World Economic Forum(WEF) na mpango wao wa kupunguza watu duniani kuanzia 2023

The Best Of All Time

JF-Expert Member
Aug 30, 2022
2,968
6,839
Mnamo wa mwezi wa kwanza, tarehe 19, wanajamii wa WEF walikutana na kujadiliana mambo mengi kuhusu Dunia kiujumla.

Ila wakati mmoja, kuna mmojawao akatoa pendekezo la kupunguza watu duniani kuanzia mwaka 2023 angalau kwa asilimia 50.

Bill Gates tena amezua gumzo baada ya kuandika katika mtandao wa kijamii akimshauri kiongozi wa WEF, Klaus's juu ya matumizi ya "death panels" kupunguza watu duniani, au Kwa maana nyingine Depopulation.

Death panels humaanisha kuwa wanasayansi hutumia mbinu ya kuwapunguza watu wasiokuwa na Faida duniani.

Je, itakuwa race targeted au mass targeted?


Screenshot_20230627-201708.png


Taarifa hii imetolewa ufafanuzi hapa: UZUSHI - World Economic Forums, Bill Gates na Albert Bourla na mipango ya kupunguza idadi ya watu duniani
 
Tatizo huku AFRIKA tumeshindikana.

Africans especially wabantu ni ethnicity inayoweza stahimili shuruba za magonjwa ya kulipuka.

Wakileta AIDS, ebola, kimeta, corona, Marburg, na others stuff ila watu wamegona kupungua

Ndio kwamba vibinti vga teenage vinapewa mimba kwa Kasi ya ajabu

Hadi vikifika 25 tayari vimeshashusha injini 4. Noma sana .

Mbaya zaidi wanapungua huko kwao na wale wa ngozi za njano.

1.Hawataji kuzaa na wakizaa basi mmoja

2. Mass population yao inageukia ushoga.

3. infertility rate imeongezeka huko kwao

4.Mangonjwa kama cancer yanawafyeka.
5. Starehe zinawafyeka.

Matokeo yake Wana wazee wengi kuliko vijana.Imebidi waanze utaratibu wa ku import migrants kutoka AFRIKA na arabuni.

Kila wanachokuja nacho kina backfire kwao.

Huwezi shindana na nature ukashinda.


Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Write your reply...Ni plani ya siku nyng sana.kuna mwandishi maarufu thomas marcus alishaandika kuhusu magugu watu karne ya 18 ndyo mana wakaja na family planing
 
Tatizo huku AFRIKA tumeshindikana.

Africans especially wabantu ni ethnicity inayoweza stahimili shuruba za magonjwa ya kulipuka.

Wakileta AIDS, ebola, kimeta, corona, Marburg, na others stuff ila watu wamegona kupungua

Ndio kwamba vibinti vga teenage vinapewa mimba kwa Kasi ya ajabu

Hadi vikifika 25 tayari vimeshashusha injini 4. Noma sana .

Mbaya zaidi wanapungua huko kwao na wale wa ngozi za njano.

1.Hawataji kuzaa na wakizaa basi mmoja

2. Mass population yao inageukia ushoga.

3. infertility rate imeongezeka huko kwao

4.Mangonjwa kama cancer yanawafyeka.
5. Starehe zinawafyeka.

Matokeo yake Wana wazee wengi kuliko vijana.Imebidi waanze utaratibu wa ku import migrants kutoka AFRIKA na arabuni.

Kila wanachokuja nacho kina backfire kwao.

Huwezi shindana na nature ukashinda.


Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Injini ni neno nililodhania nalitaja peke yangu
 
Back
Top Bottom