WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

MSEZA MKULU

JF-Expert Member
Jul 22, 2011
3,752
5,497
Barua iliyoandikwa 15/08/1871 na mtu huyu Albert Pike akimuandikia mwanamapinduzi wa kiitaliano Giuseppe Mazzini.

Barua hii imeandikwa na kunukuliwa na vyombo mashuhuri vya mashariki na magharibi ikiwemo gazeti la Kiingereza, THE SUN, kitabu Descent into Slavery na kunukuliwa na gazeti la daily mail UK la 16:46GMT, 7 March 2016, http://www.dailymail.co.uk/news/article-3480720/Letter-written-Confederate-officer-150-years-ago-predicted-two-World-Wars-said-Islamic-leaders-West-just-hoax.html#comments pamoja na vyanzo lukuki mitandaoni imeibua utata mkubwa na wenda ikaandika upya historia ya dunia.

Mambo yanayoibuka katika barua hiyo;

1: VITA VYA KWANZA VYA DUNIA NA LENGO LAKE
Vita hivi vilitengenezwa ili kuusambaratisha utawala wa kifalme wa Czar huko urusi na kupandikiza u communism. RUSSIA hii ya kicommunist iliandaliwa kwa shughuli maalumu hapo baadae kubalance power Kati ya West na East. Mwaka 1917 mapinduzi makubwa ya kijeshi yalitokea urusi inasemekana yalikuwa financed na matajiri wakubwa duniani waliojificha nyuma ya mpango huu na kuwaweka madarakani wasoviet au wakomunist.
Kama ilivyotabiriwa na barua ya nguli huyu mwenye kuhusishwa na chama cha siri cha kiiluminati.

2: VITA VYA PILI VYA DUNIA NA LENGO LAKE
Vita hivi vililenga rasmi kuchochea chuki Kati ya wayahudi na wanazi. Na baadae lianzishwe taifa la kisiasa la kizayuni au israel kwa ajili ya mpango maalum na ndio matokeo ya vita hivyo. Pili ni kuiinua urusi ya kicommunist kuwa na nguvu ya kutosha na kuifanya dunia yenye mataifa mawilli yenye nguvu duniani ili kwa baadae yatumike kwa mpango maalum.

3: VITA HIVI VINAVYOENDELEA SASA VITA DHIDI YA UGAIDI /EXTREMESTS
Vita hivi vinahusishwa na matukio yote ya kigaidi, vita vya Iraq, Afghanistan, matukio kama ya September 11th, na fukuto linaloendelea Sasa huko middle east na mengine mengi yajayo ya aina hiyo. Vita hivi lazima vichochee uhasama Kati ya waarabu na wayahudi wachukiane kiasi cha kila mmoja kumuaribu kabisa mwenzake.

Vita hivi vitaijumuisha dunia nzima, Visambae kimwili, kimaadili, kiroho na kiuchumi kuwaandaa wakazi wa dunia kuwa kitu kimoja na kuwa socially minded. Na ikiwezekana hata kubomoa sheria za nchi yoyote Ile ili kupambana na adui gaidi au mtu yoyote hatarishi kwa ufafanuzi za wahusika.

Hii barua na huu mpango wengine wanaona ina ukweli ndani yake, wengine wanaona ni kitu cha kutungwa na kubuniwa. Na wengine wanabaki katika dilema.

Hii ndio dunia yetu.
 
Tangu niliposoma na kujua alichokuwa anakimaanisha Plato kwenye kitabu chake cha Republic hasa kwenye story yake ya Allegory of the Cave ndiyo nilianza kuelewa kabisa hasa tunaishi kwenye dunia ya namna ipi....

Kimsingi,watu wote ambao leo tunawachukulia kama "majiniaz" walipata ujuzi waliokuwa nao kutoka mahali fulani,Mesopotamia huko.Pythagoras,Socrates,Galileo,Alexander the Great,Plato na hadi hawa akina Sir Francis Beacon na John Dee ni watu ambao walipata elimu hizi tofauti kabisa na wanafunzi wengine waliikuwa kwenye madarasa ya watu hawa....

Socrates aliwahi kumueleza mwanafunzi wake mmoja aitwaye Plato kwenye madarasa yao kwamba,elimu anayowapa ni elimu iliyoko kwenye makundi mawili.Kunsi la kwanza ni lile la kawaida ambalo wanapewa elimu ya kawaida kuhusu mafuzo waliyokuwa wanapewa na kundi la pili ni lile ambalo linapewa elimu maalum na nyeti ambayo hakupaswa kupewa mtu yoyote na ni elimu maalum ambayo ndiyo lengo kuu la wao kufundishwa....

Kwenye darasa maalum ambalo walipewa elimu maalum ambayo Socrates alimueleza Plato,miongopni mwa wanafunzi waliokuwemo ni Plato mwenyewe.Utaratiobu huu ambao Plato alielezwa na mwalimu wake ulikuwepo tangu Socrates mwenyewe alipopata ujuzi huo kutoka kwa Pythagoras na Plato aliendelea kuwa nao na hata wanafunzi wake waliofuatioa kama akina Alexander The Great waliendelea nao....

Hapa sasa dipo tunakuja kupata maana mbili za hadithi ya Allegory of the Cave inayopatikana kwenye kitabu cha Plato kiitwacho The Republic.....

Hadithi ile inazungumzia watu waliokuwa kwenye pango ambao walikuwa wamefungwa kwa minyororo kwenye miguu yao wakati huo huo nyuma yao kukiwa kuna mto unaowaka.Watu hawa waliishi kwenye pango hili kwa miaka mingi sana,wakiwa wameelekezea nyuso zao kwenye ukuta wa pango lile wakitazama vivuli vyao ukutani na waliamini ule ndiyo ulikuwa uhalisia [the dancing shadow became their reality]....

Kwao maisha na dunia ilikuwa ni ile waliyokuwa wakiiona kwenye pango lile.vivuli ndiyo mazingira yaliyowazunguka na huo ulikuwa ni ukweli mkubwa sana kwao....

Uhalisia ule ambao ulikuwa wazi kabisa kwenye macho yao ndiyo ulikuwa ukweli.Haikuwa rahisi kabisa kuja kumueleza mmoja wao au wote kwamba ule hukuwa uhalisia kwakuwa walikuwa wakiona kwa macho yao.Waliamini kila walichokuwa wakikiangalia kilikuwa ndicho halisi...

Bahati mbaya kabisa ni kwamba hawakujua kwamba uhalisia ule ulikuwa umetengenezwa tu,haukuwa halisi.Waliamini kila walichokuwa wanakiona ni halisi.Waliamini hakuna anayeweza kutengeneza kitu halafu kikaonekana kuwa halisi hadi siku mmoja wao alipokata mnyororo na kutoka nje na kuuona uhalisia halisi na kurudi ndani kuwafungua wenzake minyororo ile na wao kuja kuuona uhalisia ambao hata kwa bunduki wasingekubali kuwa upo kama mtu angeenda kuwaeleza hili.....

Ukiangalia au ukitaka kujua maana ya hadithihii ndipo utakuja kuona kile ambacho kinaendelea duniani.Plato aliwaeleza maana halisi ya hadithi hii watu wachache sana wanaitwa "the elect ones",watu ambao walikuwa wakielezwa haya kwa sababu maalaum ili waje kutawala dunia....

Kinachoendelea duniani leo sicho kilichopo kwenye uhalisia,siyo uhalisia bali ni uhalisia uliotengenezwa tu.Wengi na nadhani hata wewe unaamini kuna ugonjwa unaosababishwa na kirusi fulani kinachoitwa HIV,unaamini kuna ugonjwa unoitwa EBOLA unaoua kikatili kabisa,unaamini kuna mafua ya ndege,unaamini kuna watu wanaotishia maisha ya watu wanaoitwa magaidi,unaamini rais wa Marekani anachaguliwa na wapiga kura kidemokrasia,unaamini kuna uadui kati ya Marekani,China na Urusi,unaamini dunia ina watu wengi sana hivyo inaweza kuja kuleta matatizo hapo baadaye hivyo tunapaswa kutumia uzazi wa mpango.Unaamini kuwa dunia ina mabilioni ya miaka,Unaamini kuwa viwanda vinaharibu hali ya hewa na kuzababisha mvua kutonyesha na kuongeza joto duniani,fake relity ziko nyingi sana....

Tunaishi kwenye pango,vivuli vilivyotengenezwa na moto ndiyo uhalisia wetu,giza lililoko ndani ya pango ndiyo ukweli wetu.Minyoror inatufanya tuamini hivyo kwakuwa hatuwezi kutoka humo....

Sasa basi pango ni nini,minyororo ni nini?Moto na vivuli ni nini? Maana za haya yote utaweza kupata angalau clue kama utanisoma hapo juu kwa makini.Hapa ndipo tunapokuja kuamini kwamba vita vinasababishwa kwasababu tunazoambiwa,lakini kuna sababu za kweli ambazo hatuambiwi....

Tunaishi kwenye dunia ambayo ukipata hata nukta kidogo ya ukweli utaogopa....

Nimesema haya ili kukufanya mkuu MSEZA MKULU uangalie tena mara mbili sababu za vita ulivyovisema hapo kwenye mada yako ili uone kama hazina chumvi au uongo.....

Ashante......
 
Tangu niliposoma na kujua alichokuwa anakimaanisha Plato kwenye kitabu chake cha Republic hasa kwenye story yake ya Allegory of the Cave ndiyo nilianza kuelewa kabisa hasa tunaishi kwenye dunia ya namna ipi....

Kimsingi,watu wote ambao leo tunawachukulia kama "majiniaz" walipata ujuzi waliokuwa nao kutoka mahali fulani,Mesopotamia huko.Pythagoras,Socrates,Galileo,Alexander the Great,Plato na hadi hawa akina Sir Francis Beacon na John Dee ni watu ambao walipata elimu hizi tofauti kabisa na wanafunzi wengine waliikuwa kwenye madarasa ya watu hawa....

Socrates aliwahi kumueleza mwanafunzi wake mmoja aitwaye Plato kwenye madarasa yao kwamba,elimu anayowapa ni elimu iliyoko kwenye makundi mawili.Kunsi la kwanza ni lile la kawaida ambalo wanapewa elimu ya kawaida kuhusu mafuzo waliyokuwa wanapewa na kundi la pili ni lile ambalo linapewa elimu maalum na nyeti ambayo hakupaswa kupewa mtu yoyote na ni elimu maalum ambayo ndiyo lengo kuu la wao kufundishwa....

Kwenye darasa maalum ambalo walipewa elimu maalum ambayo Socrates alimueleza Plato,miongopni mwa wanafunzi waliokuwemo ni Plato mwenyewe.Utaratiobu huu ambao Plato alielezwa na mwalimu wake ulikuwepo tangu Socrates mwenyewe alipopata ujuzi huo kutoka kwa Pythagoras na Plato aliendelea kuwa nao na hata wanafunzi wake waliofuatioa kama akina Alexander The Great waliendelea nao....

Hapa sasa dipo tunakuja kupata maana mbili za hadithi ya Allegory of the Cave inayopatikana kwenye kitabu cha Plato kiitwacho The Republic.....

Hadithi ile inazungumzia watu waliokuwa kwenye pango ambao walikuwa wamefungwa kwa minyororo kwenye miguu yao wakati huo huo nyuma yao kukiwa kuna mto unaowaka.Watu hawa waliishi kwenye pango hili kwa miaka mingi sana,wakiwa wameelekezea nyuso zao kwenye ukuta wa pango lile wakitazama vivuli vyao ukutani na waliamini ule ndiyo ulikuwa uhalisia [the dancing shadow became their reality]....

Kwao maisha na dunia ilikuwa ni ile waliyokuwa wakiiona kwenye pango lile.vivuli ndiyo mazingira yaliyowazunguka na huo ulikuwa ni ukweli mkubwa sana kwao....

Uhalisia ule ambao ulikuwa wazi kabisa kwenye macho yao ndiyo ulikuwa ukweli.Haikuwa rahisi kabisa kuja kumueleza mmoja wao au wote kwamba ule hukuwa uhalisia kwakuwa walikuwa wakiona kwa macho yao.Waliamini kila walichokuwa wakikiangalia kilikuwa ndicho halisi...

Bahati mbaya kabisa ni kwamba hawakujua kwamba uhalisia ule ulikuwa umetengenezwa tu,haukuwa halisi.Waliamini kila walichokuwa wanakiona ni halisi.Waliamini hakuna anayeweza kutengeneza kitu halafu kikaonekana kuwa halisi hadi siku mmoja wao alipokata mnyororo na kutoka nje na kuuona uhalisia halisi na kurudi ndani kuwafungua wenzake minyororo ile na wao kuja kuuona uhalisia ambao hata kwa bunduki wasingekubali kuwa upo kama mtu angeenda kuwaeleza hili.....

Ukiangalia au ukitaka kujua maana ya hadithihii ndipo utakuja kuona kile ambacho kinaendelea duniani.Plato aliwaeleza maana halisi ya hadithi hii watu wachache sana wanaitwa "the elect ones",watu ambao walikuwa wakielezwa haya kwa sababu maalaum ili waje kutawala dunia....

Kinachoendelea duniani leo sicho kilichopo kwenye uhalisia,siyo uhalisia bali ni uhalisia uliotengenezwa tu.Wengi na nadhani hata wewe unaamini kuna ugonjwa unaosababishwa na kirusi fulani kinachoitwa HIV,unaamini kuna ugonjwa unoitwa EBOLA unaoua kikatili kabisa,unaamini kuna mafua ya ndege,unaamini kuna watu wanaotishia maisha ya watu wanaoitwa magaidi,unaamini rais wa Marekani anachaguliwa na wapiga kura kidemokrasia,unaamini kuna uadui kati ya Marekani,China na Urusi,unaamini dunia ina watu wengi sana hivyo inaweza kuja kuleta matatizo hapo baadaye hivyo tunapaswa kutumia uzazi wa mpango.Unaamini kuwa dunia ina mabilioni ya miaka,Unaamini kuwa viwanda vinaharibu hali ya hewa na kuzababisha mvua kutonyesha na kuongeza joto duniani,fake relity ziko nyingi sana....

Tunaishi kwenye pango,vivuli vilivyotengenezwa na moto ndiyo uhalisia wetu,giza lililoko ndani ya pango ndiyo ukweli wetu.Minyoror inatufanya tuamini hivyo kwakuwa hatuwezi kutoka humo....

Sasa basi pango ni nini,minyororo ni nini?Moto na vivuli ni nini? Maana za haya yote utaweza kupata angalau clue kama utanisoma hapo juu kwa makini.Hapa ndipo tunapokuja kuamini kwamba vita vinasababishwa kwasababu tunazoambiwa,lakini kuna sababu za kweli ambazo hatuambiwi....

Tunaishi kwenye dunia ambayo ukipata hata nukta kidogo ya ukweli utaogopa....

Nimesema haya ili kukufanya mkuu MSEZA MKULU uangalie tena mara mbili sababu za vita ulivyovisema hapo kwenye mada yako ili uone kama hazina chumvi au uongo.....

Ashante......
Sababu halisi ya vita hizi kama zinavyofundishwa huku darasani na tumejibia mitihani binafsi huwa naziona nyepesi sana. Haiwezekani jamaa apigwe risasi huko Sarajevo kesho inakuwa ni sababu kubwa ya vita vya dunia. Hiki kilichoandikwa kinaweza kuwa kweli au kikabaki kama changamoto.
Hao wakina Plato na story zao sioni kama wananafasi kwenye Mada hii maana mimi huwa nawachukulia kama watu wadogo ambao almost maarifa yao yote wameyatoa misri. Kuna uzi nimewahi kuelezea hilo. Wamepata umaarufu sana kwa sababu ni Roman empire iliwaadmire sana hivyo kuchukuliwa kama founders wa classical philosophy lkn ni ujuzi wa kimisri. Na fujo zote zilianzia huko.

Yaani kwa ufupi ni wazungu wa kwanza kuwa wajanja wakati ujanja waliutoa misri na wazungu wote wanataka kuiaminisha dunia kuwa hao ndio elite wa dunia.
 
Tangu niliposoma na kujua alichokuwa anakimaanisha Plato kwenye kitabu chake cha Republic hasa kwenye story yake ya Allegory of the Cave ndiyo nilianza kuelewa kabisa hasa tunaishi kwenye dunia ya namna ipi....

Kimsingi,watu wote ambao leo tunawachukulia kama "majiniaz" walipata ujuzi waliokuwa nao kutoka mahali fulani,Mesopotamia huko.Pythagoras,Socrates,Galileo,Alexander the Great,Plato na hadi hawa akina Sir Francis Beacon na John Dee ni watu ambao walipata elimu hizi tofauti kabisa na wanafunzi wengine waliikuwa kwenye madarasa ya watu hawa....

Socrates aliwahi kumueleza mwanafunzi wake mmoja aitwaye Plato kwenye madarasa yao kwamba,elimu anayowapa ni elimu iliyoko kwenye makundi mawili.Kunsi la kwanza ni lile la kawaida ambalo wanapewa elimu ya kawaida kuhusu mafuzo waliyokuwa wanapewa na kundi la pili ni lile ambalo linapewa elimu maalum na nyeti ambayo hakupaswa kupewa mtu yoyote na ni elimu maalum ambayo ndiyo lengo kuu la wao kufundishwa....

Kwenye darasa maalum ambalo walipewa elimu maalum ambayo Socrates alimueleza Plato,miongopni mwa wanafunzi waliokuwemo ni Plato mwenyewe.Utaratiobu huu ambao Plato alielezwa na mwalimu wake ulikuwepo tangu Socrates mwenyewe alipopata ujuzi huo kutoka kwa Pythagoras na Plato aliendelea kuwa nao na hata wanafunzi wake waliofuatioa kama akina Alexander The Great waliendelea nao....

Hapa sasa dipo tunakuja kupata maana mbili za hadithi ya Allegory of the Cave inayopatikana kwenye kitabu cha Plato kiitwacho The Republic.....

Hadithi ile inazungumzia watu waliokuwa kwenye pango ambao walikuwa wamefungwa kwa minyororo kwenye miguu yao wakati huo huo nyuma yao kukiwa kuna mto unaowaka.Watu hawa waliishi kwenye pango hili kwa miaka mingi sana,wakiwa wameelekezea nyuso zao kwenye ukuta wa pango lile wakitazama vivuli vyao ukutani na waliamini ule ndiyo ulikuwa uhalisia [the dancing shadow became their reality]....

Kwao maisha na dunia ilikuwa ni ile waliyokuwa wakiiona kwenye pango lile.vivuli ndiyo mazingira yaliyowazunguka na huo ulikuwa ni ukweli mkubwa sana kwao....

Uhalisia ule ambao ulikuwa wazi kabisa kwenye macho yao ndiyo ulikuwa ukweli.Haikuwa rahisi kabisa kuja kumueleza mmoja wao au wote kwamba ule hukuwa uhalisia kwakuwa walikuwa wakiona kwa macho yao.Waliamini kila walichokuwa wakikiangalia kilikuwa ndicho halisi...

Bahati mbaya kabisa ni kwamba hawakujua kwamba uhalisia ule ulikuwa umetengenezwa tu,haukuwa halisi.Waliamini kila walichokuwa wanakiona ni halisi.Waliamini hakuna anayeweza kutengeneza kitu halafu kikaonekana kuwa halisi hadi siku mmoja wao alipokata mnyororo na kutoka nje na kuuona uhalisia halisi na kurudi ndani kuwafungua wenzake minyororo ile na wao kuja kuuona uhalisia ambao hata kwa bunduki wasingekubali kuwa upo kama mtu angeenda kuwaeleza hili.....

Ukiangalia au ukitaka kujua maana ya hadithihii ndipo utakuja kuona kile ambacho kinaendelea duniani.Plato aliwaeleza maana halisi ya hadithi hii watu wachache sana wanaitwa "the elect ones",watu ambao walikuwa wakielezwa haya kwa sababu maalaum ili waje kutawala dunia....

Kinachoendelea duniani leo sicho kilichopo kwenye uhalisia,siyo uhalisia bali ni uhalisia uliotengenezwa tu.Wengi na nadhani hata wewe unaamini kuna ugonjwa unaosababishwa na kirusi fulani kinachoitwa HIV,unaamini kuna ugonjwa unoitwa EBOLA unaoua kikatili kabisa,unaamini kuna mafua ya ndege,unaamini kuna watu wanaotishia maisha ya watu wanaoitwa magaidi,unaamini rais wa Marekani anachaguliwa na wapiga kura kidemokrasia,unaamini kuna uadui kati ya Marekani,China na Urusi,unaamini dunia ina watu wengi sana hivyo inaweza kuja kuleta matatizo hapo baadaye hivyo tunapaswa kutumia uzazi wa mpango.Unaamini kuwa dunia ina mabilioni ya miaka,Unaamini kuwa viwanda vinaharibu hali ya hewa na kuzababisha mvua kutonyesha na kuongeza joto duniani,fake relity ziko nyingi sana....

Tunaishi kwenye pango,vivuli vilivyotengenezwa na moto ndiyo uhalisia wetu,giza lililoko ndani ya pango ndiyo ukweli wetu.Minyoror inatufanya tuamini hivyo kwakuwa hatuwezi kutoka humo....

Sasa basi pango ni nini,minyororo ni nini?Moto na vivuli ni nini? Maana za haya yote utaweza kupata angalau clue kama utanisoma hapo juu kwa makini.Hapa ndipo tunapokuja kuamini kwamba vita vinasababishwa kwasababu tunazoambiwa,lakini kuna sababu za kweli ambazo hatuambiwi....

Tunaishi kwenye dunia ambayo ukipata hata nukta kidogo ya ukweli utaogopa....

Nimesema haya ili kukufanya mkuu MSEZA MKULU uangalie tena mara mbili sababu za vita ulivyovisema hapo kwenye mada yako ili uone kama hazina chumvi au uongo.....

Ashante......
like ya 5 ni yangu nakuongezea na gwara la nakoz!
umechambua vizuri sana big up
what we know is just a sip on that iceberg!
daniel thought can hide from god but god is seeing everything and we are seeing you!hawa jamaa wanajipa uungu kabisa
 
like ya 5 ni yangu nakuongezea na gwara la nakoz!
umechambua vizuri sana big up
what we know is just a sip on that iceberg!
daniel thought can hide from god but god is seeing everything and we are seeing you!hawa jamaa wanajipa uungu kabisa
Mkuu siyo tu wanajipa uungu bali wanajiona ni miungu kabisa....

Watu wanatengeneza uhalisia na wanakufanya na wewe ukubaliane nao kwa kiwango hata cha kutaka kumuua ambaye anapingana na wewe,hii ni hatari kubwa mkuu....
 
Sababu halisi ya vita hizi kama zinavyofundishwa huku darasani na tumejibia mitihani binafsi huwa naziona nyepesi sana. Haiwezekani jamaa apigwe risasi huko Sarajevo kesho inakuwa ni sababu kubwa ya vita vya dunia. Hiki kilichoandikwa kinaweza kuwa kweli au kikabaki kama changamoto.
Hao wakina Plato na story zao sioni kama wananafasi kwenye Mada hii maana mimi huwa nawachukulia kama watu wadogo ambao almost maarifa yao yote wameyatoa misri. Kuna uzi nimewahi kuelezea hilo. Wamepata umaarufu sana kwa sababu ni Roman empire iliwaadmire sana hivyo kuchukuliwa kama founders wa classical philosophy lkn ni ujuzi wa kimisri. Na fujo zote zilianzia huko.

Yaani kwa ufupi ni wazungu wa kwanza kuwa wajanja wakati ujanja waliutoa misri na wazungu wote wanataka kuiaminisha dunia kuwa hao ndio elite wa dunia.
Katika vita kuha uharibifu na umaskini wa kupindukia. Lakini hao hao wenye vita mara katikati ya vita kasafiri kenda marekani au urusi na kurudi.

Alipata wapi muda na fedha? Ili swali ukiwaza sana utajua kuna ukweli kwenye story ya Plato.
 
Sababu halisi ya vita hizi kama zinavyofundishwa huku darasani na tumejibia mitihani binafsi huwa naziona nyepesi sana. Haiwezekani jamaa apigwe risasi huko Sarajevo kesho inakuwa ni sababu kubwa ya vita vya dunia. Hiki kilichoandikwa kinaweza kuwa kweli au kikabaki kama changamoto.
Hao wakina Plato na story zao sioni kama wananafasi kwenye Mada hii maana mimi huwa nawachukulia kama watu wadogo ambao almost maarifa yao yote wameyatoa misri. Kuna uzi nimewahi kuelezea hilo. Wamepata umaarufu sana kwa sababu ni Roman empire iliwaadmire sana hivyo kuchukuliwa kama founders wa classical philosophy lkn ni ujuzi wa kimisri. Na fujo zote zilianzia huko.

Yaani kwa ufupi ni wazungu wa kwanza kuwa wajanja wakati ujanja waliutoa misri na wazungu wote wanataka kuiaminisha dunia kuwa hao ndio elite wa dunia.
Uko sahihi kwa sehemu,kwa mtazamo wangu,kwamba hawa watu waliiba haya maarifa mahali na kutaka kuaminisha dunia kuwa wao ndiyo walikuwa na akili zaidi.....

Nakubaliana na wewe kuwa wanachokisema au walichokijua ni sehemu ndogo sana ya maarifa yenyewe.Ni ujinga sana kudhani kuwa eti leo ndiyo tuna maendeleo makubwa kuliko wakati mwingine wowote ule.Ni ujinga mkubwa kudhani kuwa eti binadamu anaendelea kupata uekewa kubwa zaidi wa mazingira na yeye mwenyewe....

Nsema ni ujinga kwa sababu kama tuikiamini hivyo basi tutakuwa tunakubaliana na dhana ya hawa wazungu kuwa hao akina Plato ndiyo binadamu wenye akili zaidi kwasababu kila tunachokisoma shuleni leo kinakuwa na misingi yao.Lakini kama tukiamua kukataa na kuuona ukweli mkubwa kuwa binadamu waliwahi kuwa na maendeleo zaidi ya haya ambayo leo tunayo leo ni kwamba hawa watu wanaosemwa kuwa majiniaz ukweli ni kwamba hakuna kitu kabisa wanachokisea au walichoikifanya hakikuwa na wala siyo kitu kipya kabisa.....

Mada yako inahusiana kwa sehemu kubwa sana na hawa watu kwakuwa mbinu ya udanganyifu inayofabnyika leo na itakayoendelea kufanyika wao wana sehemu kubwa sana ya mbinu hiyo.Namna ya ku shape akili ya binadamu na namna yake ya kufikiri ambayo leo inatumika inawahusu sana hawa watu.Naomba niweke angalizo kuwa,kusema inawahusu kwa sehemu kubwa simaanishi kuwa wao ndiyo kila kitu bali wao wamechaguliwa tu kuwa front line wakati nyuma yao kuna wakubwa zaidi ya mara milioni ya hawa tunaowaona hapa....

Jambo hili linafanana na masuala mazima ya utajiri wa dunia na wale ambao wewe na mimi tunaambiwa kuwa ni matajiri wa dunia.Hawa unaowasoma kwenye forbes ni watu tu waliowekwa mbele.Utajiri wa dunia na dunia nzima iko kwenye mikono ya wengine ambao kamwe hutakuja kuwasikia,wako siku zote kuifanya dunia iwe kama watavyo wao na hata namna ya kufikiri uliyonayo ni wao wameishape ikawa hivyo....
 
Back
Top Bottom