DOKEZO Manispaa ya Kahama mnatia aibu, mji unanuka. Badilikeni

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Ta-kibombo

JF-Expert Member
Dec 4, 2015
632
463
Kahama ni moja ya miji inayokua kwa kasi sana nchini. Pamoja na hilo, nadhani pia ni moja ya miji michafu sana nchini. Mitaro mingi ya barabarani inatiririsha maji machafu ya bafuni na yakwenye chemba za vyoo. Kuna baadhi ya mitaa ata ukipita kwa haraka unapokewa na harufu kali. Hivi idara ya Afya ipo kweli? Imeshindwa kweli kukabiliana na ili tatizo tena lipo wazi kabisa ata kwa mtu ngumbalu anaona?

Baadhi ya mitaa ukipita karibu kila nyumba mifuniko ya chemba za vyoo na bafu ipo wazi inaachwa maji yanatapika kuingia kwenye mitaro. Kata ya majengo ndio imekithiri zaidi hii tabia japo karibu mitaa yote ya huo mji kuna hii tabia.

Pili, usafi wa mazingira kiujumla hali ni mbaya, usafi unafanyika katikati ya mji pekee ambalo ni eneo dogo ila pembezoni unaweza tapika kwa uchafu. Wananchi badilikeni jalini mazingira yanayowazunguka, haingii akilini mama ntilie anauza chakula mbele yake kumejaa uchafu na maji ya bafu yanatiririka.

Wahusika wajibikeni.
 
Kahama ni moja ya miji inayokua kwa kasi sana nchini. Pamoja na hilo, nadhani pia ni moja ya miji michafu sana nchini. Mitaro mingi ya barabarani inatiririsha maji machafu ya bafuni na yakwenye chemba za vyoo. Kuna baadhi ya mitaa ata ukipita kwa haraka unapokewa na harufu kali. Hivi idara ya Afya ipo kweli? Imeshindwa kweli kukabiliana na ili tatizo tena lipo wazi kabisa ata kwa mtu ngumbalu anaona?

Baadhi ya mitaa ukipita karibu kila nyumba mifuniko ya chemba za vyoo na bafu ipo wazi inaachwa maji yanatapika kuingia kwenye mitaro.Kata ya majengo ndio imekithiri zaidi hii tabia japo karibu mitaa yote ya huo mji kuna hii tabia.

Pili,usafi wa mazingira kiujumla hali ni mbaya, usafi unafanyika katikati ya mji pekee ambalo ni eneo dogo ila pembezoni unaweza tapika kwa uchafu. Wananchi badilikeni jalini mazingira yanayowazunguka, aingii akilini mama ntilie anauza chakula mbele yake kumejaa uchafu na maji ya bafu yanatiririka.

Wahusika wajibikeni.
Kunanuka zaidi ya Kariakoo ?

Yaani dunia nzima sijui kama kuna sehemu ipo disorganized kama kkoo.
 
Kahama ni moja ya miji inayokua kwa kasi sana nchini. Pamoja na hilo, nadhani pia ni moja ya miji michafu sana nchini. Mitaro mingi ya barabarani inatiririsha maji machafu ya bafuni na yakwenye chemba za vyoo. Kuna baadhi ya mitaa ata ukipita kwa haraka unapokewa na harufu kali. Hivi idara ya Afya ipo kweli? Imeshindwa kweli kukabiliana na ili tatizo tena lipo wazi kabisa ata kwa mtu ngumbalu anaona?

Baadhi ya mitaa ukipita karibu kila nyumba mifuniko ya chemba za vyoo na bafu ipo wazi inaachwa maji yanatapika kuingia kwenye mitaro.Kata ya majengo ndio imekithiri zaidi hii tabia japo karibu mitaa yote ya huo mji kuna hii tabia.

Pili,usafi wa mazingira kiujumla hali ni mbaya, usafi unafanyika katikati ya mji pekee ambalo ni eneo dogo ila pembezoni unaweza tapika kwa uchafu. Wananchi badilikeni jalini mazingira yanayowazunguka, aingii akilini mama ntilie anauza chakula mbele yake kumejaa uchafu na maji ya bafu yanatiririka.

Wahusika wajibikeni.
Ni kweli kabisa Majengo hakutamaniki!!!
 
Lilieahi juulizwa swali Kwa Halmashauri wakati inapokea mradi wa maji, #"Maji yamefika, Wana mkakati Gani wa kuyatoa?!"#

Kahama nahisi Ardhi inaoza Sasa, maji hasa kwa Majengo ambako water table Iko juu, hili haliepukiki, maana Mvua ikinyesha kidogo tuu inaanza kunya maji.

La kujiuliza ikiwa watu wanatymia zaidi ya 200k kila mwaka minimum kunyonya maji taka, kwann wasifanyiwe utaratibu wa kuwekewa mfumo wa maji taka?! Au miradi ya magari ya maji taka ni ya watu hapo Kahama?! Ni aibu

Watu wamepanda kinyesi kila hatua Tano, utadhani kinaota?! Nadhani Hilo lidongo la huo Mji looote huko chini ni liuji tuu.. halafu na serikali inakimbiza mradi wa Tactic kwenye Mji usipokuwa na mfumo waji taka ili baadae tuanze kuzichimba lami ili kuweka.mabomba ya maji taka...

Walete watu wenye akili wasimamie huo Mji.. kurundika matatizo Kuna siku hatakiwa makubwa sana kwa kiasi ambacho serikali kuu itakuwa inawapita tuu kama haiwajui. Mji unafikisha watu laki Tano na hauna mfumo wa maji taka?!?
 
Ni kweli,Kuna miezi nilifika nikashangaa Dampo lipo katikati ya stendi Ile ndogoo ya Uwanja wa Taifa. Watu wanakulaa maembe na chipisi zaoo kiroho safiii! Hatarii sana.

Serikali ilifanyie kazi hili,mji mzuri kiutafutaji ila unahitaji usimamizi wa serikali Hususani kuwa na vyoo Bora kwa raia.
 
Back
Top Bottom