Wizara ya mambo ya ndani: waziri Nchimbi aliunda kamati na si tume

Hata kama ni tume, hoja za Lissu kuhusu uhalali wa wajumbe bado zinataka majibu.
Jamani kwani lazima kila Muongozo ujibiwe, mara wanaharakati wanauliza mara wabunge wanauliza, mara wanajamii Forum hata yasipojibiwa Bunge litamaliza muda wake, na Watanzania wataendelea kuishi. Tumeshazoea vurugu hizo za nani mkubwa nani msemaji sana
 
Iwe Nchimbi alisema iundwe Tume au Kamati yote tisa! Napendekeza kua kwenye mikutano yote ya ufunguzi wa matawi ya Chadema namuomba Dr. Slaa au awe muheshimiwa Mbowe na makamanda wote wa Chadema kabla ya mikutano ya ufunguzi wawatangazie wanachama wote kua kila mtu mwanachama awe au aje na Kamera kwaajili ya kupiga picha ya matukio ya hawa Polisi CCM ambayo wao na waziri wao wanakua wanayakataa!
 
Yaani anadhani kwa kubadilisha jina peke yake inatosha? If for all intents and purposes, alichokiunda ni tume (na hana mamlaka ya kufanya hivyo), hata akibadili jina haliwezi kuondoa illegality yake! Hivi huyu Nchimbi ni Dr wa nini?

u_Dr wake ulitiliwa mashaka na ile tume ya kuchunguza elimu za viongozi. Unakumbuka sakata la PhD zanazopatikana Mzumbe University?.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Jamani kwani lazima kila Muongozo ujibiwe, mara wanaharakati wanauliza mara wabunge wanauliza, mara wanajamii Forum hata yasipojibiwa Bunge litamaliza muda wake, na Watanzania wataendelea kuishi. Tumeshazoea vurugu hizo za nani mkubwa nani msemaji sana

Ndugu yangu hapa kidogo kama upotoka mbona hatujadili bunge bali kamati/Tume ya mhe. Dr. Nchimbi.
 
Back
Top Bottom