MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,752
- 5,497
- Thread starter
- #281
Umenifanya nicheke kabisa mkuu.....
Haya yanayosemwa hapa context yake ni nini?
Kabla au baada ya dhambi?
Ukijibu hayo nitaelewa kama unasoma Biblia kama gazeti au vinginevyo....
Mkuu nimekupa ili kukushtua. Maana naona mwanadamu unataka kumchukulia kama SCRAP Sio kweli.
Mwanadamu ni nani hata Umuangalie? Hili swali hakuuliza DAUDI tu, Ni maswali aliyuliza Hata AYUBU, Ukimsoma utajua mwanadamu ni nani na anadhamani gani, na kwa niniMungu ampe hadhi kubwa kiasi hicho
Yesu alisema Tuna thamani zaidi ya mashomoro
Mungu anasema Nimekuchora katika Viganja
Mwanadamu ni wa Thamani sana kuliko unavyodhani hadi yesu anakuja. Haijalishi ni Mdhambi au Mwema.
Mungu anajishughulisha saana na Maisha yetu. Soma Petro
Hao viumbe Wakufikirika wasio hata na protection ya Mungu, Tena wasio hata na viwango vya Mapepo hata majini hawana dhamani kabisa hata hiyo akili unayotaka kuwapa ukiachilia mbali hawapo kabisa.
Haya yanatokea ni kwa sababu Yalitabiriwa, Na lazima yatokee ili ule mwisho uje maana katikati ya haya yanayotokea na mengine mengi ya kutisha yajayo Mungu ameweka tumaini Lenye Baraka kwa mwanadamu yoyte yule atakayetaka.
Haya yanayosemwa hapa context yake ni nini?
Kabla au baada ya dhambi?
Ukijibu hayo nitaelewa kama unasoma Biblia kama gazeti au vinginevyo....
Mkuu nimekupa ili kukushtua. Maana naona mwanadamu unataka kumchukulia kama SCRAP Sio kweli.
Mwanadamu ni nani hata Umuangalie? Hili swali hakuuliza DAUDI tu, Ni maswali aliyuliza Hata AYUBU, Ukimsoma utajua mwanadamu ni nani na anadhamani gani, na kwa niniMungu ampe hadhi kubwa kiasi hicho
Yesu alisema Tuna thamani zaidi ya mashomoro
Mungu anasema Nimekuchora katika Viganja
Mwanadamu ni wa Thamani sana kuliko unavyodhani hadi yesu anakuja. Haijalishi ni Mdhambi au Mwema.
Mungu anajishughulisha saana na Maisha yetu. Soma Petro
Hao viumbe Wakufikirika wasio hata na protection ya Mungu, Tena wasio hata na viwango vya Mapepo hata majini hawana dhamani kabisa hata hiyo akili unayotaka kuwapa ukiachilia mbali hawapo kabisa.
Haya yanatokea ni kwa sababu Yalitabiriwa, Na lazima yatokee ili ule mwisho uje maana katikati ya haya yanayotokea na mengine mengi ya kutisha yajayo Mungu ameweka tumaini Lenye Baraka kwa mwanadamu yoyte yule atakayetaka.