Ya CHADEMA, Lowassa, Dr. Mashinji na mgomo wa madaktari mwaka 2012

Pro Magufuli Wa 47

Senior Member
Mar 5, 2016
188
58
Mwaka 2012 Watanzania tulishuhudia mgomo mkubwa wa Madaktar kushinikiza Serikali iwalipe mishahara mikubwa na kuwaonyesha Watanzania nguvu kubwa waliyonayo dhidi ya Serikali.

Mgomo huo uliendeshwa kikatili sana na kuleta usumbufu, Mateso yasiyoelezeka na vifo vingi kwa Watanzania wenzetu hasa kina Mama na Watoto.
Serikali wakati huo kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama walikuwa wakihusisha Mgomo huo na Siasa hasa CHADEMA na baadhi ya Makada wa CCM, lakini wengi wetu tuliona kama mbinu ya Serikali kujitetea tu kwa kusingizia CHADEMA na kuukimbia ukweli.

KWA UTEUZI HUU WA Dr MASHINJI, SASA NI WAZI KUWA CHADEMA/Team Lowassa WALIKUWA NYUMA NA CHANZO cha MGOMO WA MADAKTARI.

Madaktali walitumika pasipo kujijua kwa kuingizwa kwenye Mgomo ambao uliowashushia hadhi yao kwa jamii na viongozi wao wachache ambao ni Makada wa CHADEMA na vibaraka wa kundi la walafi wa madaraka ndani ya CCM.

Hongera Dr MASHINJI, pia pole kwa kujivua Mask na kutuonyesha wazi wewe ni nani haswaa!
Nakupa pole zaidi kwa kujiingiza katika siasa kwenye chama cha walioshindwa, vigeugeu, Ma-fisadi.

Siku zote ukumbuke kuwa ujachaguliwa kwa CV yako, ila kwa record yako mbaya ya kuendesha Migomo hivyo jiandae, Pili unatumika tu hawanaga shukrani hao.
 
Mwaka 2012 Watanzania tulishuhudia mgomo mkubwa wa Madaktar kushinikiza Serikali iwalipe mishahara mikubwa na kuwaonyesha Watanzania nguvu kubwa waliyonayo dhidi ya Serikali.
Mgomo huo uliendeshwa kikatili sana na kuleta usumbufu, Mateso yasiyoelezeka na vifo vingi kwa Watanzania wenzetu hasa kina Mama na Watoto.
Serikali wakati huo kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama walikuwa wakihusisha Mgomo huo na Siasa hasa CHADEMA na baadhi ya Makada wa CCM, lakini wengi wetu tuliona kama mbinu ya Serikali kujitetea tu kwa kusingizia CHADEMA na kuukimbia ukweli.
KWA UTEUZI HUU WA Dr MASHINJI, SASA NI WAZI KUWA CHADEMA\Team Lowassa WALIKUWA NYUMA NA CHANZO cha MGOMO WA MADAKTARI.
Madaktali walitumika pasipo kujijua kwa kuingizwa kwenye Mgomo ambao uliowashushia hadhi yao kwa jamii na viongozi wao wachache ambao ni Makada wa CHADEMA na vibaraka wa kundi la walafi wa madaraka ndani ya CCM.
Hongera Dr MASHINJI, pia pole kwa kujivua Mask na kutuonyesha wazi wewe ni nani haswaa!
Nakupa pole zaidi kwa kujiingiza katika siasa kwenye chama cha walioshindwa, vigeugeu, Ma-fisadi.
Siku zote ukumbuke kuwa ujachaguliwa kwa CV yako, ila kwa record yako mbaya ya kuendesha Migomo hivyo jiandae, Pili unatumika tu hawanaga shukrani hao.
Hapo mwisho hapo pamenikumbusha Dr. Walid Aman Kaburu, Dr. Slaa, Chacha Wangwe, Zitto, Mzee Alfi, nk.
 
Mgomo wa madaktari ulisababishwa na serikali ya kuchekacheka Ya CCM,ikiambatana msemo wake maarufu ni ," Upepo tu utapita".
 
Kinara wa mgomo wa madaktari....
mgomo uliosababisha vifo vya mamia ya wananchi azawadiwa cheo....

??????
 
Mwaka 2012 Watanzania tulishuhudia mgomo mkubwa wa Madaktar kushinikiza Serikali iwalipe mishahara mikubwa na kuwaonyesha Watanzania nguvu kubwa waliyonayo dhidi ya Serikali.
Mgomo huo uliendeshwa kikatili sana na kuleta usumbufu, Mateso yasiyoelezeka na vifo vingi kwa Watanzania wenzetu hasa kina Mama na Watoto.
Serikali wakati huo kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama walikuwa wakihusisha Mgomo huo na Siasa hasa CHADEMA na baadhi ya Makada wa CCM, lakini wengi wetu tuliona kama mbinu ya Serikali kujitetea tu kwa kusingizia CHADEMA na kuukimbia ukweli.
KWA UTEUZI HUU WA Dr MASHINJI, SASA NI WAZI KUWA CHADEMA\Team Lowassa WALIKUWA NYUMA NA CHANZO cha MGOMO WA MADAKTARI.
Madaktali walitumika pasipo kujijua kwa kuingizwa kwenye Mgomo ambao uliowashushia hadhi yao kwa jamii na viongozi wao wachache ambao ni Makada wa CHADEMA na vibaraka wa kundi la walafi wa madaraka ndani ya CCM.
Hongera Dr MASHINJI, pia pole kwa kujivua Mask na kutuonyesha wazi wewe ni nani haswaa!
Nakupa pole zaidi kwa kujiingiza katika siasa kwenye chama cha walioshindwa, vigeugeu, Ma-fisadi.
Siku zote ukumbuke kuwa ujachaguliwa kwa CV yako, ila kwa record yako mbaya ya kuendesha Migomo hivyo jiandae, Pili unatumika tu hawanaga shukrani hao.
Kama hujui basi naibu waziri wako wa afya nae 2001 aliongoza mgomo wa Madaktari, tena ni mwanaCCM mwenzako! so hilo suala la mgomo ona aibu kulizungumzia hapa poyoyo wewe. Ukiwa mjinga uwe na kumbukumbu.
 
Mwaka 2012 Watanzania tulishuhudia mgomo mkubwa wa Madaktar kushinikiza Serikali iwalipe mishahara mikubwa na kuwaonyesha Watanzania nguvu kubwa waliyonayo dhidi ya Serikali.
Mgomo huo uliendeshwa kikatili sana na kuleta usumbufu, Mateso yasiyoelezeka na vifo vingi kwa Watanzania wenzetu hasa kina Mama na Watoto.
Serikali wakati huo kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama walikuwa wakihusisha Mgomo huo na Siasa hasa CHADEMA na baadhi ya Makada wa CCM, lakini wengi wetu tuliona kama mbinu ya Serikali kujitetea tu kwa kusingizia CHADEMA na kuukimbia ukweli.
KWA UTEUZI HUU WA Dr MASHINJI, SASA NI WAZI KUWA CHADEMA\Team Lowassa WALIKUWA NYUMA NA CHANZO cha MGOMO WA MADAKTARI.
Madaktali walitumika pasipo kujijua kwa kuingizwa kwenye Mgomo ambao uliowashushia hadhi yao kwa jamii na viongozi wao wachache ambao ni Makada wa CHADEMA na vibaraka wa kundi la walafi wa madaraka ndani ya CCM.
Hongera Dr MASHINJI, pia pole kwa kujivua Mask na kutuonyesha wazi wewe ni nani haswaa!
Nakupa pole zaidi kwa kujiingiza katika siasa kwenye chama cha walioshindwa, vigeugeu, Ma-fisadi.
Siku zote ukumbuke kuwa ujachaguliwa kwa CV yako, ila kwa record yako mbaya ya kuendesha Migomo hivyo jiandae, Pili unatumika tu hawanaga shukrani hao.
Mkuu,umetazama mbali sana eti wanadhani kwa kufanya hivyo jamaa atapunguza nguvu ya mkuu wa kaya na ccm kanda ya ziwa. Kweli cdm wanaweweseka.
 
Magamba hamna pakushika eti kinara wa mgomo wa madaktari 2012,aleza vizur alikuwa nani kwa madaktari mpaka awe kinara wa mgomo nchi nzima,
 
Mgomo ule ndio mafanikio ya Muhimbili na hospitali nyingine kwa sasa kupata vifaa na wananchi kufurahia huduma bora. Ni sawa na wanaoanzisha vita vya ukombozi ambavyo wapo watakao poteza maisha lakini wengi watapata watapata ukombozi.
Kama Dr Vicent alishiriki na kuongoza mapambano yale kwangu mimi ni shujaa maana wapo watanzania wengi sasa wanaokolewa maisha yao kutokana na shinikizo lile ambalo liliwatia vilema na maumivu makubwa baadhi yao akiwemo Dr Ulimboka
 
Mwaka 2012 Watanzania tulishuhudia mgomo mkubwa wa Madaktar kushinikiza Serikali iwalipe mishahara mikubwa na kuwaonyesha Watanzania nguvu kubwa waliyonayo dhidi ya Serikali.
Mgomo huo uliendeshwa kikatili sana na kuleta usumbufu, Mateso yasiyoelezeka na vifo vingi kwa Watanzania wenzetu hasa kina Mama na Watoto.
Serikali wakati huo kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama walikuwa wakihusisha Mgomo huo na Siasa hasa CHADEMA na baadhi ya Makada wa CCM, lakini wengi wetu tuliona kama mbinu ya Serikali kujitetea tu kwa kusingizia CHADEMA na kuukimbia ukweli.
KWA UTEUZI HUU WA Dr MASHINJI, SASA NI WAZI KUWA CHADEMA\Team Lowassa WALIKUWA NYUMA NA CHANZO cha MGOMO WA MADAKTARI.
Madaktali walitumika pasipo kujijua kwa kuingizwa kwenye Mgomo ambao uliowashushia hadhi yao kwa jamii na viongozi wao wachache ambao ni Makada wa CHADEMA na vibaraka wa kundi la walafi wa madaraka ndani ya CCM.
Hongera Dr MASHINJI, pia pole kwa kujivua Mask na kutuonyesha wazi wewe ni nani haswaa!
Nakupa pole zaidi kwa kujiingiza katika siasa kwenye chama cha walioshindwa, vigeugeu, Ma-fisadi.
Siku zote ukumbuke kuwa ujachaguliwa kwa CV yako, ila kwa record yako mbaya ya kuendesha Migomo hivyo jiandae, Pili unatumika tu hawanaga shukrani hao.
Naum,..uteuzi huu wa Vincent umefuatia kujaribu bila kushindwa kupendekeza majina ya Lissu,Mnyika,Mwalim...Lakini Lowassa kamwe aligoma kuidhinisha uteuzi wa waliowahi kumtusi na huu ni mwanzo wa Chadema mpya ya Lowasa na hili limezua mgogoro mkubwa kwa Mt.Kilimanjaro mafia ndani na nje ya shamba kuapa kukitosa chama.
 
Katibu mkuu asiye na Historia ya Siasa zaidi ya Uzoefu wa Migomo..


Kila la kher Dr. Slaa huko uliko..... Bado utakumbukwa.
 
Back
Top Bottom