Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
- Thread starter
- #41
Kama mzazi wako akikwambia usioe au usiolewe na mvuta bangi ...is he/she discriminating?
Asiyea amini kuwa kuna amri jeshi mkuu ,kuna utaratibu wakufuatwa ktk life battle ,,,,,, hana guarantee huyu mtu...
You hit de point mkuu....
Mtu asiye na imani anaweza kukuua hata kwa sumu....
si anajua kuwa akisha kufa na yeye hakuna tena hukumu