Wizi wa mifuniko ya chemba umekubuhu DSM

Marumeso

JF-Expert Member
Oct 3, 2009
1,410
1,313
Nimepita njia kadhaa katikati ya jiji na kukuta mifuniko ya chemba imenyofolewa. Ukipita usiku cjui inakuwaje?

Manispaa mpo?
 
Tatizo ni Viwanda vya Kununua scraper Kumilikiwa na Watu walioiweka serekali Mfukoni!! Sheria zote za Nchi Zinaparalize!!
 
kweli kabisa toka mwaka huu uanze kila sehemu iliyokuwa na mfuniko hakuna mjini mpaka jirani na central polisi wamekomba du kweli njaa mbaya sana tumekuwa kama nguruwe anayeza na kula watoto wake
 
Lakini nafikiri ni kukosa ustaarabu, umaskini, elimu ya kujitambua, ubinafsi na dhiki ya baadhi ya watu katika nchi.

Maeneo ya ngong nchini kenya hadi mapori ya kisames, oletepesi, olesakut hadi magadi utakuta kuna mabomba ya

chuma yako juu ya ardhi, hayajafukiwa lakini hakuna anayeyagusa miaka na miaka. Ingekuwa bongo si balaa!
 
Lakini nafikiri ni kukosa ustaarabu, umaskini, elimu ya kujitambua, ubinafsi na dhiki ya baadhi ya watu katika nchi.

Maeneo ya ngong nchini kenya hadi mapori ya kisames, oletepesi, olesakut hadi magadi utakuta kuna mabomba ya

chuma yako juu ya ardhi, hayajafukiwa lakini hakuna anayeyagusa miaka na miaka. Ingekuwa bongo si balaa!

Mila na desturi za kiswahili ndo chanzo cha haya yote. Hapa hapa Bongo miji au maeneo ambayo hayana uswahili zaidi matitizo namna hii hakuna.
 
Back
Top Bottom