physician2023
JF-Expert Member
- Dec 15, 2023
- 364
- 483
Watu siku hizi hawaogopi nyumba za ibada.Wakati twosome Muslim school(shule ya kiislamu),tulikuwa jirani na kanisa kubwa tu,eneo la kqnisa,ilikuwa tunaliheshimu sana,wanafunzi ilikuwa hata kukaa kwenye ganzi za kuingia kanisa,tulihesabu tunamkoseq Mungu kwenye nyumba ya ibada.Na huko shule,waalimu walikuwa wanatusisitiza,kuheshimu nyumba za ibada,yakiwemo makanisa.Hivi sasa eneo hilo la kanisa,limezungukwa na wamachinga,hata hawajali kama hiyo ni nyumba ya ibada.😂😂😂Wahuni wamezipenda kobazi
waja na ndala za 3000/= waondoka na kobazi za 35000/=
Haya utayapata masjid tuu 😁