Njanga Tz
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 843
- 653
Hapa mnazi mmoja jijini Dar es salaam kumeshapendeza tayari kabisa kwa Wizara ya Ujenzi inayoongozwa na Mh Magufuli kumpa kwa heri ya kuonana Mh Jakaya.
Msondo ngoma bendi ya Ukaya ft inatumbuiza hapa.Update mtapata
Update . Mh Magufuli kisha wasili katika viwanja hv na sasa anasubiliwa mh Jakaya. Sitaweza kutuma pcha kamera yangu imeharibika kama kuna mtu yupo karibu anaweza kutupia pcha.
Sasa raisi anaingia katika viwanja hi i vya mnazi mmoja.
Wakala mbalimbali zinatoa taarifa zao za miaka kumi tanroad tba temesa.
Tanroads wanaelezea mafunikio waliyopata kwa kujenga km5000 na zaidi na kuafanya usanifu wa km4000 hadi sasa.
TBA wanaeleza jinsi walivyojenga nyumba kwa watumishi wa umma
Temesa wanaelezea kuhusu mafanikio ya vivuko
Bodi ya mifuko ya barabara inatoa mafanikio yake
Msondo ngoma bendi ya Ukaya ft inatumbuiza hapa.Update mtapata
Update . Mh Magufuli kisha wasili katika viwanja hv na sasa anasubiliwa mh Jakaya. Sitaweza kutuma pcha kamera yangu imeharibika kama kuna mtu yupo karibu anaweza kutupia pcha.
Sasa raisi anaingia katika viwanja hi i vya mnazi mmoja.
Wakala mbalimbali zinatoa taarifa zao za miaka kumi tanroad tba temesa.
Tanroads wanaelezea mafunikio waliyopata kwa kujenga km5000 na zaidi na kuafanya usanifu wa km4000 hadi sasa.
TBA wanaeleza jinsi walivyojenga nyumba kwa watumishi wa umma
Temesa wanaelezea kuhusu mafanikio ya vivuko
Bodi ya mifuko ya barabara inatoa mafanikio yake