Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,376
- 105,863
Hili la Brazil kuja limekamilika. Limeisha. Tuangalie tu jinsi ya kuyazuia matumizi kama haya kwa visingizio vya kukuza utalii. Angalau BUNGE letu liwe linaulizwa. Natumaini pia kikao kijacho cha bajeti wabunge wetu watahoji hili. Serikali/TFF wataulizwa mapesa haya ya kuwaleta Brazil yametoka wapi, yametumikaje, yamerudi kiasi gani, tumenufaika vipi kama TAIFA.
Yogi Berra anakwambia "It ain't over 'til it's over"
Kutumia mfano wa mpira, kabla kipyenga cha mwisho hakijapulizwa mpira haujaisha.