Kwa taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa wimbo mpya wa nguli wa Hipphop ROMA MKATOLIKI wa Vivaaaa roma umepigwa marufuku kuchezwa katika vyombo vyote vya habari nchini.
tunao tayari kwenye gadgets zetu,ahahaha!tutaupiga mikutanoni na magetoni!tena hii ban itabackfire kwa katazo hilo!mbaya zaidi katazo litaufanya wimbo utwaje zaidi midomoni na hivyo kuitajika kusikilizwa hili kujua yaliyomo kwa wale ambao hawaja usikia!hii itaufanya wimbo kuwa on demand!asante kwa kuupaisha,ahahaha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.