johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Shehe Dkt. Sule amesema Waislamu watawatetea Wapalestina katika swala la Israel kwa sababu Msikiti wa Al Aqsa ni mali ya Waislam siyo Wayahudi
Dkt. Sule amesema kwa sasa Msikiti wa Al Aqsa unamilikiwa na Wayahudi lakini wanaoswali mule ndani ni Waislamu jiulize kwanini!
Shehe Dkt. Sule amesema Wayahudi waache propaganda Ukweli ni kwamba Ibrahim alivyotoka Iraq na kuhamia Caanan aliowakuta Watu ambao ni Wapalestina na baadae akaanza kununua Mashamba na hata Yerusalemu ilikuwa ni Shamba
Itaendelea.....
Mlale Unono 😀
Dkt. Sule amesema kwa sasa Msikiti wa Al Aqsa unamilikiwa na Wayahudi lakini wanaoswali mule ndani ni Waislamu jiulize kwanini!
Shehe Dkt. Sule amesema Wayahudi waache propaganda Ukweli ni kwamba Ibrahim alivyotoka Iraq na kuhamia Caanan aliowakuta Watu ambao ni Wapalestina na baadae akaanza kununua Mashamba na hata Yerusalemu ilikuwa ni Shamba
Itaendelea.....
Mlale Unono 😀