The Best Of All Time
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,968
- 6,839
Mnamo wa mwezi wa kwanza, tarehe 19, wanajamii wa WEF walikutana na kujadiliana mambo mengi kuhusu Dunia kiujumla.
Ila wakati mmoja, kuna mmojawao akatoa pendekezo la kupunguza watu duniani kuanzia mwaka 2023 angalau kwa asilimia 50.
Bill Gates tena amezua gumzo baada ya kuandika katika mtandao wa kijamii akimshauri kiongozi wa WEF, Klaus's juu ya matumizi ya "death panels" kupunguza watu duniani, au Kwa maana nyingine Depopulation.
Death panels humaanisha kuwa wanasayansi hutumia mbinu ya kuwapunguza watu wasiokuwa na Faida duniani.
Je, itakuwa race targeted au mass targeted?
Taarifa hii imetolewa ufafanuzi hapa: UZUSHI - World Economic Forums, Bill Gates na Albert Bourla na mipango ya kupunguza idadi ya watu duniani
Ila wakati mmoja, kuna mmojawao akatoa pendekezo la kupunguza watu duniani kuanzia mwaka 2023 angalau kwa asilimia 50.
Bill Gates tena amezua gumzo baada ya kuandika katika mtandao wa kijamii akimshauri kiongozi wa WEF, Klaus's juu ya matumizi ya "death panels" kupunguza watu duniani, au Kwa maana nyingine Depopulation.
Death panels humaanisha kuwa wanasayansi hutumia mbinu ya kuwapunguza watu wasiokuwa na Faida duniani.
Je, itakuwa race targeted au mass targeted?
Taarifa hii imetolewa ufafanuzi hapa: UZUSHI - World Economic Forums, Bill Gates na Albert Bourla na mipango ya kupunguza idadi ya watu duniani