teh teh teh haaa haaa sina mbavu, watz wengi wanafikiria kupitia tundu la kunyia sio ubongo. hivi kwa akili yenu haswa Malecela ndiye aliyeandika hayo? hivi mimi siwezi kujiita Edwin Mtei nikaandika lolote humu? Malecela anajua wapi pa kusemea na Ikulu muda wowote anaingia,humu Jf ni kwa kina Slaa anayejibishana na kina "Mbwa Kachoka" "Nawashwa" "sokwe mtu"