Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,559
Ni wiki Kadhaa Tangu mpenzi wangu anipige Kibuti katika mazingira ya kutatanisha.
I just met another woman whoa I have been dating for the last two weeks now.
Nimekuwa nawasiliana nae mara nyingi mida ya Mchana Lakini usiku huwa simu yake Imezimwa.
Am now getting the feeling that I love her, and I gues she loves me to.
Jana jioni tukiwa tumekaa in one of those places tunakoenda kujipumzisha mida ya Jioni, nikaamu kumdadasi sababu ya kuzima simu usiku.
Gues what!!! She told me she is Married though his husband Travels on regular Basis.
Jamani niliishiwa Nguvu.
Hivi hapa nani mwenye makosa?
Hivi mwanamke unapotongozwa, kama umeolewa unatakiwa umwambie mwanaume, Au unasubiri mpaka akuulize?
I just met another woman whoa I have been dating for the last two weeks now.
Nimekuwa nawasiliana nae mara nyingi mida ya Mchana Lakini usiku huwa simu yake Imezimwa.
Am now getting the feeling that I love her, and I gues she loves me to.
Jana jioni tukiwa tumekaa in one of those places tunakoenda kujipumzisha mida ya Jioni, nikaamu kumdadasi sababu ya kuzima simu usiku.
Gues what!!! She told me she is Married though his husband Travels on regular Basis.
Jamani niliishiwa Nguvu.
Hivi hapa nani mwenye makosa?
Hivi mwanamke unapotongozwa, kama umeolewa unatakiwa umwambie mwanaume, Au unasubiri mpaka akuulize?