Tatizo kubwa hapa ni Mwakyembe mwenyewe. Aseme kinachomsibu basi. Akiendelea kuficha kama alivyoficha baadhi ya mambo kwenye taarifa ya Richmond basi. Nawaona wanakwenda kwa Mchungaji Gwajima kwa zamu. Jana mshirika wake wa karibu, Nape, alikuwa huko. Tusubiri miujiza ya Mchungaji huyu?