lizzy, i love u kwa mapoint ujue lol
lizzy, i love u kwa mapoint ujue lol
<br />duh pole sana ungejua vizuri kabla ya kuji involve kihivi, japo najua kuna mahusiano mengine yanaanza na speed kali maswali yanakuja baadae, wengi wa namna hii ni wale ambao walidhani wanapita tu mahala then wananasa hapo ndio anaanza kuulizia ukoo na status
Nyooka moja kwa moja utamkuta...
<br />Tatizo ni kwamba watu hua tunakurupuka mno.Umenijua leo wiki ijayo unanitongoza...hujui nikoje kiundani...hujui kama nna mtu japo nimekwambia sina...hujui nafanya nini labda ni mjasirilimali wa asili (dada poa)...hujui nani anaeniweka mjini ila tayari uko tayari kunivua nguo.<br />
<br />
Kua rafiki yangu...piga story na mimi...nichunguze kwa maswali bila kuashiria unataka zaidi ya urafiki...nisome kwa maongezi yangu...baada ya muda omba hata kunitembelea alafu sasa ndo ufikirie kunitongoza.Sio mambo ya wanijua leo...wanitaka leo!!!