusimulia zaidi ya kutoa maoni juu ya kile alichokiona ndani ya eneo ilo, alifanikiwa kuona makundi ya wanyama ikiwemo Viboko na Vifaru.
images (4)_1701017494990.jpeg


1907

Familia ya mkulima kutoka Afrika Mashariki aliyefahamika kwa jina la TAPE akiwa na familia yake alitembelea eneo la Ziwa Momella na kuanzisha makazi kwa ajili ya shughuli za kilimo na ufugaji ndani ya eneo ilo. Mnamo mwaka 1960 mashamba hayo yaligeuzwa na kubadilishwa kuwa hifadhi.

1960

Ilianzishwa hifadhi iliyofahamika kwa jina la Ngurdoto Crater. Hifadhi hii ilianzishwa kwa lengo la kuhifadhi maeneo makuu mawili, Crater ya Ngurdoto na Mlima Meru (haya yote ni maeneo yanayopatikana ndani ya hifadhi ya taifa Arusha kwa sasa ikiwa ni miongoni mwa vivutio vya utalii).
IMG_20231126_180754.png


1967

Huu ni mwaka ambao hifadhi ya Ngurdoto crater ilibadilishwa jina na kuitwa hifadhi ya taifa Arusha. Ilipewa jina ilo kutokana na jamii ya watu Waarusha waliokuwa wakiishi kwenye eneo ilo. Hadi sasa inaitwa hifadhi ya taifa Arusha. Kuanzia hapo serikali ikaanza kuwekeza nguvu kuweka miundombinu rafiki kwa ajili ya wageni.

UNATAKA KUFAHAMU MAAJABU YA VIVUTIO VINAVYOPATIKANA NDANI YA HIFADHI YA TAIFA ARUSHA? TUKUTANE EPISODE INAYOFUATA.

KWA HUDUMA ZA SAFARI ZA KUTEMBELEA VIVUTIO VYA UTALII CHEKI NAMI +255622174613

SAFARI ZA MARAFIKI, FAMILIA, COUPLES, SHULE/VYUO, KIOFISI N.K

Pia soma: Yaliyojificha juu ya historia ya hifadhi ya taifa Arusha na maajabu ya vivutio vyake (episode 2)
 
YALIYOJIFICHA JUU YA HISTORIA YA HIFADHI YA TAIFA ARUSHA NA MAAJABU YA VIVUTIO VYAKE.

EPISODE 1

Hifadhi ya taifa Arusha inapatikana kaskazini mwa Tanzania ndani ya mkoa wa Arusha. Ni hifadhi inayokadiriwa kuwa na kilomita za mraba zisizopungua 500 sq. km. Huchukua takribani dakika 45 kuifikia hifadhi hii kutoka Arusha mjini.

Nakurudisha mnamo mwaka 1876 mwaka ambao haukuwa kwenye mipango ya wewe kuletwa Duniani.

Mnamo mwaka 1876 mpelelezi kutoka taifa la Hungary aliyefahamika kwa jina la Count samuel Teleki alipata nafasi ya kutembelea eneo la Afrika Mashariki hususani nchini Tanzania na Kenya. Alitembelea moja ya eneo linalofahamika kwa jina la Momella. Momella ni miongoni mwa eneo linalopatikana ndani ya hifadhi ya taifa Arusha kwa sasa.

Count Teleki ni mpelelezi wa kwanza kuliona Ziwa Turkana linalopatikana kati ya Ethiopia na Kenya. Pia aliweza kutembelea maeneo mengine ya Tanzania ikiwemo Mlima Kilimanjaro, Pangani na bonde la mto Ruvu. Naam sihitaji nikutoe nje ya mada tuendelee na mada yetu.

Count Teleki hakuwa na mengi ya kusimulia zaidi ya kutoa maoni juu ya kile alichokiona ndani ya eneo ilo, alifanikiwa kuona makundi ya wanyama ikiwemo Viboko na Vifaru.
View attachment 2825940

1907

Familia ya mkulima kutoka Afrika Mashariki aliyefahamika kwa jina la TAPE akiwa na familia yake alitembelea eneo la Ziwa Momella na kuanzisha makazi kwa ajili ya shughuli za kilimo na ufugaji ndani ya eneo ilo. Mnamo mwaka 1960 mashamba hayo yaligeuzwa na kubadilishwa kuwa hifadhi.

1960

Ilianzishwa hifadhi iliyofahamika kwa jina la Ngurdoto Crater. Hifadhi hii ilianzishwa kwa lengo la kuhifadhi maeneo makuu mawili, Crater ya Ngurdoto na Mlima Meru (haya yote ni maeneo yanayopatikana ndani ya hifadhi ya taifa Arusha kwa sasa ikiwa ni miongoni mwa vivutio vya utalii).
View attachment 2825945

1967

Huu ni mwaka ambao hifadhi ya Ngurdoto crater ilibadilishwa jina na kuitwa hifadhi ya taifa Arusha. Ilipewa jina ilo kutokana na jamii ya watu Waarusha waliokuwa wakiishi kwenye eneo ilo. Hadi sasa inaitwa hifadhi ya taifa Arusha. Kuanzia hapo serikali ikaanza kuwekeza nguvu kuweka miundombinu rafiki kwa ajili ya wageni.

UNATAKA KUFAHAMU MAAJABU YA VIVUTIO VINAVYOPATIKANA NDANI YA HIFADHI YA TAIFA ARUSHA? TUKUTANE EPISODE INAYOFUATA.

KWA HUDUMA ZA SAFARI ZA KUTEMBELEA VIVUTIO VYA UTALII CHEKI NAMI +255622174613

SAFARI ZA MARAFIKI, FAMILIA, COUPLES, SHULE/VYUO, KIOFISI N.K

Pia soma: Yaliyojificha juu ya historia ya hifadhi ya taifa Arusha na maajabu ya vivutio vyake (episode 2)
Zanzibar-ASP
 
Kumbe bei ni poa kabisa. Je, kuna muda maalumu wa kuitumia hiyo elfu kumi? Au ni kutwa nzima?
Ukilipia Kiingilio unaitumia siku nzima.

Utaratibu upo hivi

Ukiwa na usafiri binafsi utalipia Kiingilio na gari (Parking fees) bei za gari hulipwa kulingana na uzito wa gari, 1tone-2tone (25,000), 3tone 50,000/= n.k

Ukiwa unahitaji kupata huduma ya Mwongoza watalii unalipia 30,000/=

Ukiwa unahitaji kulipia gharama za kufanya utalii kwa kutembea kwa miguu ni 5900.

Mkiwa wengi ndiyo nzuri sababu mna share Gharama.
 
Ndugu Arusha National Park ipo ndani ya Halmashauri ya Meru ,Waarusha hawajawahi kuishi eneo hilo wenyeji wa eneo hilo ni Wameru.
 
YALIYOJIFICHA JUU YA HISTORIA YA HIFADHI YA TAIFA ARUSHA NA MAAJABU YA VIVUTIO VYAKE.

EPISODE 1

Hifadhi ya taifa Arusha inapatikana kaskazini mwa Tanzania ndani ya mkoa wa Arusha. Ni hifadhi inayokadiriwa kuwa na kilomita za mraba zisizopungua 500 sq. km. Huchukua takribani dakika 45 kuifikia hifadhi hii kutoka Arusha mjini.

Nakurudisha mnamo mwaka 1876 mwaka ambao haukuwa kwenye mipango ya wewe kuletwa Duniani.

Mnamo mwaka 1876 mpelelezi kutoka taifa la Hungary aliyefahamika kwa jina la Count samuel Teleki alipata nafasi ya kutembelea eneo la Afrika Mashariki hususani nchini Tanzania na Kenya. Alitembelea moja ya eneo linalofahamika kwa jina la Momella. Momella ni miongoni mwa eneo linalopatikana ndani ya hifadhi ya taifa Arusha kwa sasa.

Count Teleki ni mpelelezi wa kwanza kuliona Ziwa Turkana linalopatikana kati ya Ethiopia na Kenya. Pia aliweza kutembelea maeneo mengine ya Tanzania ikiwemo Mlima Kilimanjaro, Pangani na bonde la mto Ruvu. Naam sihitaji nikutoe nje ya mada tuendelee na mada yetu.

Count Teleki hakuwa na mengi ya kusimulia zaidi ya kutoa maoni juu ya kile alichokiona ndani ya eneo ilo, alifanikiwa kuona makundi ya wanyama ikiwemo Viboko na Vifaru.
View attachment 2825940

1907

Familia ya mkulima kutoka Afrika Mashariki aliyefahamika kwa jina la TAPE akiwa na familia yake alitembelea eneo la Ziwa Momella na kuanzisha makazi kwa ajili ya shughuli za kilimo na ufugaji ndani ya eneo ilo. Mnamo mwaka 1960 mashamba hayo yaligeuzwa na kubadilishwa kuwa hifadhi.

1960

Ilianzishwa hifadhi iliyofahamika kwa jina la Ngurdoto Crater. Hifadhi hii ilianzishwa kwa lengo la kuhifadhi maeneo makuu mawili, Crater ya Ngurdoto na Mlima Meru (haya yote ni maeneo yanayopatikana ndani ya hifadhi ya taifa Arusha kwa sasa ikiwa ni miongoni mwa vivutio vya utalii).
View attachment 2825945

1967

Huu ni mwaka ambao hifadhi ya Ngurdoto crater ilibadilishwa jina na kuitwa hifadhi ya taifa Arusha. Ilipewa jina ilo kutokana na jamii ya watu Waarusha waliokuwa wakiishi kwenye eneo ilo. Hadi sasa inaitwa hifadhi ya taifa Arusha. Kuanzia hapo serikali ikaanza kuwekeza nguvu kuweka miundombinu rafiki kwa ajili ya wageni.

UNATAKA KUFAHAMU MAAJABU YA VIVUTIO VINAVYOPATIKANA NDANI YA HIFADHI YA TAIFA ARUSHA? TUKUTANE EPISODE INAYOFUATA.

KWA HUDUMA ZA SAFARI ZA KUTEMBELEA VIVUTIO VYA UTALII CHEKI NAMI +255622174613

SAFARI ZA MARAFIKI, FAMILIA, COUPLES, SHULE/VYUO, KIOFISI N.K

Pia soma: Yaliyojificha juu ya historia ya hifadhi ya taifa Arusha na maajabu ya vivutio vyake (episode 2)
Ole Sabaya wakati akiwa mwenyekiti wa halmashauri ya Arumeru ndiye aliyefanya juhudi kubwa kubadilisha jina la hifadhi. Hii ni kwa sababu alikuwa muArusha hivyo akaona aiite kwa jina la kabila lake. Kiuhalisia jamii inayopakana na hifadhi hii sio waarusha bali wameru. Ilifaa zaidi kuitwa hifadhi ya taifa ya Meru kuliko ilivyo sasa.
 
Ole Sabaya wakati akiwa mwenyekiti wa halmashauri ya Arumeru ndiye aliyefanya juhudi kubwa kubadilisha jina la hifadhi. Hii ni kwa sababu alikuwa muArusha hivyo akaona aiite kwa jina la kabila lake. Kiuhalisia jamii inayopakana na hifadhi hii sio waarusha bali wameru. Ilifaa zaidi kuitwa hifadhi ya taifa ya Meru kuliko ilivyo sasa.
Mkuu Arusha national park ilibadilishwa jina tangu miaka ya 1960's. Rejea vyema mkuu, Sabaya hakuhusika hapo labda kama alikuwa anafanya kampeni tu za kuwadanganya wananchi

Arusha National Park - Tanzania Travel Articles - South African Safari Tours
arushapark.com

Arusha National Park.
 

Attachments

  • en-1633611951-AM-ENG (1).pdf
    1.6 MB · Views: 4
Mkuu Arusha national park ilibadilishwa jina tangu miaka ya 1960's. Rejea vyema mkuu, Sabaya hakuhusika hapo labda kama alikuwa anafanya kampeni tu za kuwadanganya wananchi

Arusha National Park - Tanzania Travel Articles - South African Safari Tours
arushapark.com

Arusha National Park.
Ilikuwa inaitwa Ngurdoto Crater National Park jina la ANAPA ni la karibuni sana ni baada ya Mlima Meru kuwa sehemu ya Park.
 
Back
Top Bottom