mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,950
- 131,283
Siku ya eid ndiyo wengi wanaibiwaga viatu,,,na wengine wanavaa vyako wanakuachia ndala zilizochoka.Mimi hadi Eid naenda na ndala, sitaki kusali na stress za viatu kuibiwa.
Nikibadili sana crocs labda.
aani mtu unaswali unapiga jicho kwenye viatu,watu wezi