Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
- Thread starter
- #81
Mkuu kindoa changu bado kina miaka miwili tuu, hawa wanyama huwa hawaoni taabu kuua kwa maslahi ya chama hukumbuki ya Kolimba, Balali nk. Hawa watu kama siyo wanyama kweli baba yake angeweza kukubali kusaini mswaada kandamizi kiasi hiki?????????Acha woga ndugu yangu; usimwogope mwanadamu alozaliwa na mwanamke kama wewe! Maneno hayo yalitamkwa na Mtoto wa JK - Ridhiwan huko kwao Bagamoyo! Kumbukumbu tunazo!