Pia kuna "PAMERA"LES WA NYIKA.bubu ataka kusema. Ila Amigo ukipigwa hata kama niko sokono nasimama naanza kukata mayenu
songi la ukweli FirstLady1...dah yaani kwa hilo songi hata naweza kukadiria umri wako
heheheh we umefanana na msichana kwenye hiyo video jamani,hata avatar yako yenyewe inaonyeshasi unajua tena Excellent mambo yetu miaka ya 60
msichana wa sura nzuri kitu gani kinakufanya usiolewe,elimu unayo ya kutosha
hata ng'ambo.....
hebu kadiria
bye
Afroo japo sijui uliimbwa na nani
Nipae angani...nikatishe bahari...juu kwa juu nione,harafu nitue pemba...marashi nipokee pemba hoo pemba........Vp ile song ya "MARASHI YA PEMBA"???
Nasikia nikuzuriii...jioni kuna upepo...eti unanukiaaaa marashi ya karafuuu.
Hii iliimbwa na LES WANYIKA mkuu!
teh teh umenikumbusha mbali,enzi hizo kila sehemu ilikuwa green,kuna miti,maji na chemchemi kibao..oyee krismas oyee, noele baba! Tukacheze kamanyola na marquis ooo! Krismas oyee dah hili songi wadau ni tamu mno hasa ifikapo nyakati za mwisho wa mwaka krismas inakaribia halafu umetune tbc taifa enzi hizo redio tanzania kweli huwa inanikumbusha miaka ya utoto wangu bila nguo mpya sijaenda church, natafuta cd yake pgata kwa fisi ntanunua