Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Haka kabinti kwa ubishi.....khaaa!...........Kama hajali kwanini azime simu usiku?Kwanini yeye aseme kama hajali kua nao wote wawili?!Huyu anaejali ndie alietakiwa kuuliza ili ajue kama panamfaa au la!!!