Sweetie tena ni mpenzi saana wa shots za tarquilla (bia itakua kama anapasha tu....lol) Naomba usimfanye atoe uchanga wake kwa kum-provoke... Give him a Break Love he deserves it..... (Alafu nenda page ya 10 ya PA hapa... Kongosho mkorofi....lol)
Kweli tumevamiwa mchana kweupe
hadi like ban, buji atakuwa victim number wani
Mi nimegonga, sitaki kupotea wakati huu JF imenoga niaje?Kwa masaa 24 ntagawa ban kwa kila ambae hatonigonge like.
Wee kweli ni kiboko, umeniibia property yangu for good 10days, afu unachochea nipate ban ili uendelee kutesa naye?
My ghost will haunt you
Kwa masaa 24 ntagawa ban kwa kila ambae hatonigonge like.
Ukichukua tu hilo rungu adabu inakuja yenyewe.... Ukipita njia hii, napita nyingine... hapo baaas.lol
Mi nimegonga, sitaki kupotea wakati huu JF imenoga niaje?
Sikuiona hii aisee...
Happy birthday Paw, May you enjoy this special day. I wish you peace, harmony and a lots of love for this coming year. May your projects materialize and your dream come true (so you can dream some more... )
View attachment 42595
Nataka kuwe na sheria mpya JF "uchoyo sio afya. Kila atakae kua mchoyo wa kushukuru na kukubali michango ya wengine kwa kuwagongea LIKE atapigwa ban la siku tatu ili apate muda wa kutafakari kuhusu tabia yake ya uchoyo."OVER.
utashtakiwa kwa "matumizi mabaya ya madaraka" LOL
happy birthday Paw (again)
Have seen it all sweetie, ila sasa jamani ukilana kipofu ndo hadi umshike mkono?
kwa kabila letu mpenzi, ukizaliwa tu lazima ulambishwe choya ila tujue kabisa kama DNA ni ya kwetu au laoa
Mi ningependa tujadili ule "uchoyo mwingine"........:shut-mouth::censored::A S-coffee:
What,.....PAW ananitafuta ubaya sasaNipo naPMiana na PAW namna ya kunikabidhi rungu.
Nilikukataza kuongea sana na Laizer mbona hausikii wewe...halafu huyu Kaizer naona sasa...ngojaUpi huo?
Funguka tuangalie namna ya kuudhibiti.
Upi huo?
Funguka tuangalie namna ya kuudhibiti.
Kongosho kumbe muoga wa Ban eeeh? ndo maana humbani Roulette kabisa umenibananisha mimi.... Boss nilimuacha na Roulette siku mbili... hio haitoshi kusema there is something fishy?? instead wani bana mimi Dah! (shaking in my socks)
Nilikukataza kuongea sana na Laizer mbona hausikii wewe...halafu huyu Kaizer naona sasa...ngoja
Hii hoja naifungulia thread monday. Mi nina like 100, nimesha toa 1000, huo ni ustaarabu kweli?Nataka kuwe na sheria mpya JF "uchoyo sio afya. Kila atakae kua mchoyo wa kushukuru na kukubali michango ya wengine kwa kuwagongea LIKE atapigwa ban la siku tatu ili apate muda wa kutafakari kuhusu tabia yake ya uchoyo."OVER.
Nilikukataza kuongea sana na Laizer mbona hausikii wewe...halafu huyu Kaizer naona sasa...ngoja